Machache yanayonifanya niamini uwepo wa Mungu: Hatari ya kuamini hakuna Mungu

Machache yanayonifanya niamini uwepo wa Mungu: Hatari ya kuamini hakuna Mungu

Ukubwa na udogo wa kitu huonyesha ukuu wa Mungu, ingawa kwenye post sikuzungumzia kuhusu vitu vidogo.

Kwanza Kuna vitu unabidi uvielewe kuhusu dini na imani;

•Nimesema kuwa (according to religious teachings), hatujapewa elimu juu vitu vyote. Akili ya binadamu ni limited.
Hata science bado haiwezi kuelezea mambo mengi ambayo tunayaona kila siku.
Hiyo science unayoiamini bado haina majibu juu ya mambo mengi tu;
Mfano
a. Kwanini tunalala?
b. Kwanini tunaota?
c. Kwanini tunapiga miayo?
d. Kwanini nyanya ina gini nyingi zaidi ya binadamu?
e. Mysteries of black holes
f. How magic works?
g. Source of disappearances in Bermuda triangle

Jiulize ni asilimia ngapi ya ulimwengu ishakuwa explored na binadamu?

Huko mbali, wanasayansi wenyewe wanasema ni asilimia tano tu ya bahari ndio imegunduliwa.
Vip kuhusu hii solar system yetu?
Vipi kuhusu our milky way galaxy?
Then what about billion of galaxies out there?

Kuamini Mungu kwanza you have to submit to the will of God. You have to admit that your mind, level of thinking, intellect and observation are very weak kitu ambacho atheist wengi hawataki kukubali.

Kama akili yako haiwezi kusolve vitu vidogo tu vipi inaweza kudiscuss vitu vikubwa kama creation. Binadamu alieshindwa kujua what is going on in Bermuda triangle!![emoji1787]

Kama akili yako imeshindwa kuaccomodate kuwa Mungu ndio mkubwa zaidi, yeye ndio tata zaidi, hana chanzo, hatakuwa na mwisho na yeye ndio kaumba least complex beings.

Vipi wewe unaamini universe ilianza as tiny particle? Hiyo particle ilitokea wapi? iliundwa na vitu gani, hivyo vitu vilitokea wapi? How can something emerge from nothing? Mwisho wa siku utakuja kuconclude kwamba akili yako haiwezi KAMWE kutolea maelezo vitu vyote. Science is true lakini ina LIMIT yake, uelewa wetu una limit pia.

Msingi mkubwa wa dini/imani ni belief. Hata science imejengwa katika kuamini na kwa ufupi kila taarifa ili ikubalike unapaswa kuiamini.

Kwa layman, kivipi unakubali kuwa binadamu alitua mwezini?

Kivipi unakubali picha za NASA ni real? Sio editing?

Kivipi unakubali uwepo wa black holes na haujawahi kushika hata binoculars/telescope?

Huko mbali, umeshahi kuziona sayari katika mfumo wetu wa jua kwa kutumia devices?

Unaamini matukio ya kihistoria? Je una empirical evidences at you hand?

Kama unakubali kuwepo kwa vitu hivyo basi wewe pia unaamini tu (not witness), na hii haimaanishi kuwa vitu hivyo havipo.

Kwanza ili uamini, unatakiwa kupewa evidence, na evidence ya uwepo wa Mungu ni vitabu vya Mungu, Maisha ya Manabii na Mambo waliyoyafanya.

Pili ili kuithibitisha taarifa fulani you only need to trust the informer (sio lazima information iwe perceived katika sense organ zako)

Kama mnavyowaamini NASA, Historians, researchers, theorists and philosophers ndivyo hivyo nasisi tunawaamini Manabii, their miracles, revelations, books of God n.k.

Haya yote tunayaongea ni kugusia tu kati ya vingi vilivyozungumziwa, bali ushahidi wa uwepo wa Mungu upo katika vitabu vyake. Ni uvivu wa kusoma lakini Kama utasoma vitabu hivyo basi hiyo doubt uliyokuwa nayo itaondoka.

Kuna kila aina ya ushahidi kwenye vitabu hivyo lakini MMEGOMA kuchukua maarifa huko.

Kwa ufupi tu, kama hivi vitabu vya dini vilitungwa na watu, viliwezaje kuzungumzia mambo ya kisayansi ambayo leo yanathibitishwa kuwa ni kweli.

Mfano katika Quran vimezungumziwa vitu vingi ambavyo vinaendana na modern science

-Embryology
-The sky's protection
-Beginning of universe
-Iron within meteorites
-The meeting of the seas
-Sun moving in orbit (galactic revolution of solar system)
-Mountains as stakes
-Expansion of the universe
-Pain receptors and many more.

