Machache yaliyoonekana Simba ikiibuka na ushindi dhidi ya Singida Big Stars

Kuna moja nimeliona ' MWIKO NYUMA WAMEUMIA SANA' 😂😂😂
 
Metacha Mnata ni 🚮🚮
 
Sasa Na wewe Mbona Unaharibu Wino kwa kuandika komenti ya Kutochukua Ubingwa kwa Simba Au ukinyamaza Watabeba kweli?
Najua Awana timu ya kutwaa Ubingwa Wala nafasi ya pili.
Mimi Raha yangu wakiwa Wana nung'unika hasa kutishia kuhamia Burundi😄
 
Wewe ni kilaza ndio maana hujui kubishana kwa hoja, ukibanwa kidogo unakimbilia sijui 5-1,siye tumeshakukanda 5-0 na haujawahi kulipa, acha zile 6-0,goli nne nne ndio nimekupiga mara nyingi tu, ukija kimataifa sie ndio ma master, ukibisha kaangalie ranks za CAF, siye huwa tukishiriki hatuleti aibu ya kuburuza mkia kwenye kundi kwa point 1 kwenye mechi 3,utopolo ndio mnashikilia rekodi ya timu iliyofungwa magoli mengi klabu bingwa hatua ya makundi, milifungwa goli 19 mwaka 1998,hakuna timu iliyofungwa magoli mengi kuliko utopolo tangu kuanzishwa kwa ligi hiyo mwaka 1964/65.Sisi tumeshawahi kuongoza kundi lenye Al Ahly na AS Vita, kwa hiyo kimataifa usijilinganishe na sisi kabisa.
 
U ingawa tunachukua na hamtufanyi lolote kenge wafupi....
 
Vilaza ujui walipo, we mwenyewe ni amnazo unarukaruka tu ubishi mwingi for nothing,,umesema kayoko alitubeba nimekuuliza mechi zote mlizofungwa mfululizo kayoko ndio alikuwa refa? Mbona unajichanganya mwenyewe ueleweki shida nini?
Unatuletea historia hapa sasa iyo historia imekusaidia nini kucheza shirikisho? Au ilikusaidia nini kushika nafasi ya tatu msimu uliopita?
 
Wewe ni kilaza, historia unaleta wewe kwa kukumbushia 5-1 wakati zaidi ya nusu ya wachezaji waliofungwa sasa hawapo, kikosi hiki ni kipya cha msimu huu, ni bora ndio maana kinaongoza ligi ukibanwa kidogo unakumbushia mechi za nyuma, ndio maana nimekupa nami historia yani nakunywesha dawa uliyoutengeneza mwenyewe.
 
Azam ipi hiyo? Hii hii niliyoifumua 2 bila?

Yanga hii hii ambayo ndani ya dk 90 ilishindwa kufunga goli hata la offside?
 
Hiyo backline ulishindwa kuifunga hata goli la offside.

Hapa tanzania hakuna timu yoyote ile inayoweza kuifungua backline ya simba kama simba inaamua kupaki basi.

Kimataifa magoli ma3 tuliyofungwa ni makosa ya mabeki na sio uwezo wa timu pinzani kuifungua backline ya simba.
 
Kwani yanga na azam hazijacheza na simba round ya kwanza ama kweli vipigo vya tabora vimekuchanganya!
 
Mie mbona nachangia tayari nalipoa azam tv nae da kicheki game uwanjani sasa mchango gani tena
Kwa hiyo Unaendaga na tv uwanjani ? Kama unalipia Azam tv si unamchangia Bakhresa na wanae,Kama unaenda Uwanjani Si unaenda kumchangia Timu Mwenyeji? Tff wanahusikaje?
 
Wewe ni kiazi kweli, yani umechambua mpira umeshindwa kugusia maamuzi dhahiri mabovu ya refa?
 
Kwa hiyo Unaendaga na tv uwanjani ? Kama unalipia Azam tv si unamchangia Bakhresa na wanae,Kama unaenda Uwanjani Si unaenda kumchangia Timu Mwenyeji? Tff wanahusikaje?
Habari za asubuhi backbencher mwezangu 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Azam ipi hiyo? Hii hii niliyoifumua 2 bila?

Yanga hii hii ambayo ndani ya dk 90 ilishindwa kufunga goli hata la offside?
Kwaiyo timu yako kwa sasa ishakuwa na ubora sio,, Azam uliifunga kwa magoli ya aina Gani,,kaifunge Tena sasa hivi tuone kama unao ubavu,,
 
Kwani yanga na azam hazijacheza na simba round ya kwanza ama kweli vipigo vya tabora vimekuchanganya!
Yanga alipocheza na Simba ilikuwaje round ya kwanza tupe matokeo, na Azam ulimfunga magoli ya aina Gani, kama unayo timu kamfunge Tena Azam round ya pili kama unao ubavu, kwa yanga ata siongei kwakuwa jibu unalo!
 
Kwaiyo mechi ya mwisho ulifungwa 5-1? Timu iliyogongwa msimu huu si hii hii mpya au Kuna nyingine unayo mfukoni mwako? Timu yako bado sana kuufikia ubora wa yanga usijifiche kwenye kichaka cha kuongoza ligi kwa maana ata singida alishaongoza ligi na Azam na majibu utayapata kama unayo timu kweli ama laah baada ya kukutana na yanga na azam kwakuwa ubishi ni jadi yako na ni kawaida ya waha wa kigoma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…