Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kumbe wewe unawaongopea wenzio... I hate this kind of people. Yaani unatetea mtu kukaa kwa mama wakati mtetezi wao hukai kwa mama yako..??
Wapi nimetetea mtu kukaa kwa mama yake?
You totally miss my point.
Mie nasema usijihusishe na visivyokuhusu. Mtu celebrity hata hakujui wewe utatokaje povu kummind anakaa kwa mam yake?
Una muda mchafu kweli wewe.
What's next? Utataka kwenda hapo kwa mama yake ukague kwenye jaa lao kama wanakula dagaa au mayai?