Kichwa Ze Don
Senior Member
- Jun 7, 2017
- 198
- 321
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ushauri ni ule ule hatupepesi, usioe mwanamke asiye bikra.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ushauri ni ule ule hatupepesi, usioe mwanamke asiye bikra.
Hapa nimekuelewa 100Hawa wapo kaka shida kama utatafuta mke ukiwa umemchora kichwani kwamba awe figure namba nane guu guu tako tako hutakaa umpate.
Mimi huwa nashauri...Mtu akitaka life partner ashirikishe akili na utulivu na sio hisia na matamanio pia awe focused na kizazi chake,sio rahisi mke uliyemkuta club au bar akakutunzia kizazi chako kama inavyotakikana na club au bar hukuti bikra hawa wapo kwenye jamii inayokuzunguka.
Kwa style hiyo ntachovya kila mahali sasa [emoji119][emoji119]Zipo mkuu
19 kuja juu
Tafuta haziji kirahisi
Usitegemee uzipate humu jamii forum[emoji23]
Sisi tulio oa,tunakwambia hivi,kama una uwezo wa kumuingilia mwanamke na siyo Khanithi na unaweza kumtunza,yaani kumlisha,kumvisha basi OA katika yule unayempenda na aliye kuridhia.Wakuu habari.
Moja kwa Moja kwenye mada.
Mabraza mliotangulia kuoa, ni ushauri gani mfupi mnaweza kutupatia sisi ambao tunatazamia kuoa hivi karibuni?
Vitu kama umri wa kuoa, kushare mishahara na mke, kujenga nyumba na kuandika majina yenu wote, kuchanga na kununua gari, kurudi home mapema au kuchelewa n.k.
Ata ushahuri mdogo unaweza kua na msaada kwangu au kijana mwingine mwenye malengo kama yangu.
Natanguliza shukrani.
Hongera mkuu. Mimi dini inakataza kuwa na mke zaidi ya mmoja na ndomaana michepuko kwa wakristo haiishi.Sisi tulio oa,tunakwambia hivi,kama una uwezo wa kumuingilia mwanamke na siyo Khanithi na unaweza kumtunza,yaani kumlisha,kumvisha basi OA katika yule unayempenda na aliye kuridhia.
Mimi nipo kwenye mchakato wa kuongeza mke wa tatu.
Kwani kwa kuwa mama yako na dada yako waliolewa wakiwa walisha sasambuliwa mbususu ina maana kwamba nawe oue asie bikra au usithamini umuhimu wa mwanamke kuwa bikra.dada zako waliolewa wakiwa mabikira au mama yako??? na je una hakika kwa jibu unalotarajia kunijibu???...pia kwa yeyote yule aloandika pia must bikira ajiulize na aje ajibu hilo hapa...
Mkuu nae ongea hapa ni mwanaume tena naweza kuwa mwanaume zaidi ya baba yako alokuzaa.. sikiliza ukijua nini maana ya mwanamke utajua kwamba si tu maumbile yake bali ni akili yake na kizazi chako.. hivyo bikira yaweza kuwa alitolewa hata hajajitambua .. na hata uoe bikira utamtoa atakuwa kama huyo mwingine.. zingatia ubora wa akili yake pia walau awe presentable and all that bikira sio kitu muhimu awe disciplined one . .Huu uzi ni wa wanaume wewe mwanamke umefuata nini hapa,acha wanaume tushauriane wewe kama bikra huna jua lako kwa wanaume wenye akili limeisha subiri mwanaume aliyefiwa na mke aje kukufariji nje ya hapo subiri kuzeekea kwenu.
Tunaomini ktk kuowa bikra hata mama zetu waliolewa wakiwa nazo ndo maana bado tunatembea na spirit za baba zetu kuchagua bikra huwezi kudai bikra kama baba yako hakulizingatia hilo alipokuwa anakutafutia mama yako.
Masuala ya dada zetu usituulize kawaulize waliowaowa.
Mkuu tuelewane,wapo mabinti huwa hawataki mambo ya kihuni (naita uhuni maana ndo wanavyoamini wao) mf;ukutane na bint leo kesho umwambie njoo ghetto moja kwa moja atakuona muhuni,cha kufanya target windo moja na immediately mtamkie suala la ndoa baada ya muda ndo uanze usumbufu huo ukiona anakataa kataa uliza sababu akikujibu kazia swali yupo sealed?maana lengo lako ni kumuowa kama yupo sealed muahidi utasubiri hadi ndoa.Kwa style hiyo ntachovya kila mahali sasa [emoji119][emoji119]
mkuu nae ongea hapa ni mwanaume tena naweza kuwa mwanaume zaidi ya baba yako alokuzaa..
