Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
TFF itafute marefa kutoka ulaya kama ilivyofanya saudia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
8 refa lawi alikuwa upande wa simba.1. Leo tumeshuhudia mechi nyingine tafu kwa Simba, ukubwa wa Simba umeamua mechi.
2. Singida waliingiia na maneno ya nje ya uwanja kuwa marefa wako upande wa Simba, hii iliwatoa mchezoni mapema.
3. Huenda Jean Charles Ahoua ameanza kuizoea ligi, anacheza kikubwa mno ( nilikua nikiuponda uchezaji wake wa nyuma).
4. Kibu Denis ni msaada mkubwa mno kwa Simba, anashambulia na kukaba.
5. Kumtoa Mohamed Hussein kuliifanya Simba icheze defensive game badala ya offensive, Fadlu asingeepuka lawama kama Singida wangepata goli maana ile sub iliwakaribisha Singida langoni kwa Simba.
6. Metacha Mnata ni moja kati ya magolikipa bora wazawa, sielewi kwanini Yanga walimuacha.
7. Mechi ya leo imedefine Simba inataka nini msimu huu, kuna uwezekano Simba ikatwaa ubingwa wa NBC.
Simba nguvu moja.
Kabisa...sii wanasema wachezaji wa bongo kama hawajitumi basi maforena wataendelea kuletwa. Basi na marefa nao wawafanyie hivyo hivyo waletewe marefa wakigeniTFF itafute marefa kutoka ulaya kama ilivyofanya saudia
Hawa jamaa wanavyocheza kwa kutegemea marefa na ushindi wao wa goli Moja Moja natamani sana mechi yao na yanga ifike ata wao na Azam utakuja kuona makosa yao vizuri,,hizo mechi kwa uchezaji wao huu awatotoboa kwa maana wanafanya pressing kukabia juu wakati huo awako vizuri kwenye defence line yao,,angalia nafasi 2 alizopata Rupia akashindwa kuzitumia ilitokana na wao kujaa juu na kuacha nafasi eneo lao la ulinzi,,pia angalia aina ya magori yao,,wamefunga magori 5 kwenye mechi tofauti ndani ya kipindi cha kwanza na kipindi cha pili wanakuwa pumzi imekata,,sasa uwezi kucheza na yanga kwa au Azam ya sasa kwa dizaini iyo maana awatokupa nafasi kuanzia dk ya kwanza mpaka sekunde ya mwisho na yale magori ya papatu papatu utoweza kupata hizo nafasi!Hapana Marefa wanaharibu Sana mpira, Inawaharia ata kupata nafasi za kuchezesha mechi za Mashindano makubwa.
Nyie mashabiki wa kombe la shirikisho uku amruhusiwi ku comment chochote.Kashabikie chandimu huku hustahili kuwepo
si ndipo mlipovalishwa medali za bati au mnajisahaulisha kiufupi huko mlipo pumzi imekata tia maji tu mlidhani kuvuka makundi ni kama kutoa mkuki nyumaNyie mashabiki wa kombe la shirikisho uku amruhusiwi ku comment chochote.
Uku muwe mnasoma tu
Mambo ya klabu Bingwa hayaingiliani na kombe la kina mama.si ndipo mlipovalishwa medali za bati au mnajisahaulisha kiufupi huko mlipo pumzi imekata tia maji tu mlidhani kuvuka makundi ni kama kutoa mkuki nyuma
na wewe ulipita huko huko kwenye umamaMambo ya klabu Bingwa hayaingiliani na kombe la kina mama.
Wamecheza kwa presha ya kupata 100m huku wakiwa mashaka dhidi ya refarii.Vijana waliahidiwa jumla ya 100m, ila wamekutana na mabingwa.
Ni afadhali ucheze mpira wako kuliko kukamia utaumia.
Huko mliko mlivamia kundi la wanaume wenye upwiru mkiwa uchi . Ndiyo Maana Kila mwanaume huko mliko anajibakia tu.Nyie mashabiki wa kombe la shirikisho uku amruhusiwi ku comment chochote.
Uku muwe mnasoma tu
Mwendawazimu pekeee ndio anaweza chambua ilo Goli la Kibu.Goli la Kibu mbona hujalichambua
Huu mpira uliuangalia mwenyew mdau au tuliangalia woteHamza ana msukumiza Metacha , Ngoma anafunga goli.
Makosa ya kibinadamu yanaendelea.
Nimetoka kwenye ban, chura jike nipisheMwendawazimu pekeee ndio anaweza chambua ilo Goli la Kibu.
Kumbuka huyo ni Uto unapigia chura gitaaHuu mpira uliuangalia mwenyew mdau au tuliangalia wote
Ni timu gani imeibuka na ushindi?8 refa lawi alikuwa upande wa simba.
9 ande koffi ni bonge moja ya fullback
10 kennedy juma leo kazima fresh sana
11 simba bado wapo weak kwente transition....makosa yaliyo sababisha 5-1 bado yapo. Kocha ayafanyie kazi.
Lile ni goli halaliGoli la Kibu mbona hujalichambua
Ukilewa tunauchomoa tukushighulikie vizuriMimi Yanga naumia na mwiko wangu nyuma nikiwa bar hapa😂😂