Mabinti wa mjini wanamaadili kuliko wa kijijini, kijijini hupoteza bikra zao wangali wadogo sana

Mabinti wa mjini wanamaadili kuliko wa kijijini, kijijini hupoteza bikra zao wangali wadogo sana

Ulichoongea ni ukweli 100%.

Nimetembea vijiji vya Mkoa wa Rukwa na Katavi Aisee Kila Bint ninaemuona naambiwa ana mtoto/watoto.

Na ukiwa mgeni huwa wanakuchangamkia Sana.
Kiukweli mjini Kuna unafuu.
 
Uko sahihi kabisa, Mimi nilipata mwanamke mjini akiwa na miaka 23 hajaguswa kabisa yaani ni mpya kafungwa kwenywe karatasi lake Ili hali kijijini wa miaka 18 alishamsahahu hata aliyemtoa bikra yake
 
Mabinti wengi sana wanaotokea kwenye familia duni wanasagika sana, wengi wanashindwa kuvumilia shida za nyumbani kwao na kuanza kugawa mbususu wakiwa wadogo sana.
 
Binti wa kijijini anapiga kazi,wa mjini wanadanga[emoji1241]
 
Back
Top Bottom