Tetesi: Machache aliyonieleza mfanyakazi wa TPA yana ukweli?

Tetesi: Machache aliyonieleza mfanyakazi wa TPA yana ukweli?

Naeleza kwa ufupi. Wenye kuelewa haraka hongereni.
  1. Bajeti ya Bandari inakata Sept 2023 ambapo kwa mujibu wake anasema kuanzia Oktoba TPA itakuwa ktk wakati mgumu kwenye kujiendesha
  2. DPW walipaswa kuanza shuguli bandarini mnamo Oktoba 2023. Lakini mpaka sasa seems deal halijafikia muafaka.
  3. Siyo kweli kwamba Watanzania hawana uwezo wa kuendesha bandari bali ufanisi hauonekani kwa sababu watawala wamekinga mirija yao bandarini.
  4. Endapo serikali ingeunda mamlaka inayojiendesha kibiashara kusimamia bandari na kuwepo nanusimamizi wa kizalendo, bandari zetu zingeweza kuleta tija mara kumi zaidi ya kinachotarajiwa kuletwa na DPW
Najua humu JF wapo wenye kuyaelewa haya mambo yanavyokwenda, je hizi taarifa zimekaaje?
Kuna taarifa nyingi sana kuhusu Dp world...waje tu waanze kazi
 
Tukisema bandar akabiziwe DPW watu wanaona sisi sio wazalendo ngoja tuone octbr sio mbali
 
Kama unazotupatia wewe kila leo
Huna ujanja wewe wala mjomba'ko wa kuendesha bandari.

Nahisi hata bandari hujaiona toka uzaliwe. Unabwabwaja na kuhororoja JF tu.

Bodi ngapi zimeshavunjwa bandarini toka awamu ya kwanza mpaka leo?

Kama ulikuwa huelewi kuna wafanyakazi hawajalipwa toka awamu ya kwanza, wengine wamekufa wanaidai serikali.

Tatizo la Tanzania ni watu wajinga kama wewe, kujifanya mnajuwa kumbe hamjuwi.
 
Huna ujanja wewe wala mjomba'ko wa kuendesha bandari.

Nahisi hata bandari hujaiona toka uzaliwe. Unabwabwaja na kuhororoja JF tu.

Bodi ngapi zimeshavunjwa bandarini toka awamu ya kwanza mpaka leo?

Kama ulikuwa huelewi kuna wafanyakazi hawajalipwa toka awamu ya kwanza, wengine wamekufa wanaidai serikali.

Tatizo la Tanzania ni watu wajinga kama wewe, kujifanya mnajuwa kumbe hamjuwi.
KWa hiyo wajomba zako waarabu ndo wamezaliwa kuiendesha bandari?

Tatizo ni CCM kufeli maana ndiyo wao tangu uhuru mpaka leo wamejimilikisha nchi isivyo halali
 
Mimi nashindwa kabisa kuelewa, inakuwaje mwekezaji afanye kwa ufanisi, kwa msukumo wa kupata faida; lakini mtu wetu mwenyewe, mzalendo wa nchi hii yeye awe ni mtu wa kuharibu tu?
Kwa kweli somo hili hapa huwa silielewi kabisa.
1. Kwa sababu ya profit motive na equity, yaani mtu uweke pesa zako binafsi kama mtaji lazima utakua na Nia ya kurudisha fedha lakini pia kuingiza faida so huwezi kubali uzembe au wizi maana faida Yako itapungua. Tofauti na serikalini ambapo mtaji sio wako na mashirika Yako pale kutoa huduma za kijamii sio kuingiza faida.

2. Sababu nyingine ni security of tenure. Ajira za serikali ni permanent so whether utaharibu or not hauwezi kosa kazi zaidi utahamishwa tu kuendeleza wizi.

3. Complacency. Serikalini wanajua mishahara inatoka hazina so wafanya au wasifanye lolote wanajua pesa haiwezi kosekana Wala kampuni kufungwa. Ila mfano ungeambiwa TRA iwe inafanya auditing na consultancy kuingiza pesa Ili kulipa mishahara au ipewe target kuwa kwa Kila Senti wanayokusanya watapewa commission pekee ungeona ambavyo wangekua serious. Haiwezekani Deloitte au PwC zihudumie kampuni nyingi hivyo kwa wakati mmoja alafu TRA eti inashindwa kukagua Kodi za Multi National Corporations!! Ni sababu mshahara upo assured.
 
1. Kwa sababu ya profit motive na equity, yaani mtu uweke pesa zako binafsi kama mtaji lazima utakua na Nia ya kurudisha fedha lakini pia kuingiza faida so huwezi kubali uzembe au wizi maana faida Yako itapungua. Tofauti na serikalini ambapo mtaji sio wako na mashirika Yako pale kutoa huduma za kijamii sio kuingiza faida.

2. Sababu nyingine ni security of tenure. Ajira za serikali ni permanent so whether utaharibu or not hauwezi kosa kazi zaidi utahamishwa tu kuendeleza wizi.

