Machache yaliyoonekana Simba ikiibuka na ushindi dhidi ya Singida Big Stars

8 refa lawi alikuwa upande wa simba.
9 ande koffi ni bonge moja ya fullback
10 kennedy juma leo kazima fresh sana
11 simba bado wapo weak kwente transition....makosa yaliyo sababisha 5-1 bado yapo. Kocha ayafanyie kazi.
 
Hapana Marefa wanaharibu Sana mpira, Inawaharia ata kupata nafasi za kuchezesha mechi za Mashindano makubwa.
Hawa jamaa wanavyocheza kwa kutegemea marefa na ushindi wao wa goli Moja Moja natamani sana mechi yao na yanga ifike ata wao na Azam utakuja kuona makosa yao vizuri,,hizo mechi kwa uchezaji wao huu awatotoboa kwa maana wanafanya pressing kukabia juu wakati huo awako vizuri kwenye defence line yao,,angalia nafasi 2 alizopata Rupia akashindwa kuzitumia ilitokana na wao kujaa juu na kuacha nafasi eneo lao la ulinzi,,pia angalia aina ya magori yao,,wamefunga magori 5 kwenye mechi tofauti ndani ya kipindi cha kwanza na kipindi cha pili wanakuwa pumzi imekata,,sasa uwezi kucheza na yanga kwa au Azam ya sasa kwa dizaini iyo maana awatokupa nafasi kuanzia dk ya kwanza mpaka sekunde ya mwisho na yale magori ya papatu papatu utoweza kupata hizo nafasi!
 
Ni Tanzania pekee timu inaongoza Ligi uku marefa wanao chezesha mechi zake wakitoka na aibu na kudhallika kwa upendeleo.
Maguvu yote ayo mnayotumia si mngewekeza kwenye usajili wa wachezaji wazuri!!
Sasa marefa wanadhalilika na Ubingwa hamchukui si inakua kazi Bure.๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
8 refa lawi alikuwa upande wa simba.
9 ande koffi ni bonge moja ya fullback
10 kennedy juma leo kazima fresh sana
11 simba bado wapo weak kwente transition....makosa yaliyo sababisha 5-1 bado yapo. Kocha ayafanyie kazi.
Ni timu gani imeibuka na ushindi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