Mr Slim
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 2,652
- 5,242
Sina mpango wa kuuchomoa,Sisi kama Yanga hatutaki uchomolewe.Ukilewa tunauchomoa tukushighulikie vizuri
Ubaya ubwela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina mpango wa kuuchomoa,Sisi kama Yanga hatutaki uchomolewe.Ukilewa tunauchomoa tukushighulikie vizuri
Moja au nne? 😀😀😀Hiyo point moja tuliyopishana wataitapika tu watake wasitake.
Hawapaswi kuchezesha FEAR. Mpira ni starehe na ni mchezo kwa nini wachezeshe kwa hofu/woga?Umechambua vema mkuu! Ila soka letu bado linasafari ndefu sana kuwapata marefari wanaojiamini, kuchezesha fear na kujiamini hasa wanapochezesha timu hizi kubwa za Simba na ama Yanga
Una Macho Mazima Kabisa Tatizo Tv au Ulikuwa Unachungulia Kwenye N'dofo?Hamza ana msukumiza Metacha , Ngoma anafunga goli.
Makosa ya kibinadamu yanaendelea.
Sawa, kila mmoja ashinde mechi zake.Hiyo point moja tuliyopishana wataitapika tu watake wasitake.
Na mnavumilia aisee, mwiko nyuma tangu 1933?Mimi Yanga naumia na mwiko wangu nyuma nikiwa bar hapa[emoji23][emoji23]
Mpaka Thatha Aliyefukuza Kocha ni Yanga Shahidi Wangu Side Mjerumani.Kelele zenu Uto tunazijua. We subiri siku mfungwe au sare hata mechi moja tu, mtaanza kupiga kelele za kufukuza kocha. Huwa mnakosa uvumilivu na subira.
Wahi Tff kawaambie Wawawahishe Gereji hao Marefa Watengenezwe!Hapana Marefa wanaharibu Sana mpira, Inawaharibia ata kupata nafasi za kuchezesha mechi za Mashindano makubwa.
Unachangia Sh'ngapi Kwa Kuanzia?TFF itafute marefa kutoka ulaya kama ilivyofanya saudia
Sawa Kocha Wa Yanga Side Mjerumani.8 refa lawi alikuwa upande wa simba.
9 ande koffi ni bonge moja ya fullback
10 kennedy juma leo kazima fresh sana
11 simba bado wapo weak kwente transition....makosa yaliyo sababisha 5-1 bado yapo. Kocha ayafanyie kazi.
Mi ni serikali?Unachangia Sh'ngapi Kwa Kuanzia?
Asante.....sasa tugeukie caf matches.Sawa Kocha Wa Yanga Side Mjerumani.
Usisapoti Maneno Tupo Umechangia Sh'ngapi kwenye Huo Mpango wenu?Kabisa...sii wanasema wachezaji wa bongo kama hawajitumi basi maforena wataendelea kuletwa. Basi na marefa nao wawafanyie hivyo hivyo waletewe marefa wakigeni
Kwani kwa suala la wachezaji wakigeni wao wana hangia shilingi ngapi?Usisapoti Maneno Tupo Umechangia Sh'ngapi kwenye Huo Mpango wenu?
8. Amefungwa Singida anatumia Utopolo1. Leo tumeshuhudia mechi nyingine tafu kwa Simba, ukubwa wa Simba umeamua mechi.
2. Singida waliingiia na maneno ya nje ya uwanja kuwa marefa wako upande wa Simba, hii iliwatoa mchezoni mapema.
3. Huenda Jean Charles Ahoua ameanza kuizoea ligi, anacheza kikubwa mno ( nilikua nikiuponda uchezaji wake wa nyuma).
4. Kibu Denis ni msaada mkubwa mno kwa Simba, anashambulia na kukaba.
5. Kumtoa Mohamed Hussein kuliifanya Simba icheze defensive game badala ya offensive, Fadlu asingeepuka lawama kama Singida wangepata goli maana ile sub iliwakaribisha Singida langoni kwa Simba.