Katika kutofautiana, unaweza ukachagua cha kuamini na ukakitafutia sababu za kuamini lakini kuna upande mmoja tu ambao uko sahihi.
Alafu iko hivi. Science haiko kwa sababu INAYO majibu ya kila kitu bali Science ipo kwaajili ya KUTAFUTA majibu.

Kwenye sayansi hauji na majibu bali unaanza na maswali then una suggest kitu gani unafikiri nijibu then unafanya utafiti kuprove jibu lako... dini haiko ivo, yenye ipo tu inataka mtu aamini. Hatakama ni uongo na uko wazi... mfano story ya Nuhu, uongo mtupu ule.[emoji706]

Evolution theory is the truth (au closer to the truth) ukilinganisha na creation. Kibiblia ni kwamba dunia imeumbwa miaka 6000 iliopita, na ww unaamini hilo?[emoji1787] diversity yote hii ya binadamu imetokea katika span ya 6k years?

Sayansi haiko kwaajili ya kupinga uwepo wa mungu, bali inachunguza kama kweli mungu yupo. Na kwa kusema mungu, tunamaanisha mungu yupi kwanza? Maana kuna miungu wengi... watu wa mashariki ya kati ndio, kwa namna moja au nyingine wamefanikiwa kueneza mungu wao kwa asilimia kubwa. Na sisi waafrika tumeshika dini zao kwa sababu hatuna historia yetu. Mfano, kwani sisi tunajua tz ilikuaje miaka 1000 iliopita, au hata miaka 300 iliopita? [emoji1787] hatujui... ila wachina wana historia ya mpaka miaka 5000 iliopita na ndia maana uko hakuna uislam wala ukristo kwa asilimia kubwa ya watu. Sasa unaanzaje kumuaminisha mtu kua miaka 5000 iliopita kulikua na gharika la dunia nzima wakati yy anahistoria yake... ndiomaana waislamu huko watekwa wanapelekwa kuteswa,...

Na ulivosema kua bahari imechunguzwa kwa 5%, hio ni fact ilitolewa sijui 2002 hukoo.. kwasasa bahari imeshakua explored vya kutosha. Terrain za bahari zote zinajulikana, thanks to satellites. Volume ya maji ya dunia nzima nayo yanajulikana.... aya biblia inaongelea nn kuhusu deep sea creatures? Au quran?

Biblia mm nimeisoma yote na quran nimeisoma kidogo, changamoto ni kupata tafsiri ya quran nzima. Lakini nilifanikiwa kusoma vitu vilivokua vinanipa interest. Kama ilivotabiri mwanadamu wa kwanza kutua kwenye mwezi. Utabiri umeenda ndivo sivyo, na binadamu ametua mwezini miaka 100 sjui 50 kabla ya muda quran iliotabiri[emoji1787] na kuhusu mtume kushika mwezi mkono mmoja na jua mkono mwingine. Na kwamba mwezi umepasuliwa katikati [emoji706].. nenda zenji nafkir kuna hotel kadhaa zina darubini (mm nilienda rotana) inauwezo wa kuuangalia mwezi up-close, alafu unambie kama utaona huo mstari..... [emoji23]
 
Kila kitu sio lazima kiwe na chanzo, yes but ulimwengu una chanzo. Hata wanasayansi wanathibitisha kuwa ulimwengu wetu huu ulianza miaka bilioni 13 iliyopita (big bang theory).

Mungu ndio hana chanzo, ambapo nimekuambia kuwa kwa akili yako dhaifu haiwezi comprehend Hilo.

Pia kumbuka sio lazima kuwa ulimwengu kuwa ndio sehemu pekee ambayo existence inaweza kuwepo. Ushawahi kujiuliza kuwa ulimwengu una mipaka? Kama ipo, iyo mipaka itakuwa inatenganisha ulimwengu na Nini? Kama ulimwengu hauna mipaka, then utakuwa unaextend Hadi wapi?

Tunatambua uwepo wa Mungu kwa sababu Mungu mwenyewe katupa ishara juu ya uwepo wake. Katika Qur'an Mungu anatumbia tuangalie jinsi alivyoumba mbingu (universe), na jinsi alivyoipendezesha mbingu ya chini na nyota (observable universe). Hizi ishara nimezielezea kwa undani katika post yangu and infact ishara ziko nyingi, kuna wanyama, bahari, milima, miti na vyengine (every designing implies designer).

Shida ni akili yako ambayo haiwezi comprehend kuwa Kuna vitu havina mwanzo na Kuna kuna space outside universe kwasababu hata wanasayansi wanakadiria kuwa Kuna uwezekano Kuna zaidi ya ulimwengu mmoja (multiverse).

