Mabraza wa Kariakoo na dili zao

Ila watu bana😂
 
Ni kweli kabisa mie nikikatisha 2001 ..kupitia kigoma mpk lubumbashi ..kipindi cha kifo cha mzee kabila ..napokusoma nakumbuka mbali vingine sipendi kuvikumbuka
Mkuu hiyo 2001 .......mtu mrefu wa RPF anaitwa James akataka kunipa bunduki.....niongozane nae.....tulikutana mahala......nikamuambia ""AM NOT TUTSI AM TANZANIAN STUDENT"""
Akaniuliza why are you here????
Nakamjibu"""TO FIND MONEY THROUGH BUSINESS"""Akanipiga pialga begani.......nice kid.....nice kid......you tanzanian are clever one.
But be care masasi haina macho"""
Braza tall fut 7 na nusu hivi kwenda juu afu mabodigadi kibao kama 50 hv..!!
NITASIMULIA HUKO MBELE
 
Sawa sawa binamu..mie nafika Tanganyika ndio mzee anauwawa so niliyekua naye anatakiwa kufika lubumbashi..aisee sitaki kukumbuka ile safari ..mpk tunafika lubumbashi kwa mama kibawa ( dada wa mzee kabila ) ilikua zoezi tosha
 
Sawa sawa binamu..mie nafika Tanganyika ndio mzee anauwawa so niliyekua naye anatakiwa kufika lubumbashi..aisee sitaki kukumbuka ile safari ..mpk tunafika lubumbashi kwa mama kibawa ( dada wa mzee kabila ) ilikua zoezi tosha
Sema enzi hizo hatufahamiani.....siku mzee anauawa mm nipo kibondo sehemu inaitwa mabamba naitafuta Burundi kulikua na dili za kuleta maparachichi kahama....mkuu....nakumbuka sana!!
BARABARA ZA KIBONDO MBOVU KWELI ENZI HIZO......DUUH NIMEMKUMBUKA MZEE KABILA......DUUUH
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…