Tetesi: Machache aliyonieleza mfanyakazi wa TPA yana ukweli?

Tetesi: Machache aliyonieleza mfanyakazi wa TPA yana ukweli?

Mimi naishangaa serikali.
Kuendesha serikali na taasisi zake zote tunaweza.
Kuendesha BOT tunaweza, kuendesha Ikulu tunaweza Ila serikali inatuaminisha hatuwezi kuendesha bandari mpaka waarabu waje waendeshe.
Mimi ningeshauri waarabu waje wachukue nafasi ya spika wa bunge na ya waziri mkuu na mkuu wa TISS ndio mwakani tukiona wameketa mabadiliko bungeni tuwape bandari na mahakama.
 
Ccm bado ipo sana mkuu
Shida kubwa kwa Tanzania ni kuwapata hao wa kwenda barabarani.

Isingekuwa hivyo, nami ningesema tuanze kesho.

Lakini kwa 2024/2025, nasema kama CCM itabaki kuendelea madarakani kwa njia yoyote ile, huo utakuwa ni muujiza wa kipekee sana.
Shida kubwa kwa Tanzania ni kuwapata hao wa kwenda barabarani.

Isingekuwa hivyo, nami ningesema tuanze kesho.

Lakini kwa 2024/2025, nasema kama CCM itabaki kuendelea madarakani kwa njia yoyote ile, huo utakuwa ni muujiza wa kipekee sana.
 
JPM alifanya trip kadhaa pale bandarini mara baada tu ya kuingia madarakani. Haikuwa kazi rahisi kuikata ile mirija pale.

Huyu mama ameingia madarakani akaanza kuwachekea hao wezi akidhani JPM alikuwa kichaa kuwanyoosha.

Sasa anadhani DPW watafanya nini? Shida ni yeye, amekuta mifumo imara kaamua kuibomoa kwa ushauri mbovu aliopewa na hao wezi waliotega mirija yao hapo.

As long as anaongoza nchi kwa kulipa fadhila kwa maswahiba asahau kuhusu ufanisi. Kwanini alimwondoa Kakoko pale? Nani alimshauri? Arejee hatua zake nyuma atawajua wabaya wake.
Dr Janabi: Haters wa mama Samia hatarini kujifungua kabla ya wakati.
 
Naeleza kwa ufupi. Wenye kuelewa haraka hongereni.
  1. Bajeti ya Bandari inakata Sept 2023 ambapo kwa mujibu wake anasema kuanzia Oktoba TPA itakuwa ktk wakati mgumu kwenye kujiendesha
  2. DPW walipaswa kuanza shuguli bandarini mnamo Oktoba 2023. Lakini mpaka sasa seems deal halijafikia muafaka.
  3. Siyo kweli kwamba Watanzania hawana uwezo wa kuendesha bandari bali ufanisi hauonekani kwa sababu watawala wamekinga mirija yao bandarini.
  4. Endapo serikali ingeunda mamlaka inayojiendesha kibiashara kusimamia bandari na kuwepo nanusimamizi wa kizalendo, bandari zetu zingeweza kuleta tija mara kumi zaidi ya kinachotarajiwa kuletwa na DPW
Najua humu JF wapo wenye kuyaelewa haya mambo yanavyokwenda, je hizi taarifa zimekaaje?


"na usimamizi wa kizalendo" - Kwa sharti hili, wapeni tu DP World, Hakuna Mzalendo Tanzania.
 
Kitendo cha DP world kuchukua njia zote kuu za kuiuchumi yafuatayo yatatokea:

1. Ukifika wakati wa uchaguzi mkuu watahakikisha Rais lazima atoke upande wanaoutaka wao na mtu anayemtaka yeye.

2. Wakati wa uchaguzi mkuu watamwaga fedha Walizozichukua hapa hapa nchi kuvuruga uchaguzi Ili kumpata wanayemtaka.

3. CCM na DP world watakuwa wameingia ndoa ya kudumu hivyo mapato ya nchi yatakuwa yanamulikiwa na kutumika wanavyo Taka Hawa wawili.