Kwenye mfano wako wa shimo, sio lazma mchimbaji aingie shimoni, Mungu anatuambia kuwa yeye ni mkubwa sana zaidi ya universe. Kwaiyo kwenye mfano wako wa shimo na mchimbaji haviwezi kuendana. Chukulia mfano wa mtu anavyotengeneza mpira, si lazima aingie katika huo mpira, afterall nani kakuambia Mungu katengeneza ulimwengu kwa mikono yake.

Mungu, anasema elimu aliyotupa ni ndogo Sana, sehemu ambayo tumeigundua katika ulimwengu ni ndogo sana. Tuna LIMIT kujua baadhi ya vitu na vitu vingi hatuvijui, science inathibisha Hilo.
Mungu amewaambia kupitia nini?
 
Kiti cha enzi, kiti hicho kukaa juu ya maji nk, hayo ni maneno ya kimwili yenye maana za kiroho, maneno hayo Mungu kayaeleza kimwili ili akili zetu za kimwili zipate mfano wa picha tu.

Ni hivi; aliposema kiti cha enzi maana yake ni cheo, hadhi, utukufu nk wa Mungu na kiti hicho kukaa juu ya maji maana yake ni kwamba viumbe hai hususan Binadamu ndiye amepewa na Mungu vipawa (faculties) vya kutangaza au kuonyesha sifa za Mungu kwani viumbe hai vyote vimeumbwa kutokana na maji, au wawezasema kwamba maji katika lugha ya kiroho ni ufunuo kutoka kwa Mungu kuja kwa watu kupitia manabii Wake, Ufunuo unakuja kutangaza sifa za Mungu, hadhi na utukufu wake hiyo ndio maana ya enzi Yake kukaa juu ya maji, kifupi ni kwamba maneno mengine ya Mungu ndani ya Qur'an yamejaa falsafa za kiroho zaidi na ukiyatafsiri literally utapata maana za kuchekesha na utazidi kupotea zaidi basi ndipo Mungu anasema:- "Laa yumasuhu illa mutaharuun"--- yaani (mtu) haishiki isipokuwa yule aliyetakasika, ni hadi pale roho yako itakapotakasika, utakapopenda kutakasika, utajapojitahidi kumuomba Mungu kwa unyenyekevu akutakase ndipo (utashika) utaelewa maana za ndani za maneno yake.

Mungu haitaji watu Wababe wanaojiona kuwa wanazo akili kubwa (egos) wakati hata hizo akili wanazojivunia hawakujipa wao wenyewe bali hawajui au wametia pamba fikra zao ili wasitambue kwamba ni huyo huyo Mungu ndiye kawapa hizo akili. Mungu haitaji chochote kutoka kwetu bali sisi ndio tunaohitaji kutoka kwake na yeye ndiye aliyetuumba hivyo, je ni sisi au Yeye anayepaswa kumnyenyekea mwenzake in submission ??!!--- ukipata jibu sahihi la swali hilo basi yakupasa u act na utamuona Mungu akiwa mbele yako miraculously.
Hapana sio kweli kuwa kiti cha enzi kinamaanisha cheo kama ambavyo umetoa tafsiri hapa

Kiti cha enzi sio coded name ni neno la kawaida linalomaanisha kiti cha kukalia.

Nakupa mfano kutoka kwenye kitabu chenu kikielezea muonekano wa malaika Jibril. Malaika Jibril ametajwa kuwa na mbawa zipatazo 600

Huyu ni malaika ambaye pia ni roho lakini hiyo ni stori yake ikielezea muonekano wake physically

Najua kuna migongano hapo kati ya shia na sunni kwenye swala hili, shia wanaamini Allah hana mwili na hivyo hawezi kuonekana ila Sunni wao wanaamini Allah ana mwili na wapo wanaodai Muhamad wakati anakufa alimuona Allah
 
Hapana sio kweli kuwa kiti cha enzi kinamaanisha cheo kama ambavyo umetoa tafsiri hapa

Kiti cha enzi sio coded name ni neno la kawaida linalomaanisha kiti cha kukalia.

Nakupa mfano kutoka kwenye kitabu chenu kikielezea muonekano wa malaika Jibril. Malaika Jibril ametajwa kuwa na mbawa zipatazo 600

Huyu ni malaika ambaye pia ni roho lakini hiyo ni stori yake ikielezea muonekano wake physically

Najua kuna migongano hapo kati ya shia na sunni kwenye swala hili, shia wanaamini Allah hana mwili na hivyo hawezi kuonekana ila Sunni wao wanaamini Allah ana mwili na wapo wanaodai Muhamad wakati anakufa alimuona Allah
Aya sasa... wao kwa wao wanatofautiana imani[emoji88][emoji23]
 
Alafu iko hivi. Science haiko kwa sababu INAYO majibu ya kila kitu bali Science ipo kwaajili ya KUTAFUTA majibu.

