Machache yanayonifanya niamini uwepo wa Mungu: Hatari ya kuamini hakuna Mungu

Machache yanayonifanya niamini uwepo wa Mungu: Hatari ya kuamini hakuna Mungu

Utakuwa una matatizo ya uelewa


Hivi ni mimi ndiye ninayo matatizo ya uelewa au ni wewe??.

Hebu angalia kwa makini; "kiti cha enzi", maneno hayo matatu yanawakilisha hadhi, wadhifa, utukufu, heshima, utawala nk wa mtu husika na kwa kiarabu ndio ARSHI na kwa kizungu ndio Throne, wewe unadai "kiti cha enzi" ni kiti HALISI, kiti halisi kwa kiarabu ni kursiyyu na kwa kimombo ni chair, sasa inatakiwa kuanzia leo ujue kuwa maneno; kiti cha enzi yanawakilisha sifa tajwa na hakuna kitu TANGIBLE kinaitwa "KITI CHA ENZI" katika muktadha huo.

Ajabu ni kwamba unajadili kitu cha mtu ulichokiunda physically mawazoni mwako "mtu"ambaye kwako wewe hayupo wala hajapata kuwepo, kwako ilikuwa ni just simple useme kwamba kwakuwa mtu huyo hayupo hata kujadili kitu kinachosemwa kuwa ni mali yake haijuzu kwakuwa mtu huyo hayupo wala hajapata kuwepo, yaani unajadili mbeleko ya mtoto "hewa" ambaye hata mimba haipo!!!, naam unayo haki ya kujadili lakini jadili katika context iliyokuwa sahihi kwamba kiti cha enzi sio kiti kama sofa, stool au mbuzi ya kukunia nazi tunazotumia katika shughuli zetu za kawaida. Ni kwamba wewe unadai kiti cha enzi ni physical chair na sio Throne ili tu ujipatie hoja ya kukanusha uwepo wa Mungu.

Sasa hapo ni nani mwenye uelewa hafifu??

Kumbuka "kiti cha enzi" pia ni jina la sifa na sio jina la kitu katika huo muktafha.
 
Hivi ni mimi ndiye ninayo matatizo ya uelewa au ni wewe??.

Hebu angalia kwa makini; "kiti cha enzi", maneno hayo matatu yanawakilisha hadhi, wadhifa, utukufu, heshima, utawala nk wa mtu husika na kwa kiarabu ndio ARSHI na kwa kizungu ndio Throne, wewe unadai "kiti cha enzi" ni kiti HALISI, kiti halisi kwa kiarabu ni kursiyyu na kwa kimombo ni chair, sasa inatakiwa kuanzia leo ujue kuwa maneno; kiti cha enzi yanawakilisha sifa tajwa na hakuna kitu TANGIBLE kinaitwa "KITI CHA ENZI".

Ajabu ni kwamba unajadili kitu cha mtu ulichokiunda physically mawazoni mwako "mtu"ambaye kwako wewe hayupo wala hajapata kuwepo, kwako ilikuwa ni just simple useme kwamba kwakuwa mtu huyo hayupo hata kujadili kitu kinachosemwa kuwa ni mali yake haijuzu kwakuwa mtu huyo hayupo wala hajapata kuwepo, yaani unajadili mbeleko ya mtoto "hewa" ambaye hata mimba haipo!!!, naam unayo haki ya kujadili lakini jadili katika context iliyokuwa sahihi kwamba kiti cha enzi sio kiti kama sofa, stool au mbuzi ya kukunia nazi tunazotumia katika shughuli zetu za kawaida. Ni kwamba wewe unadai kiti cha enzi ni physical chair na sio Throne ili tu ujipatie hoja ya kukanusha uwepo wa Mungu.

Sasa hapo ni nani mwenye uelewa hafifu??

Kumbuka "kiti cha enzi" ni jina la sifa na sio jina la kitu.
Hivi maana ya kuketi nini?

Refer hii #"ameketi kwenye kiti cha enzi"#
 
Hivi maana ya kuketi nini?

Refer hii #"ameketi kwenye kiti cha enzi"#


Hivi kutupa macho mbele ni nini??--- unaposema; nimetupa macho mbele, unamaanisha kitu gani??.

Ukipata jibu la swali hilo bila shaka utakuwa umepata jibu la swali lako.

NB; Misemo hiyo inaitwa thamathali za Lugha ( figure of speeches).
 
Hivi ni mimi ndiye ninayo matatizo ya uelewa au ni wewe??.

