Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
ni marufuku mwanaume kulala ukutani, na vile vile usikose panga ndani maana wezi hawatabiriki
Hivi ni kwa nini hamtaki kullala ukutani
Kuna muda najifanya nimechoka siwezi kuvuka
Utasikia pita sehemu yako ukijifanya kusinzia unasogezwa kama mzigo!
Specific reason ya kulala mwanzo wa kitanda ni ipi?
Sipend basi tu[emoji57][emoji17]