Kwenye sayansi hauji na majibu bali unaanza na maswali then una suggest kitu gani unafikiri nijibu then unafanya utafiti kuprove jibu lako... dini haiko ivo, yenye ipo tu inataka mtu aamini. Hatakama ni uongo na uko wazi... mfano story ya Nuhu, uongo mtupu ule.[emoji706]

Evolution theory is the truth (au closer to the truth) ukilinganisha na creation. Kibiblia ni kwamba dunia imeumbwa miaka 6000 iliopita, na ww unaamini hilo?[emoji1787] diversity yote hii ya binadamu imetokea katika span ya 6k years?

Sayansi haiko kwaajili ya kupinga uwepo wa mungu, bali inachunguza kama kweli mungu yupo. Na kwa kusema mungu, tunamaanisha mungu yupi kwanza? Maana kuna miungu wengi... watu wa mashariki ya kati ndio, kwa namna moja au nyingine wamefanikiwa kueneza mungu wao kwa asilimia kubwa. Na sisi waafrika tumeshika dini zao kwa sababu hatuna historia yetu. Mfano, kwani sisi tunajua tz ilikuaje miaka 1000 iliopita, au hata miaka 300 iliopita? [emoji1787] hatujui... ila wachina wana historia ya mpaka miaka 5000 iliopita na ndia maana uko hakuna uislam wala ukristo kwa asilimia kubwa ya watu. Sasa unaanzaje kumuaminisha mtu kua miaka 5000 iliopita kulikua na gharika la dunia nzima wakati yy anahistoria yake... ndiomaana waislamu huko watekwa wanapelekwa kuteswa,...

Na ulivosema kua bahari imechunguzwa kwa 5%, hio ni fact ilitolewa sijui 2002 hukoo.. kwasasa bahari imeshakua explored vya kutosha. Terrain za bahari zote zinajulikana, thanks to satellites. Volume ya maji ya dunia nzima nayo yanajulikana.... aya biblia inaongelea nn kuhusu deep sea creatures? Au quran?

Biblia mm nimeisoma yote na quran nimeisoma kidogo, changamoto ni kupata tafsiri ya quran nzima. Lakini nilifanikiwa kusoma vitu vilivokua vinanipa interest. Kama ilivotabiri mwanadamu wa kwanza kutua kwenye mwezi. Utabiri umeenda ndivo sivyo, na binadamu ametua mwezini miaka 100 sjui 50 kabla ya muda quran iliotabiri[emoji1787] na kuhusu mtume kushika mwezi mkono mmoja na jua mkono mwingine. Na kwamba mwezi umepasuliwa katikati [emoji706].. nenda zenji nafkir kuna hotel kadhaa zina darubini (mm nilienda rotana) inauwezo wa kuuangalia mwezi up-close, alafu unambie kama utaona huo mstari..... [emoji23]
Kama sayansi inafanya research tu, kwanini sayansi haifanyi research kuhusu Mungu au magic? Kama zipo hizo research kwanini sio famous? Unaweza ukaliona swali hili ni la kijinga lakini Kuna mantiki kubwa ndani yake.

Ili kuifuata dini fulani au kuamini au kutoamini unatakiwa Kwanza ufanye utafiti. Ndio maana Kuna elimu ya dini kwa hiyo si kweli kuwa unaanza kuamini tu, how is this possible?
Ukishasoma ndio unapata maarifa na kuamini kile ulichokisoma.

Kuna Shida kubwa mbili pale mtu wakaida anapotaka kusoma na kuelewa maandiko kwa akili yake finyu.
1. Kwanza kuna kutafsiri maandiko kimakosa na
2. Pili kutumia hadithi za uongo (with the exception of Qur'an, Quran is entirely true).

Kwa Mfano, mtu anataka kuhoji kivipi Mungu aliumba dunia kwa siku sita. Anataka kufananisha siku za duniani na siku za kiMungu. Kidunia siku inatokana na rotation, ambapo dunia ikimaliza rotation basi siku ndio inakuwa imeisha. Sasa jiulize kipindi ulimwengu unaumbwa dunia ilikuwepo ambapo tunaweza kufananisha siku moja ya vitabu vya dini na hizi zinazotokana na rotation. Ukikurupuka ndio unaweza ukakosa jibu kivipi viumbe vimekuwa modified again and again kwa muda mchache kama unavyojiuliza na kusahau kuwa ili iitwe siku, wiki, mwezi au mwaka kuna reference imetumika kupata muda huo.

Miaka elfu sita ya katika Bible inaweza kuwa ni billions of years ukilingisha na miaka hii inayohesabiwa kutokana na rotation ya dunia. Kuna reference nyingi za kuhesabu miaka, kuna lunar year, equinoctial year, galactic year n.k.