Hebu angalia kwa makini; "kiti cha enzi", maneno hayo matatu yanawakilisha hadhi, wadhifa, utukufu, heshima, utawala nk wa mtu husika na kwa kiarabu ndio ARSHI na kwa kizungu ndio Throne, wewe unadai "kiti cha enzi" ni kiti HALISI, kiti halisi kwa kiarabu ni kursiyyu na kwa kimombo ni chair, sasa inatakiwa kuanzia leo ujue kuwa maneno; kiti cha enzi yanawakilisha sifa tajwa na hakuna kitu TANGIBLE kinaitwa "KITI CHA ENZI".

Ajabu ni kwamba unajadili kitu cha mtu ulichokiunda physically mawazoni mwako "mtu"ambaye kwako wewe hayupo wala hajapata kuwepo, kwako ilikuwa ni just simple useme kwamba kwakuwa mtu huyo hayupo hata kujadili kitu kinachosemwa kuwa ni mali yake haijuzu kwakuwa mtu huyo hayupo wala hajapata kuwepo, yaani unajadili mbeleko ya mtoto "hewa" ambaye hata mimba haipo!!!, naam unayo haki ya kujadili lakini jadili katika context iliyokuwa sahihi kwamba kiti cha enzi sio kiti kama sofa, stool au mbuzi ya kukunia nazi tunazotumia katika shughuli zetu za kawaida. Ni kwamba wewe unadai kiti cha enzi ni physical chair na sio Throne ili tu ujipatie hoja ya kukanusha uwepo wa Mungu.

Sasa hapo ni nani mwenye uelewa hafifu??

Kumbuka "kiti cha enzi" ni jina la sifa na sio jina la kitu.
Hoja yangu haipo katika maneno hayo matatu "kiti cha enzi"

Hoja yangu ipo kwenye sentesi kamili "ameketi kwenye kiti cha enzi"

Lakini nimekuambia swala hilo ni kitendo cha kukaa kutokana na kwamba huyu Mungu ameelezwa sehemu tofauti tofauti zinazo thibitisha yuko physically

Mfano katika uumbaji, huyu Mungu alikuwa ana tamka kitu fulani kiwe na kina kuwa.

Hapo ni mdomo ulikuwa unatumika, hakuna namna unaweza kutafuta maneno ya kuunga useme haikumaanisha hivyo

Kwenye stori hiyo hiyo ya uumbaji alipofika hatua ya kumuumba mtu alichukua udongo kwa mikono yake mwenyewe kisha akaufinyanga na baada ya kukamilisha akaupulizia pumzi.

Hivyo vyote ni vitendo physically vinavyoonesha Mungu ana mdomo na mikono aliyotumia kufinyangia udongo.

Na ndio maana baada ya kukamilisha uumbaji wa mtu akasema amemuumba kwa mfano wake.
 
Kama kila kitu sio lazima kiwe na chanzo basi hata ulimwengu hauna chanzo

Kama unakubali akili zetu haziwezi kufikiria kwa usahihi kwasababu ziko limited, utajuaje kuwa hata hilo wazo la kusema muumbaji wa ulimwengu ni Mungu sio muendelezo ule ule wa kufikiria majibu yasio sahihi?

Kabla ya kusema kumuamini Mungu hapo unakuwa umeruka vipengele baadhi ambavyo havijaonesha namna gani umefika hapo

Umejuaje kuna Mungu ambaye anapaswa kuaminiwa?

Ni akili ipi uliyoitumia kujua hilo?

Katika maswali yako uliyojiuliza kuhusu hatma ya ulimwengu nakujibu kwa kukupa maswali zaidi

Hapa nachukua upande wa dini ambao najua wengi ndio mnasimamia

Dini zimesema hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na ardhi

Kumbuka huo ni mwanzo, unaweza kujiuliza kabla ya mwanzo kulikuwaje?

Kama mwanzo umeanza na Mungu kuumba mbingu na ardhi, je huo sio mwanzo wa uwepo wa Mungu pia?

Kama Mungu alikuwepo kabla basi huo sio mwanzo

Lakini utajiuliza tena alikuwa akiishi wapi maana mbingu na ardhi kaviumba leo ambayo ndio mwanzo, na yeye wansema ni wamilele. Alikuwa akiishi wapi?

Haya huko pia alipokuwa akiishi kuliumbwa na nani?

Na kama kulikuwa kuna sehemu anaishi bado tu hii ya ulimwengu na ardhi itaendelea kuhesabika kama mwanzo?

Au tuseme ni mwanzo wa uumbaji na tukubaliane kwamba hakukuwa na uimbaji mwingine uliotangulia kabla ya huo?