4. DP world ina udini mkubwa kuliko CCM inavyo sema suala la kuepuka udini.

5. DP world itaingiza utawala wa kidini na ukitizama Lile lidude limesainiwa na waislam watupu.

6. Mkataba wa DP world ufutwe na uondolewe Tanganyika.

6. Awamu ya pili mzee mwinyi alitaka kuingiza nchi OIC na kelele zikawa nyingi hilo likafutwa, sasa huyu bibi kaja kwa mbinu ile ile ya mzee mwinyi ila kajia kuuza kila kitu kwa waarabu.
 
Kitendo cha DP world kuchukua njia zote kuu za kuiuchumi yafuatayo yatatokea:

1. Ukifika wakati wa uchaguzi mkuu watahakikisha Rais lazima stoker upande wanaoutaka wao na mtu anayemtaka yeye.

2. Wakati wa uchaguzi mkuu watamwaga fedha Walizozichukua hapa hapa nchi kuvuruga uchaguzi Ili kumpata wanayemtaka.

3. CCM na DP world watakuwa wameingia ndoa ya kudumu hivyo mapato ya nchi yatakuwa yanamulikiwa na kutumika wanavyo Taka Hawa wawili.

4. DP world ina udini mkubwa kuliko CCM inavyo sema suala la kuepuka udini.

5. DP world itaingiza utawala wa kidini na ukitizama Lile lidude limesainiwa na waislam watupu.

6. Mkataba wa DP world ufutwe na uondolewe Tanganyika.

6. Awamu ya pili mzee mwinyi alitaka kuingiza nchi OIC na kelele zikawa nyingi hilo likafutwa, sasa huyu bibi kaja kwa mbinu ile ile ya mzee mwinyi ila kajia kuuza kila kitu kwa waarabu.
Tatizo mnasumbuliwa na udini, chuki na roho mbaya.

Nani kasema DP World anachukua njia za uchumi za nchi? anachukuaje?
 
Naeleza kwa ufupi. Wenye kuelewa haraka hongereni.
  1. Bajeti ya Bandari inakata Sept 2023 ambapo kwa mujibu wake anasema kuanzia Oktoba TPA itakuwa ktk wakati mgumu kwenye kujiendesha
  2. DPW walipaswa kuanza shuguli bandarini mnamo Oktoba 2023. Lakini mpaka sasa seems deal halijafikia muafaka.
  3. Siyo kweli kwamba Watanzania hawana uwezo wa kuendesha bandari bali ufanisi hauonekani kwa sababu watawala wamekinga mirija yao bandarini.
  4. Endapo serikali ingeunda mamlaka inayojiendesha kibiashara kusimamia bandari na kuwepo nanusimamizi wa kizalendo, bandari zetu zingeweza kuleta tija mara kumi zaidi ya kinachotarajiwa kuletwa na DPW
Najua humu JF wapo wenye kuyaelewa haya mambo yanavyokwenda, je hizi taarifa zimekaaje?
Tatizo mnajifanya kutunga mambo as if hamjui Bandari ni fupa gumu lilizozishinda Serikali karibu zote hapa nchini.

Ushauri umeshatolewa sana kuhusu Bandari zetu ukiwemo huu


Acheni kupotosha. Tena nyie ndo mmeturudisha nyuma sana kutokana na wizi wenu hapo Bandarini
 