Big bang imetokea miaka 61 ilyopita, milkyway imekuwa formed miaka 54, jua lina miaka 20 na dunia nayo Ina miaka 20. Kwa haraka haraka mjinga anaweza akabisha, lakini hapa nimetumia galactic years. Sasa unauhakika gani kuwa Mungu alitumia lunar years au Gregorian calculations au galactic years. Na kuna maandiko mengi yanayoeleweka vibaya kwa watu kwa namna Kama hii. Kuelewa maandiko inahitaji usome na uchimbe kwelikweli. Ndio maana katika kusoma dini kuna levels Kama katika secular, yaani mtu anasoma mpaka anafikia udaktari na uprofessa. Ukichunguza Mimi na wewe tunataka kusoma vitabu vya dini Kama tunavyosoma magazeti ya udaku au post za mange kimambi. Inaweza Mimi na wewe tupo level ya nursery tu katika dini. Ni sawasawa na mtoto wa chekechea kutaka kusoma Chand kwakua tu anajua kiingereza.

Leo hii unaweza ukashika kitabu Cha hadithi cha kiislamu na ukaanza kukosoa kuwa hili si kweli na hili haliwezekani na ukaconclude kuwa uislamu ni uongo mtupu, kumbe ile hadith iliyoisoma aliitunga jamaa fulani Karne ya 17 huko uarabuni. Inshort Kuna hadith nyingi ambazo ni za kutungwa na hili ni somo pana katika dini ya uislamu. Na hizi hadith watu wanazitumia kila Leo. Kwa levels zetu bado hatuwezi kujua ipi ni hadithi ya uongo na ipi ni authentic. Elimu ya dini ni pana mno. Si kawaida kuona mtu anajudge mambo makubwa katika udaktari au engineering lakini Ni kawaida mtu mjinga kujudge Mambo ya dini yanayohitaji either doctoral expertise au uprofesa kabisa, ni ajabu Sana.

Nimetoka kuangalia Sasa hivi 'to what extent human have explored the oceans?' national geographic society wanasema "more than 80 percent of ocean has never been mapped, explored or even seen by human" Ni chapisho la tarehe 15 julai 2022. Ukweli utabaki kuwa bado binadamu hajagundua sehemu kubwa na kwa sayansi tulionayo itatupa ukweli juu ya vitu vichache sana na vingi vitabakia kuwa unkown. Nilizungumzia pia kuhusu kuichunguza solar system, our galaxy na rest of the universe but huko hukutaka kusema binadamu amegundua kwa kiasi gani. Kumbuka dini haipingi sayansi, bali tunaamini sayansi haiwezi kukupa ukweli juu ya kila kitu. Science has got limit. Tofautisha Kati ya kitu kuwa cha uongo na kitu kutoweza kufanya Jambo fulani. Science tuliyonayo bado haiwezi kukupa jibu juu ya kila kitu. Try to find out. Sayansi haimini uchawi, hivi wewe mtu mzima kabisa huamini uchawi? Sawa, but jiulize kwanini mtu anamumbia mwenzake nitakuua (kwa uchawi) na kweli mtu yule anakufa, matukio haya ni mengi, je haya nayo huyaamini? Kuna washirikina wanatabiri kutokea yanayokuja mbeleni (kidini hii ni dhambi kubwa) lakini kweli yanatokea na watu wanaofanya haya wamepata umaarufu, je Mambo haya ni coincidences tu? Vip sayansi inaamini Mambo hayo? Kama hadi hapa bado utaiamini sayansi na kupinga kuwa hakuna uchawi basi nitajua kuwa nabishana na chizi. Kuna maelezo mengi sana juu ya uwepo wa Mungu, lakini siku zote naamini kila mtu ana muda wake wa kuamini. Kuna sababu zinazowafanya msiamini ila mkipita hapo Imani zenu zitarudi.
 
Hapana sio kweli kuwa kiti cha enzi kinamaanisha cheo kama ambavyo umetoa tafsiri hapa

Kiti cha enzi sio coded name ni neno la kawaida linalomaanisha kiti cha kukalia.

Nakupa mfano kutoka kwenye kitabu chenu kikielezea muonekano wa malaika Jibril. Malaika Jibril ametajwa kuwa na mbawa zipatazo 600

Huyu ni malaika ambaye pia ni roho lakini hiyo ni stori yake ikielezea muonekano wake physically

Najua kuna migongano hapo kati ya shia na sunni kwenye swala hili, shia wanaamini Allah hana mwili na hivyo hawezi kuonekana ila Sunni wao wanaamini Allah ana mwili na wapo wanaodai Muhamad wakati anakufa alimuona Allah


Hivyo ndivyo mnavyopotoka kwa kuchukua literally kila neno kutoka katika maandiko matakatifu hususan Qur'an.