Hapo kuna maswali mengi magumu naomba tupaache tuelekee section ya pili na huwezi kukuta pastor ana hubiri hoja tata kama hizo

Haya tujiulize mazingira ya uumbaji yalivyofanyika

Mfano leo hii ukitaka kuchimba shimo lazima utaanzia juu ya ardhi, nikiwa na maana kwamba utasimama ukiwa hapo na likikamilika utaweza kuingia ndani

Leo hii ukimkuta mtu yupo shimoni baada ya kuchimba shimo itakuwa ni rahisi kufikiria kuwa kabla ya kuingia shimoni kulikuwa na ardhi ambayo iko level ambapo hapo ndio alisimama akachimba mpaka kutengeneza shimo

Sasa Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?

Huwezi kufikiria aliumba ulimwengu akiwa ndani ya ulimwengu kwasababu itaonekana hapo anaufanyia repair kwa maana ya kwamba ulikwisha jengwa

Unacho kiwaza mm niliwaza tu hii space nafas nan aliitengeneza na kama
Mungu yeye alikaa wapi kama nafasi haikuwepo kulipia kuna vitu gan
 
Kila kitu sio lazima kiwe na chanzo, yes but ulimwengu una chanzo. Hata wanasayansi wanathibitisha kuwa ulimwengu wetu huu ulianza miaka bilioni 13 iliyopita (big bang theory).

Mungu ndio hana chanzo, ambapo nimekuambia kuwa kwa akili yako dhaifu haiwezi comprehend Hilo.

Pia kumbuka sio lazima kuwa ulimwengu kuwa ndio sehemu pekee ambayo existence inaweza kuwepo. Ushawahi kujiuliza kuwa ulimwengu una mipaka? Kama ipo, iyo mipaka itakuwa inatenganisha ulimwengu na Nini? Kama ulimwengu hauna mipaka, then utakuwa unaextend Hadi wapi?

Tunatambua uwepo wa Mungu kwa sababu Mungu mwenyewe katupa ishara juu ya uwepo wake. Katika Qur'an Mungu anatumbia tuangalie jinsi alivyoumba mbingu (universe), na jinsi alivyoipendezesha mbingu ya chini na nyota (observable universe). Hizi ishara nimezielezea kwa undani katika post yangu and infact ishara ziko nyingi, kuna wanyama, bahari, milima, miti na vyengine (every designing implies designer).

Shida ni akili yako ambayo haiwezi comprehend kuwa Kuna vitu havina mwanzo na Kuna kuna space outside universe kwasababu hata wanasayansi wanakadiria kuwa Kuna uwezekano Kuna zaidi ya ulimwengu mmoja (multiverse).

Kwenye mfano wako wa shimo, sio lazma mchimbaji aingie shimoni, Mungu anatuambia kuwa yeye ni mkubwa sana zaidi ya universe. Kwaiyo kwenye mfano wako wa shimo na mchimbaji haviwezi kuendana. Chukulia mfano wa mtu anavyotengeneza mpira, si lazima aingie katika huo mpira, afterall nani kakuambia Mungu katengeneza ulimwengu kwa mikono yake.

Mungu, anasema elimu aliyotupa ni ndogo Sana, sehemu ambayo tumeigundua katika ulimwengu ni ndogo sana. Tuna LIMIT kujua baadhi ya vitu na vitu vingi hatuvijui, science inathibisha Hilo.

[emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha mkristu akisema mungu wake ana mwana utampinga sana

Hii nafas au space iliumbwa na nan na b4 kulikua na nn wana sayansi wamesema chanzo cha haya mabara iyo big bang theory
Tuseme haya maisha yametokea tu bila mtu kutia mkono wake
 
Kiyasansi Mungu hayupo. Lakini kwa elimu zingine zinathibitisha Mungu yupo.
Sayansi haina uwezo wa kujibu KILA kitu, hadi SAsa imejibu asilimia 10 tu ya mambo yaliyopo. 90 ya mambo imeshindwa yamejibiwa na elimu zingine.

Mfano yapi 90% science haijajibu?
 
Napata mashaka kujua kama umeelewa hata nilicho kiandika.

Serikali kupoteza kiasi kikubwa katika bajeti ya kufanya utafiti wa anga ni jambo jingine, na serikali kupoteza kiasi kikubwa kufanya utafiti wa anga kwa ajili ya ku prove habari za dini ni habari nyingine

Hoja yako ni ipi?

Kwamba mataifa makubwa yamekuwa yakipoteza kiasi hicho cha pesa kufanya research za anga kwa lengo la ku prove madai ya dini?

Harry potter, Spiderman na habari za Mungu ni the same book on different page

Kama unauliza kwanini Sayansi haifanyi utafiti kuhusiana na habari za Mungu unabidi ujiulize ni lini Sayansi ilifanya utafiti wa kujua Spiderman na Harrypotter wapo

Hivi unaelewa mwaka ni mjumuisho wa siku zaidi ya 300?