6. Metacha Mnata ni moja kati ya magolikipa bora wazawa, sielewi kwanini Yanga walimuacha.
7. Mechi ya leo imedefine Simba inataka nini msimu huu, kuna uwezekano Simba ikatwaa ubingwa wa NBC.
Simba nguvu moja.
Timu ambayo haiko vizuri kwenye defence line ndio imefungwa goli chache zaidi kuliko timu zote,utopolo wasingesaidiwa na Kayoko sasa hivi kungekuwa na gap la point 7.Kwani utopolo baada ya kuwashauri ndugu zao wapeleke mechi Zanzibar ili wawafunge vizuri waliwafunga goli ngapi?Hawa jamaa wanavyocheza kwa kutegemea marefa na ushindi wao wa goli Moja Moja natamani sana mechi yao na yanga ifike ata wao na Azam utakuja kuona makosa yao vizuri,,hizo mechi kwa uchezaji wao huu awatotoboa kwa maana wanafanya pressing kukabia juu wakati huo awako vizuri kwenye defence line yao,,angalia nafasi 2 alizopata Rupia akashindwa kuzitumia ilitokana na wao kujaa juu na kuacha nafasi eneo lao la ulinzi,,pia angalia aina ya magori yao,,wamefunga magori 5 kwenye mechi tofauti ndani ya kipindi cha kwanza na kipindi cha pili wanakuwa pumzi imekata,,sasa uwezi kucheza na yanga kwa au Azam ya sasa kwa dizaini iyo maana awatokupa nafasi kuanzia dk ya kwanza mpaka sekunde ya mwisho na yale magori ya papatu papatu utoweza kupata hizo nafasi!
Sawa Gamondi sasa Mbona Ulifukuzwa kwenye Bendi ya Vyura Jazz?Hawa jamaa wanavyocheza kwa kutegemea marefa na ushindi wao wa goli Moja Moja natamani sana mechi yao na yanga ifike ata wao na Azam utakuja kuona makosa yao vizuri,,hizo mechi kwa uchezaji wao huu awatotoboa kwa maana wanafanya pressing kukabia juu wakati huo awako vizuri kwenye defence line yao,,angalia nafasi 2 alizopata Rupia akashindwa kuzitumia ilitokana na wao kujaa juu na kuacha nafasi eneo lao la ulinzi,,pia angalia aina ya magori yao,,wamefunga magori 5 kwenye mechi tofauti ndani ya kipindi cha kwanza na kipindi cha pili wanakuwa pumzi imekata,,sasa uwezi kucheza na yanga kwa au Azam ya sasa kwa dizaini iyo maana awatokupa nafasi kuanzia dk ya kwanza mpaka sekunde ya mwisho na yale magori ya papatu papatu utoweza kupata hizo nafasi!
Hizo Akili za fisi kusubiri mkono udondoke ndio umaamuma wenyewe...Hutaki umetaka Simba bingwa msimu huu. Kuna gape la point 3 litaomgezeka muda sio mrefu tena mzunguko wa 19 hadi 21Hiyo point moja tuliyopishana wataitapika tu watake wasitake.
Wewe huna macho au ushabiki wa kipuuzi? Kuna aliyemgusa kipa pale? Tuache kushadadia ujinga basiHamza ana msukumiza Metacha , Ngoma anafunga goli.
Makosa ya kibinadamu yanaendelea.
Sasa Na wewe Mbona Unaharibu Wino kwa kuandika komenti ya Kutochukua Ubingwa kwa Simba Au ukinyamaza Watabeba kweli?Ni Tanzania pekee timu inaongoza Ligi uku marefa wanao chezesha mechi zake wakitoka na aibu na kudhallika kwa upendeleo.
Maguvu yote ayo mnayotumia si mngewekeza kwenye usajili wa wachezaji wazuri!!
Sasa marefa wanadhalilika na Ubingwa hamchukui si inakua kazi Bure.😄😄