Unanipinga kwamba kiti cha enzi cha Mungu sio utukufu nk, bali ni kiti halisi, ajabu yako ni hii; kwanza huamini uwepo wa Mungu sasa inakuaje unaamini kiti chake kwamba kipo physically??!!.

Juu ya malaika (spiritual being) kuwa na mbawa (Quran 35:1), hii haina maana kwamba Malaika wanazo mbawa za kidhahiri kama walizokuwanazo ndege (birds) bali mbawa kwa kiumbe hai kisichokuwa ndege maana yake ni uwezo (powers, abilities, faculties nk) alizojaaliwa na Mungu kwa ajili ya kutenda kazi fulani na si vinginevyo, jambo kama hilo Mungu kalieleza ndani ya Qur'an kuhusu mtoto kwa wazazi wake wanapofikia umri mkubwa (elderly age), Mungu anasema:- "----Na uwainanamishie BAWA la unyenyekevu kwa kuwaonea huruma na useme; Mola wangu mlezi warehemu kama walivyonilea utotoni" (Qur'an 17:24).

Sasa hebu hapo uniambie ni mtoto gani mwenye "bawa" la unyenyekevu analotakiwa kuwainamishia wazazi wake katika hali ya uzee??!!--bila shaka hapo Bawa ni nafasi, uwezo, jukumu, makezi nk, ambayo mtoto anatakiwa awajibike kwa wazazi wake na kuonyesha hilo ndipo Mungu mwishoni akataka mtoto akumbuke jinsi wazazi wake walivyo mtendea kwa kumwambia aseme; "Mola wangu mlezi warehemu kama walivyonilea utotoni". Malezi ndio wajibu na Bawa la mzazi kwa mtoto naye mtoto anatakiwa ainamishe Bawa la aina hiyo kwa wazazi wake uzeeni.

Mbawa halisi (non coded name) ni hizi zilizotajwa katika (Qur'an 24:41) kuhusu ndege (birds)kutanua mbawa zao kumtukuza Mungu.

Kuna mambo mengi ambayo ni Metaphors /parables yanawachanganya na kuwapoteza watu kutokana na wao kuyasoma literally, mfano kisa cha Adam na Hawa kutenda dhambi, kudanganywa na nyoka, kula tunda, Hawa kutoka ubavuni mwa Adam, Adam kuwa mtu wa kwanza nk, hayo yote ni spiritual parables yanayohitaji ufafanuzi kinyume chake ni hoaxes.
 
Kama sayansi inafanya research tu, kwanini sayansi haifanyi research kuhusu Mungu au magic? Kama zipo hizo research kwanini sio famous? Unaweza ukaliona swali hili ni la kijinga lakini Kuna mantiki kubwa ndani yake.

Ili kuifuata dini fulani au kuamini au kutoamini unatakiwa Kwanza ufanye utafiti. Ndio maana Kuna elimu ya dini kwa hiyo si kweli kuwa unaanza kuamini tu, how is this possible?
Ukishasoma ndio unapata maarifa na kuamini kile ulichokisoma.

Kuna Shida kubwa mbili pale mtu wakaida anapotaka kusoma na kuelewa maandiko kwa akili yake finyu.
1. Kwanza kuna kutafsiri maandiko kimakosa na
2. Pili kutumia hadithi za uongo (with the exception of Qur'an, Quran is entirely true).

Kwa Mfano, mtu anataka kuhoji kivipi Mungu aliumba dunia kwa siku sita. Anataka kufananisha siku za duniani na siku za kiMungu. Kidunia siku inatokana na rotation, ambapo dunia ikimaliza rotation basi siku ndio inakuwa imeisha. Sasa jiulize kipindi ulimwengu unaumbwa dunia ilikuwepo ambapo tunaweza kufananisha siku moja ya vitabu vya dini na hizi zinazotokana na rotation. Ukikurupuka ndio unaweza ukakosa jibu kivipi viumbe vimekuwa modified again and again kwa muda mchache kama unavyojiuliza na kusahau kuwa ili iitwe siku, wiki, mwezi au mwaka kuna reference imetumika kupata muda huo.

Miaka elfu sita ya katika Bible inaweza kuwa ni billions of years ukilingisha na miaka hii inayohesabiwa kutokana na rotation ya dunia. Kuna reference nyingi za kuhesabu miaka, kuna lunar year, equinoctial year, galactic year n.k.