Unaelewa ili siku itimie ni lazima tupate mzunguko wa dunia na huo mzunguko lazima uhusishe jua na mwezi

Sasa kwa mujibu wa vitabu vyenu vimesema jua na mwezi viliumbwa siku ya tatu, kimantiki hiyo imekaaje?

Siku tatu ziliwezaje kupita wakati jua na mwezi hakikuwepo?

Kwenye ishu ya musa umesema inawekezana? Yaani umekubali kuwa kwa siku walikuwa wanatembea sentimita 30 usawa wa rula anayotumia mwanafunzi wa darasa la sita?

Huo ni uvivu au namna gani mzee?

Maana hata ukiwa na enka sidhani kama utatembea kwa spees hiyo

Scars we bro n genius aiSee tunaomba kitabu please sjawah kuwaza ilo jambo walivo sem sku saba alt jua wala mwez havikuwepo aisee
 
Kama Qur'an isingeandika baadhi ya aya zake katika muundo wa tamathali hiyo Qur'an nadhani ingekuwa na uzito wa zaidi ya tani kumi.

Thamathali makes a person use his/her mental power thus exercises his brain apart from gaining desired lessons.

[emoji43]‍[emoji94][emoji43]‍[emoji94][emoji43]‍[emoji94][emoji23][emoji23] tan kumi duuh
 
Hoja yangu haipo katika maneno hayo matatu "kiti cha enzi"

Hoja yangu ipo kwenye sentesi kamili "ameketi kwenye kiti cha enzi"

Lakini nimekuambia swala hilo ni kitendo cha kukaa kutokana na kwamba huyu Mungu ameelezwa sehemu tofauti tofauti zinazo thibitisha yuko physically

Mfano katika uumbaji, huyu Mungu alikuwa ana tamka kitu fulani kiwe na kina kuwa.

Hapo ni mdomo ulikuwa unatumika, hakuna namna unaweza kutafuta maneno ya kuunga useme haikumaanisha hivyo

Kwenye stori hiyo hiyo ya uumbaji alipofika hatua ya kumuumba mtu alichukua udongo kwa mikono yake mwenyewe kisha akaufinyanga na baada ya kukamilisha akaupulizia pumzi.

Hivyo vyote ni vitendo physically vinavyoonesha Mungu ana mdomo na mikono aliyotumia kufinyangia udongo.

Na ndio maana baada ya kukamilisha uumbaji wa mtu akasema amemuumba kwa mfano wake.


Usiingie kwenye mada mpya ya uumbaji wa Mungu na "mdomo" na "mikono" yake japo hata katika hilo hoja yako haina mashiko, kwanza tubaki kwenye "kuketi kwenye kiti cha enzi".

Hebu chukua msemo huu maarufu wa kiswahili; "Tupa macho mbele" je huu msemo maana yake ni angalia mbele au ng'oa macho yako kutoka hapo yalipo na uyatupe mbele yako??!-- bila shaka utakubaliana na mimi kwamba kutupa macho mbele ni kuangalia mbele, au mfano inaposemwa kiongozi fulani kasimikwa au katawazwa je maana yake kasimikwa ardhini kama mti au katawazwa kasafishwa mwili wake!!??--- kusimikwa au kutawazwa ni kupewa wadhifa au majukumu nk, ni hivyo hivyo kuketi kwenye kiti cha enzi maana yake ni "kuchukua mamlaka, madaraka, jukumu nk, kinyume chake ni kuondoshwa au kuondoka madarakani (dethroned), Vyovyote utakavyo yaweka hayo maneno maana yake ni hiyohiyo ya kupata madaraka, wadhifa, majukumu ya kiutawala nk, ama useme; kukaa juu ya kiti cha enzi, kukaa kwenye kiti cha enzi au kuketi katika kiti cha enzi yote hayo maneno yana maana moja, hebu chukua mfano huu hai wakati spika wa bunge letu mara kadhaa mbunge anapopingana naye yeye husema kumwambia mbunge: "mbona unabishana na kiti !!" Je inawezekana kidhahiri mbunge akabishana na kiti anachokalia spika??
hapa kubishana na kiti ni kubishana na mamlaka ya spika na si vinginevyo na hizo ndizo (figure of speeches).

Kumbuka Mungu ni spirit hivyo anayo staili yake ya kutupasha habari sisi physical beings.

Narudia tena, katika Qur'an kuna aya za aina mbili, kwanza zilizo straightforward katika maana na zile zilizo implicit katika maana.
 
Back
Top Bottom