Naeleza kwa ufupi. Wenye kuelewa haraka hongereni.
  1. Bajeti ya Bandari inakata Sept 2023 ambapo kwa mujibu wake anasema kuanzia Oktoba TPA itakuwa ktk wakati mgumu kwenye kujiendesha
  2. DPW walipaswa kuanza shuguli bandarini mnamo Oktoba 2023. Lakini mpaka sasa seems deal halijafikia muafaka.
  3. Siyo kweli kwamba Watanzania hawana uwezo wa kuendesha bandari bali ufanisi hauonekani kwa sababu watawala wamekinga mirija yao bandarini.
  4. Endapo serikali ingeunda mamlaka inayojiendesha kibiashara kusimamia bandari na kuwepo nanusimamizi wa kizalendo, bandari zetu zingeweza kuleta tija mara kumi zaidi ya kinachotarajiwa kuletwa na DPW
Najua humu JF wapo wenye kuyaelewa haya mambo yanavyokwenda, je hizi taarifa zimekaaje?
Endapo serikali ingeunda mamlaka inayojiendesha kibiashara kusimamia bandari na kuwepo nanusimamizi wa kizalendo, bandari zetu zingeweza kuleta tija mara kumi zaidi ya kinachotarajiwa kuletwa na DPW[emoji419][emoji375]
 
Watanzania tunajifanya wajuaji sana hata katika tusivyovijua, huu uzalendo tunaoutaka ushawahi kuua kiwanda cha Nyama cha Tanganyika Packers, tulimnyang’anya Mzungu aliyekuwa anaendesha kiwanda tukakiweka chini ya serikali ili tunufaike kikafeli baada ya Nyama za Tanzania kushindwa kununuliwa kwenye soko la dunia, Kumbe tuliyemtimua ndo aliyekuwa ameshika soko la Nyama huko Duniani.

Dunia ya Sasa ni ya Ubepari na ubepari upo kuanzia maisha yetu ya kila siku, unaajiri mfanyakazi anazalisha milioni nyingi ila unampa kiduchu ya anacho zalisha, Mindset zetu zinatakiwa kukomaa na kuondoa uoga wa jinsi ya ku survive kwenye dunia ya ubepari
 
watanzania tunajifanya wajuaji sana hata katika tusivyovijua, huu uzalendo tunaoutaka ushawahi kuua kiwanda cha Nyama cha Tanganyika Packers, tulimnyang’anya Mzungu aliyekuwa anaendesha kiwanda tukakiweka chini ya serikali ili tunufaike kikafeli baada ya Nyama za Tanzania kushindwa kununuliwa kwenye soko la dunia, Kumbe tuliyemtimua ndo aliyekuwa ameshika soko la Nyama huko Duniani. Dunia ya Sasa ni ya Ubepari na ubepari upo kuanzia maisha yetu ya kila siku, unaajiri mfanyakazi anazalisha milioni nyingi ila unampa kiduchu ya anacho zalisha, Mindset zetu zinatakiwa kukomaa na kuondoa uoga wa jinsi ya ku survive kwenye dunia ya ubepari
Mkuu ule mkataba ulisainiwa na yule mama na kupitishwa na bunge , unafaa au haufai?
Jibu
 
watanzania tunajifanya wajuaji sana hata katika tusivyovijua, huu uzalendo tunaoutaka ushawahi kuua kiwanda cha Nyama cha Tanganyika Packers, tulimnyang’anya Mzungu aliyekuwa anaendesha kiwanda tukakiweka chini ya serikali ili tunufaike kikafeli baada ya Nyama za Tanzania kushindwa kununuliwa kwenye soko la dunia, Kumbe tuliyemtimua ndo aliyekuwa ameshika soko la Nyama huko Duniani. Dunia ya Sasa ni ya Ubepari na ubepari upo kuanzia maisha yetu ya kila siku, unaajiri mfanyakazi anazalisha milioni nyingi ila unampa kiduchu ya anacho zalisha, Mindset zetu zinatakiwa kukomaa na kuondoa uoga wa jinsi ya ku survive kwenye dunia ya ubepari
Leo kiwanda kimekufa majengo yamebaki magofu tumeishia kumpa Mwamposa amegeuza kanisa.

Amini nakwambia ndugu yangu hii nchi ili ipate maendeleo ya kweli watu wenye akili za namna hii sijui Serikali iendeshe hiki wanatakiwa wapelekwe kwenye hospitali za watu wenye matatizo ya akili. Hawa watu wameturudisha nyuma sana kama Taifa na kila siku wanataka kuturudidha nyuma kama Taifa.
 
Back
Top Bottom