Big bang imetokea miaka 61 ilyopita, milkyway imekuwa formed miaka 54, jua lina miaka 20 na dunia nayo Ina miaka 20. Kwa haraka haraka mjinga anaweza akabisha, lakini hapa nimetumia galactic years. Sasa unauhakika gani kuwa Mungu alitumia lunar years au Gregorian calculations au galactic years. Na kuna maandiko mengi yanayoeleweka vibaya kwa watu kwa namna Kama hii. Kuelewa maandiko inahitaji usome na uchimbe kwelikweli. Ndio maana katika kusoma dini kuna levels Kama katika secular, yaani mtu anasoma mpaka anafikia udaktari na uprofessa. Ukichunguza Mimi na wewe tunataka kusoma vitabu vya dini Kama tunavyosoma magazeti ya udaku au post za mange kimambi. Inaweza Mimi na wewe tupo level ya nursery tu katika dini. Ni sawasawa na mtoto wa chekechea kutaka kusoma Chand kwakua tu anajua kiingereza.

Leo hii unaweza ukashika kitabu Cha hadithi cha kiislamu na ukaanza kukosoa kuwa hili si kweli na hili haliwezekani na ukaconclude kuwa uislamu ni uongo mtupu, kumbe ile hadith iliyoisoma aliitunga jamaa fulani Karne ya 17 huko uarabuni. Inshort Kuna hadith nyingi ambazo ni za kutungwa na hili ni somo pana katika dini ya uislamu. Na hizi hadith watu wanazitumia kila Leo. Kwa levels zetu bado hatuwezi kujua ipi ni hadithi ya uongo na ipi ni authentic. Elimu ya dini ni pana mno. Si kawaida kuona mtu anajudge mambo makubwa katika udaktari au engineering lakini Ni kawaida mtu mjinga kujudge Mambo ya dini yanayohitaji either doctoral expertise au uprofesa kabisa, ni ajabu Sana.

Nimetoka kuangalia Sasa hivi 'to what extent human have explored the oceans?' national geographic society wanasema "more than 80 percent of ocean has never been mapped, explored or even seen by human" Ni chapisho la tarehe 15 julai 2022. Ukweli utabaki kuwa bado binadamu hajagundua sehemu kubwa na kwa sayansi tulionayo itatupa ukweli juu ya vitu vichache sana na vingi vitabakia kuwa unkown. Nilizungumzia pia kuhusu kuichunguza solar system, our galaxy na rest of the universe but huko hukutaka kusema binadamu amegundua kwa kiasi gani. Kumbuka dini haipingi sayansi, bali tunaamini sayansi haiwezi kukupa ukweli juu ya kila kitu. Science has got limit. Tofautisha Kati ya kitu kuwa cha uongo na kitu kutoweza kufanya Jambo fulani. Science tuliyonayo bado haiwezi kukupa jibu juu ya kila kitu. Try to find out. Sayansi haimini uchawi, hivi wewe mtu mzima kabisa huamini uchawi? Sawa, but jiulize kwanini mtu anamumbia mwenzake nitakuua (kwa uchawi) na kweli mtu yule anakufa, matukio haya ni mengi, je haya nayo huyaamini? Kuna washirikina wanatabiri kutokea yanayokuja mbeleni (kidini hii ni dhambi kubwa) lakini kweli yanatokea na watu wanaofanya haya wamepata umaarufu, je Mambo haya ni coincidences tu? Vip sayansi inaamini Mambo hayo? Kama hadi hapa bado utaiamini sayansi na kupinga kuwa hakuna uchawi basi nitajua kuwa nabishana na chizi. Kuna maelezo mengi sana juu ya uwepo wa Mungu, lakini siku zote naamini kila mtu ana muda wake wa kuamini. Kuna sababu zinazowafanya msiamini ila mkipita hapo Imani zenu zitarudi.
Bro.. sayansi inafanya research ya kumtafuta mungu sana tu. Haya mambo wakwenda mwezini sababu moja wapo ni kujua uwepo wa mungu (sababu kulingana na vitabu kadhaa vya biblia, vinaonesha mbinguni ni juu, huko mawinguni). Ila bila mafanikio. Mungu hajulikani alipo... na kitu kingine wafia dini pia wao hamjakubaliana mungu ni yupi. Kila dini ina mungu wake so sayansi itafute mungu yupi? Na kuhusu miracles hakuna mtu anaeweza kuprove miracles...

Zingekuepo miracles wanasayansi siwangezitumia kufika galaxg nyingine...
 
Hivyo ndivyo mnavyopotoka kwa kuchukua literally kila neno kutoka katika maandiko matakatifu hususan Qur'an.

Unanipinga kwamba kiti cha enzi cha Mungu sio utukufu nk, bali ni kiti halisi, ajabu yako ni hii; kwanza huamini uwepo wa Mungu sasa inakuaje unaamini kiti chake kwamba kipo physically??!!.

