Nilipata hisia utakua ndugu yanguHapana siwajui.......labda Mubuyu twite wa kule Kigali huyo namfahamu........na Didier Mbakumba.....wa Goma.
Sisi tuna vipara....ww una ndugu wenye vipara kichwani 🤣🤣😊Nilipata hisia utakua ndugu yangu
Umeonesha huwajui hao nimejua hatuna undugu wowote🤣
Hapana kwa kweli😂Sisi tuna vipara....ww una ndugu wenye vipara kichwani 🤣🤣😊
Ww kipara changu nakipenda mdogo wangu.......kinanirahisishia mambo yangu.Hapana kwa kweli😂
Ugonjwa wa kipara ni mbaya tafuta dawa nywele ziote
Watoto wako nao wamerithi?Ww kipara changu nakipenda mdogo wangu.......kinanirahisishia mambo yangu.
Kila sehemu utasikia"""SHIKAMOO MZEE"
🤣🤣
Na wifi yako.....akinipendea kipara na mashati ya kipapaa....🤣🤣Hapana kwa kweli😂
Ugonjwa wa kipara ni mbaya tafuta dawa nywele ziote
Mpaka wafike 35yrsWatoto wako nao wamerithi?
Kweli ukipewa kilema unapewa na mwendo😂Na wifi yako.....akinipendea kipara na mashati ya kipapaa....🤣🤣
Angalia avitar utakiona vizuri mdogo wanguKweli ukipewa kilema unapewa na mwendo😂
Yule wa jeshini sasa alikimbia kisa kipara hicho
Handsome la zamani.....😂🤣🤣🤣🤣 tushazeeka sasaNimeshakizoom
Upo floor ya ngapi hadi ujiite mzee?Handsome la zamani.....😂🤣🤣🤣🤣 tushazeeka sasa
59 yrs nowUpo floor ya ngapi hadi ujiite mzee?
Mimi mtoto wako sasa sababu umemzidi baba angu miaka zaidi ya 5!59 yrs now
Hiyo avitar....enzi hizo nina ofisi ya kununua madini.......huko....********!!
Miaka 14 iliyopita mdogo wangu
I was joking.....am 30 something now bestMimi mtoto wako sasa sababu umemzidi baba angu miaka zaidi ya 5!
Hqta ukigawanya kwa 2 bado sifiki umri wako
E bwana ebwana eeee!! Huyu mwamba umekutana nae live?? Mzee kama ni kweli basi wewe sio mtu wa kawaida ..Mkuu hiyo 2001 .......mtu mrefu wa RPF anaitwa James akataka kunipa bunduki.....niongozane nae.....tulikutana mahala......nikamuambia ""AM NOT TUTSI AM TANZANIAN STUDENT"""
Akaniuliza why are you here????
Nakamjibu"""TO FIND MONEY THROUGH BUSINESS"""Akanipiga pialga begani.......nice kid.....nice kid......you tanzanian are clever one.
But be care masasi haina macho"""
Braza tall fut 7 na nusu hivi kwenda juu afu mabodigadi kibao kama 50 hv..!!
NITASIMULIA HUKO MBELEView attachment 2929467
Sasa niamini kipi 39 au 30?😂I was joking.....am 30 something now best
Yoyote mdogo wangu 39 ndio 30 something.....kizungu kigumu au??Sasa niamini kipi 39 au 30?😂
Nilikua dogo janja nimetokea zangu na mabraza nimewasindikiza kusaka nyoka i mean kusaka dhahabu Kongo.......na kipindi hicho james ana 30 something hv.....kule Nyangwe kivu kusini 2001E bwana ebwana eeee!! Huyu mwamba umekutana nae live?? Mzee kama ni kweli basi wewe sio mtu wa kawaida ..
Ukifikisha 40 itabidi tufanye shereheYoyote mdogo wangu 39 ndio 30 something.....kizungu kigumu au??