Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Unanikumbusha vingi kdg ila mwenzangu umepenya sanaKaribu kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanikumbusha vingi kdg ila mwenzangu umepenya sanaKaribu kaka
Bado haujaiva kwenye maeneo haya
1. Utunzi ( utunzi wako ni mwepesi)
2. Uandishi ( bado hujajua kuchagua maneno mazuri kisha unacheka cheka sana. Nadhani ukitaka hii iwe kichekesho au ukidhani ndo watu watapenda.
3. Uhalisia ( bado ni story nyepesi ambayo mwandishi hujatumia akili kutunga umesikia tu kwa watu ukaunganisha unganisha matukio na kuifanya yako
USHAURI; JITAHIDI USIKATE TAMAA ILA ZINGATIA HAYO NLIYOKUAMBIA. PIA PUNGUZA KUCHEKA CHEKA au KUTAKA IWE KICHEKESHO WAKATI HAKUNA KINACHOCHEKESHA. NI UJINGA UJINGA TU.
Mimi ndio afande "F" mdogo wangu....Au menisahau 🤣🤣🤣Aliyekwambia nilikua Tanga nani?
Mbona wewe ni mmbea hivi!?
Sawa jiraniDah jirani mie. Nimepambana ila wewe ni mpambanaji
Kule kwetu......kaka....wabantu hatuna mipakaUnanikumbusha vingi kdg ila mwenzangu umepenya sana
Huyo kwenye Avatar sijawahi kumuona jeshini mimi!😂Mimi ndio afande "F" mdogo wangu....Au menisahau 🤣🤣🤣
Ni kweli kabisa mie nikikatisha 2001 ..kupitia kigoma mpk lubumbashi ..kipindi cha kifo cha mzee kabila ..napokusoma nakumbuka mbali vingine sipendi kuvikumbukaKule kwetu......kaka....wabantu hatuna mipaka
Nikikumbuka kipindi hicho ..pande hizo ukatusua ..wewe ni mwambaSawa jirani
Mkuu hiyo 2001 .......mtu mrefu wa RPF anaitwa James akataka kunipa bunduki.....niongozane nae.....tulikutana mahala......nikamuambia ""AM NOT TUTSI AM TANZANIAN STUDENT"""Ni kweli kabisa mie nikikatisha 2001 ..kupitia kigoma mpk lubumbashi ..kipindi cha kifo cha mzee kabila ..napokusoma nakumbuka mbali vingine sipendi kuvikumbuka
Utanionaje na mm special force...!!! 🤣🤣🤣.......mdogo wanguHuyo kwenye Avatar sijawahi kumuona jeshini mimi!😂
Unamjua Didier, Shanuary na Twite?Utanionaje na mm special force 🤣🤣🤣.......mdogo wangu
Kuna mwamba aliniuzia maguruneti......nikamuuliza nikiyanunua nitayatumia wapi........hapo Nyangwe kivu kusini 2001 hiyo 🤣🤣😂Nikikumbuka kipindi hicho ..pande hizo ukatusua ..wewe ni mwamba
Watoto wa mitaa ipi dar????Unamjua Didier, Shanuary na Twite?
Shanuary ni mrefu ana pua ya kisomali
Hahahahahaha..self defense hiyo mkuu ungechukua tu..Kuna mwamba aliniuzia maguruneti......nikamuuliza nikiyanunua nitayatumia wapi........hapo Nyangwe kivu kusini 2001 hiyo 🤣🤣😂
Basi hauwajui!Watoto wa mitaa ipi dar????
Kkoo??
Mm nilikua natafuta dhahabu tu....mtaji mdogo....!!🤣🤣Hahahahahaha..self defense hiyo mkuu ungechukua tu..
Hapana siwajui.......labda Mubuyu twite wa kule Kigali huyo namfahamu........na Didier Mbakumba.....wa Goma.Basi hauwajui!
I wanted to confirm something
Sawa sawa binamu..mie nafika Tanganyika ndio mzee anauwawa so niliyekua naye anatakiwa kufika lubumbashi..aisee sitaki kukumbuka ile safari ..mpk tunafika lubumbashi kwa mama kibawa ( dada wa mzee kabila ) ilikua zoezi toshaMkuu hiyo 2001 .......mtu mrefu wa RPF anaitwa James akataka kunipa bunduki.....niongozane nae.....tulikutana mahala......nikamuambia ""AM NOT TUTSI AM TANZANIAN STUDENT"""
Akaniuliza why are you here????
Nakamjibu"""TO FIND MONEY THROUGH BUSINESS"""Akanipiga pialga begani.......nice kid.....nice kid......you tanzanian are clever one.
But be care masasi haina macho"""
Braza tall fut 7 na nusu hivi kwenda juu afu mabodigadi kibao kama 50 hv..!!
NITASIMULIA HUKO MBELEView attachment 2929467
Sema enzi hizo hatufahamiani.....siku mzee anauawa mm nipo kibondo sehemu inaitwa mabamba naitafuta Burundi kulikua na dili za kuleta maparachichi kahama....mkuu....nakumbuka sana!!Sawa sawa binamu..mie nafika Tanganyika ndio mzee anauwawa so niliyekua naye anatakiwa kufika lubumbashi..aisee sitaki kukumbuka ile safari ..mpk tunafika lubumbashi kwa mama kibawa ( dada wa mzee kabila ) ilikua zoezi tosha