Kabisa...... Ni wizi mchana kweupeMzee hao ni kunguru wa dar[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo Hana kazi Wala ramani mjini, kaona gari akajua uko vema sasa shobo Kama zote[emoji23][emoji23]
Jeuri ya kuiba gari wanayobasi. Mimi hata niwe na kinywaji kichwani sijawahi kuachia gari kizembe....[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu, these morons that are not even 'wife material' kwa nn unahangaika nao?
Mwisho watakupiga hiyo ndinga mada si mrefu!
Hiyo wahuni wanaita " kulala dago"Apartment unakuta anaishi yale mageto yao wanakaa tisa kidogo. Hapo wanawekeana zamu ya kulala, wengine wakienda kudanga, wengine wanalala. Nilienda moja hiyo nikiwa na rafiki zangu, wakatukaribisha ilikuwa sikukuu, tulinunulishwa mchele na nyama ya ng'ombe na soda kreti moja.
Walishukuru sana maana pasaka ilikuwa inawaendea kushoto....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwalipia kodi ukija wanakupokea kama mfalme.Hiyo wahuni wanaita " kulala dago"
Ndo mitindo ya mademu wengi [emoji28]
Na mademu dizaini hyo ukishakua na ghetto nzuri tu basi ushamaliza kazi
Nakupata nakupataAkili nusu[emoji23][emoji23] ila acha mkome maana tulio real mnatuonaga washamba na mnatutapeligi sana,
Wanajiweka hivyo ili kujitengenezea mazingira mazuri ya kupiga mizinga mikubwa mikubwa
Hahhahahha na we si unapendaga pisi kali[emoji28] mleta mada yanayomkuta ni makubwa...
Actually mkuu sipo katika hiyo circle, ni watu ambao nakutana nao by chance. Inapotokea nimekutana nao huwa ninawabaini haraka sana na kuwajua..... Maana huwa zengwe zao watajizungusha atakwambia kila aina ya story ila mziki utakuja kwenye hela na matumizi wanakuwa watupu.
Haoni shida kukwambia umpatie laki atakurejeshea akitoka benki kulipia mzigo.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uliza sasa mzigo gani kama utapewa jibu.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
2017 au 2018 nilikutana na kamoja kwenye Viunga vya jiji la Makonda enzi hizo nikaauliza most of your time unakua wapi kakasema kanasoma Nursing UDSM nikaambia na Mimi ninasoma Medical Doctor chuo cha DUCE, cha ajabu kakafurahia sana hilo.
Ha ha ha ha hadi siku mtu akuazime gari yako halafu achelewe kukurejeshea atakapokupigia simu akwambie bro, naomba tuzungumze, ndipo utaelewa....
Gari sio pasi kusema ikiharibika au ikizingua utatoa 45,000 ununue nyingine.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Pisi kali shunieHahhahahha na we si unapendaga pisi kali
Asalaleeh!Apartment unakuta anaishi yale mageto yao wanakaa tisa kidogo. Hapo wanawekeana zamu ya kulala, wengine wakienda kudanga, wengine wanalala. Nilienda moja hiyo nikiwa na rafiki zangu, wakatukaribisha ilikuwa sikukuu, tulinunulishwa mchele na nyama ya ng'ombe na soda kreti moja.
Walishukuru sana maana pasaka ilikuwa inawaendea kushoto....
Sent using Jamii Forums mobile app
πππ Unachekesha kweli kila binti kwako mbaya sijawahi kuona unawazungumzia vizuri mabintiAaaah sasa ukikutana na binti ambaye yupo real nae anakuwa na mawenge yake sio wote wapo vema na mnaweza kwenda na flow nzuri.
Unajua mabinti mnatofautiana kwa namna zenu.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Antonie na uzee huu mimi na upisi kali wapi na wapiPisi kali shunie
Mbona umepanic hivi na kuanza kumu "attack" mtoa mada, anekushika au amekukumbusha?Kwa mkonk wako umetype kuwa hizo tabia zilikuwa kiumeniπ kwahiyo Ni wazi na wewe Ni kaongo kaongo tuπ,
Uliowaelezea wote umekuwa nao kingono ama ulitaka kuwa nao kingono
We Ni walewale
By the way tumejua una gariπππ
Hao ndo wa kunifowardia namba zao tuigiziane mpaka mmoja akimbie shindanoVinapenda kuishi maisha ya maigizo sana....
Kuna kimoja niliishi nacho, tabu tupu kila chakula nnachoamua tule analalamika, " eeh jamani ugali na samaki, eeh jamani viazi, eeeh jamani mihogo, kuna siku nikavurugika nikamuuliza hivi kwenu familia mnakulaga pizza, chips kuku?? Kikajibu hamna nakula tu kwasababu ndio vilivyopo.... nikakaambia good, na kwangu unakula kilichopo ukipata kwako utakula unachopenda.
Kakikaa story ni sijui nimeenda mall gani, sijui mlimani city bla bla wakati mi nakajua kabisa ni katoto ka mkulima... Ovyo sana.
ππππHao ndo wa kunifowardia namba zao tuigiziane mpaka mmoja akimbie shindano
Kavulana kengine haka, mxiieeewMbona umepanic hivi na kuanza kumu "attack" mtoa mada, anekushika au amekukumbusha?
Sometimes you just need to agree by disagreeing..!!!!
#YNWA