3. Complacency. Serikalini wanajua mishahara inatoka hazina so wafanya au wasifanye lolote wanajua pesa haiwezi kosekana Wala kampuni kufungwa. Ila mfano ungeambiwa TRA iwe inafanya auditing na consultancy kuingiza pesa Ili kulipa mishahara au ipewe target kuwa kwa Kila Senti wanayokusanya watapewa commission pekee ungeona ambavyo wangekua serious. Haiwezekani Deloitte au PwC zihudumie kampuni nyingi hivyo kwa wakati mmoja alafu TRA eti inashindwa kukagua Kodi za Multi National Corporations!! Ni sababu mshahara upo assured.
Zitto
Unachemsha.

Hakuna na haijawahi kutokea duniani mwekezaji mgeni akaweka kipaumbele cha kwanza cha tija kwa mwenyeji.

Sisi tutaambulia ziada. Na ujinga wanaolishwa Watanzania hauzingatii weledi wa ukuaji wa mtaji ambapo kwa muda mrefu wawekezaji wageni wameutumia mwanya huo kujinufaisha na watawala wetu.
 
Kwa mwendo huu mnaotupeleka sasa ni kwamba hakuna jambo hata moja tunaloweza kufanya kwa ufanisi sisi wenyewe, bila ya kuwategemea wawekezaji, na hasa hao toka nje!
Yes mfumo wetu wa ruzuku, ajira za kudumu na mishahara ya hazina lazima tu watu wakose ufanisi.

Nimeona Tigo au Voda poa siku hizi unakuta customer care wanakua sio waajiriwa ila enterprise binafsi ila inapewa targets tu na inalipwa based on number ya wateja inahudumia. Same to Mawakala wa M Pesa kama wangekua wanalipwa mshahara na sio commission trust me wangekua wanafungua vibanda saa 4 na kufunga saa 10!!

Dunia sahivi imehama huko Kila taasisi inafanya out sourcing kuepuka complacency. Inapunguza ajira za kudumu ila inatoa mikataba minono kwa watu binafsi kufanya hiyo kazi kwa targets.

Mfano kesi za ICSID mwanasheria wa serikali anajua pesa ipo tu mwisho wa mwezi ila wa binafsi anaambiwa ukishinda unapewa 30% ya pesa ila ukishindwa utapewa legal fees pekee!! Kwanini asipambanie kombe kuliko yule mwenye ajira ya kudumu, hana motisha ya kushinda sababu Hana la kupoteza.

So outsourcing is better for efficiency and results. Sababu unachozalisha ndio unacholipwa not otherwise
 
Nadhani tunahitaji kusimamia bandari yetu
Story za kuimilikisha kwa wageni ziishie hapa.

Rais hajachelewa kuikwamua nchi.
Siyo bandari tu. Rasilimali zote
Tanzania ikisimamia rasilimali zote.
Hela ipo ya kutosha. Gesi wamempa mchina, sasa hivi gesi ipo juu
 
Shida kubwa kwa Tanzania ni kuwapata hao wa kwenda barabarani.

Isingekuwa hivyo, nami ningesema tuanze kesho.

Lakini kwa 2024/2025, nasema kama CCM itabaki kuendelea madarakani kwa njia yoyote ile, huo utakuwa ni muujiza wa kipekee sana.
Kama njia ya kuingia barabarani imeshindikana kwanini isitafutwe njia nyengine yenye kuwezekana? Ina maana tutaendelea kukaa tu na kusema watanzania waoga hatuwezi kuingia barabarani?
 
Naeleza kwa ufupi. Wenye kuelewa haraka hongereni.
  1. Bajeti ya Bandari inakata Sept 2023 ambapo kwa mujibu wake anasema kuanzia Oktoba TPA itakuwa ktk wakati mgumu kwenye kujiendesha
  2. DPW walipaswa kuanza shuguli bandarini mnamo Oktoba 2023. Lakini mpaka sasa seems deal halijafikia muafaka.
  3. Siyo kweli kwamba Watanzania hawana uwezo wa kuendesha bandari bali ufanisi hauonekani kwa sababu watawala wamekinga mirija yao bandarini.
  4. Endapo serikali ingeunda mamlaka inayojiendesha kibiashara kusimamia bandari na kuwepo nanusimamizi wa kizalendo, bandari zetu zingeweza kuleta tija mara kumi zaidi ya kinachotarajiwa kuletwa na DPW
Najua humu JF wapo wenye kuyaelewa haya mambo yanavyokwenda, je hizi taarifa zimekaaje?
Bandarini kumejaa TISS na TAKUKURU how hakuna ufanisi? teuzi sahivi ni Zanzibar lakini bado ufanisi ni zero
 
Nakubaliana nae. Tunaweza kuiendesha bandari wenyewe! Kama CCM imechoka kiwango hiki ipishe chama kingine tupate akili mpya.
 
Ajira za serikali ni permanent so whether utaharibu or not hauwezi kosa kazi zaidi utahamishwa tu kuendeleza wizi.
Sababu ambayo huwa siikubali Hata kidogo.

Mtu anaibia, ni mwizi, na sheria za nchi zinazuia wizi na adhabu za ukigundulika umeiba zipo, bado unasema ukiharibu unahamishwa?

Tatizo ni usimamizi wa sheria 100% Hamtaki kufuata sheria, mnataka sheria zifuatwe na wananchi tu lakini "wananchi sana" wao wapete wasiguswe na sheria!! Hili tatizo mnalijua. Na halikubaliki!
 
Back
Top Bottom