Sisi tulio oa,tunakwambia hivi,kama una uwezo wa kumuingilia mwanamke na siyo Khanithi na unaweza kumtunza,yaani kumlisha,kumvisha basi OA katika yule unayempenda na aliye kuridhia.Wakuu habari.
Moja kwa Moja kwenye mada.
Mabraza mliotangulia kuoa, ni ushauri gani mfupi mnaweza kutupatia sisi ambao tunatazamia kuoa hivi karibuni?
Vitu kama umri wa kuoa, kushare mishahara na mke, kujenga nyumba na kuandika majina yenu wote, kuchanga na kununua gari, kurudi home mapema au kuchelewa n.k.
Ata ushahuri mdogo unaweza kua na msaada kwangu au kijana mwingine mwenye malengo kama yangu.
Natanguliza shukrani.
Hili tatizo.Hongera mkuu. Mimi dini inakataza kuwa na mke zaidi ya mmoja na ndomaana michepuko kwa wakristo haiishi.
Mbona kama umehamakidada zako waliolewa wakiwa mabikira au mama yako??? na je una hakika kwa jibu unalotarajia kunijibu???...pia kwa yeyote yule aloandika pia must bikira ajiulize na aje ajibu hilo hapa...
Nlichova chova ila nikakutana nayo.Kwa style hiyo ntachovya kila mahali sasa [emoji119][emoji119]
[emoji3][emoji3][emoji3] et mbususuKwani kwa kuwa mama yako na dada yako waliolewa wakiwa walisha sasambuliwa mbususu ina maana kwamba nawe oue asie bikra au usithamini umuhimu wa mwanamke kuwa bikra.
Kosa ni kosa tuu ata kama limefanywa na dada au mama yako. Kama waligegedwa kabla ya ndoa basi walizini. Kama mdingi aliingia chaka akaoa mama yako pasipo mama yako kuwa bikra hayo ni maamuzi yake. Lakini haimaanishi kuwa uthamani wa bikra unashuka eti kisa mwanamke asie bikra aliyemuoa baba yangu ni mama yangu.
90% [emoji106]Mkuu tuelewane,wapo mabinti huwa hawataki mambo ya kihuni (naita uhuni maana ndo wanavyoamini wao) mf;ukutane na bint leo kesho umwambie njoo ghetto moja kwa moja atakuona muhuni,cha kufanya target windo moja na immediately mtamkie suala la ndoa baada ya muda ndo uanze usumbufu huo ukiona anakataa kataa uliza sababu akikujibu kazia swali yupo sealed?maana lengo lako ni kumuowa kama yupo sealed muahidi utasubiri hadi ndoa.
Akisema ndiyo unakaa hata miezi nane mnafanya mawasiliano ya kawaida yale ya wapenzi kisha unamwambia nataka nianze taratibu za kutambulishana ila nataka kwanza ni-comfrim kweli upo hivyo maana lengo langu ni kukuowa atatia tena ugumu unampa sharti kwamba nitakuja kwenu kwanza kujitambulisha kabla ya kwetu ila kwetu ni mpaka utakaponihakikishia upo salama kama hana bikra utauona uelekeo wake mapema anaanza kusita sita kuogopa aibu kwa ndugu zake/ukiona anasita jua hamna kitu.
Hii trick jamaa yangu mmoja aliitumia amepata mzinga wa asali asipopategemea ila ombi;kama huna mpango na mtoto wa mtu muache iwe zawadi kwa mwanaume mwengine usimuharibu ikiwa amekukubalia umkague onyesha uanaume wako kagua mwambie avae nguo zake aondoke hiyo kazi utaifanya siku ya ndoa.
Hudhuria sana ibada kulingana na imani yako huko angalia wale ambao nao wanahudhuria sana ambao wapo aged 18/23 ktk wa4 hukosi,kumbuka kumtamkia ndoa mapema ili ajipe guarantee ya mahusiano yenu.
Hints hizo katumie,ila usiwe chombo cha kuharibu watoto wa watu.
39 %mkuu nae ongea hapa ni mwanaume tena naweza kuwa mwanaume zaidi ya baba yako alokuzaa.. sikiliza ukijua nini maana ya mwanamke utajua kwamba si tu maumbile yake bali ni akili yake na kizazi chako.. hivyo bikira yaweza kuwa alitolewa hata hajajitambua .. na hata uoe bikira utamtoa atakuwa kama huyo mwingine.. zingatia ubora wa akili yake pia walau awe presentable and all that bikira sio kitu muhimu awe disciplined one . .
90%Sisi tulio oa,tunakwambia hivi,kama una uwezo wa kumuingilia mwanamke na siyo Khanithi na unaweza kumtunza,yaani kumlisha,kumvisha basi OA katika yule unayempenda na aliye kuridhia.
Mimi nipo kwenye mchakato wa kuongeza mke wa tatu.
Hili tatizo.