Juu ya malaika (spiritual being) kuwa na mbawa (Quran 35:1), hii haina maana kwamba Malaika wanazo mbawa za kidhahiri kama walizokuwanazo ndege (birds) bali mbawa kwa kiumbe hai kisichokuwa ndege maana yake ni uwezo (powers, abilities, faculties nk) alizojaaliwa na Mungu kwa ajili ya kutenda kazi fulani na si vinginevyo, jambo kama hilo Mungu kalieleza ndani ya Qur'an kuhusu mtoto kwa wazazi wake wanapofikia umri mkubwa (elderly age), Mungu anasema:- "----Na uwainanamishie BAWA la unyenyekevu kwa kuwaonea huruma na useme; Mola wangu mlezi warehemu kama walivyonilea utotoni" (Qur'an 17:24).

Sasa hebu hapo uniambie ni mtoto gani mwenye "bawa" la unyenyekevu analotakiwa kuwainamishia wazazi wake katika hali ya uzee??!!--bila shaka hapo Bawa ni nafasi, uwezo, jukumu, makezi nk, ambayo mtoto anatakiwa awajibike kwa wazazi wake na kuonyesha hilo ndipo Mungu mwishoni akataka mtoto akumbuke jinsi wazazi wake walivyo mtendea kwa kumwambia aseme; "Mola wangu mlezi warehemu kama walivyonilea utotoni". Malezi ndio wajibu na Bawa la mzazi kwa mtoto naye mtoto anatakiwa ainamishe Bawa la aina hiyo kwa wazazi wake uzeeni.

Mbawa halisi (non coded name) ni hizi zilizotajwa katika (Qur'an 24:41) kuhusu ndege (birds)kutanua mbawa zao kumtukuza Mungu.

Kuna mambo mengi ambayo ni Metaphors /parables yanawachanganya na kuwapoteza watu kutokana na wao kuyasoma literally, mfano kisa cha Adam na Hawa kutenda dhambi, kudanganywa na nyoka, kula tunda, Hawa kutoka ubavuni mwa Adam, Adam kuwa mtu wa kwanza nk, hayo yote ni spiritual parables yanayohitaji ufafanuzi kinyume chake ni hoaxes.
Kutokuamini Mungu hakunifanyi nishindwe kujadili yaliyomo ndani yake kwa muktafha wa ku switch a side niweze kuelewana na mnao amini.

Naweza nikakusahihisha hadi kwenye habari iliyoandikwa katika kitabu cha darasa la tatu kumzungumzia pazi.

Ukisema Pazi alibebwa na kuku jike kichwa chini miguu juu, wakati habari yenyewe halisia imesema ni jogoo mi nitakupinga na kukusahihisha richa ya kwamba sikubaliani na uhalisia wa habari hiyo.

Mara ngapi humu umekuwa uki argue na wakristo kwenye imani ambayo we huiamini?

Ukisema Quran imetaja mbawa kwa maana hiyo ambayo wewe unaiandika hapa, mimi ili nikubaliane na hoja yako nataka hayo maelezo yatolewe na Quran yenyewe na sio mdomoni mwako.

Vinginevyo hiyo itakuwa ni conspiracy ya kuunga unga maneno ili kutafuta maana ambayo wewe umeikusudia na ndio chanzo cha dini nyingi kuwa na madhehebu mengi.

Mfano swala la Eva kuka tunda la mti wa kati, watu wameliwekea code wamelitengenezea conspiracy wengine wakidai kuwa tunda la kati ni sex, wengine wanasema ni sex ila ile ya kinyume na maumbile.

Lakini hayo maelezo hayatoki ndani ya vitabu ni watu tu kama wachambuzi wa mpira wanavyotofautiana kimtazamo ndivyo ilivyo hata kwa situation hii.
 
Siku ya mwisho hao wanaopinga hutowaona, Usimuamini mwanadamu maana sekunde tuu anageuka.... So ni vyema tu kila mtu akashika alicho nacho.... Mimi naamini Mungu yupo kwa kuwa hata hapa nilipo sio kwa uwezo wangu, Namuomba na anajibu, Kuna wakati changamoto zinazidi uwezo wangu kutatua ila ananivusha nabaki nashangaa kuwa nilivukaje ila nikisikiliza Ndani yangu nasikia kabisa kwamba kuna kusudi la kupita njia ninayoipita.... Ukimuamini Mungu na ukajua kumsikiliza anavyoongea na wewe uta-enjoy sana, Imagine me kwa sasa bado nipo level ya chini ila Nina imani naenda kufanikiwa kimaisha na ni lazima nifike ila ukiniuliza kwanini najiamini hivyo sina sababu nyingine zaidi ya kukuambia sijui.
 
Kama sayansi inafanya research tu, kwanini sayansi haifanyi research kuhusu Mungu au magic? Kama zipo hizo research kwanini sio famous? Unaweza ukaliona swali hili ni la kijinga lakini Kuna mantiki kubwa ndani yake.

Ili kuifuata dini fulani au kuamini au kutoamini unatakiwa Kwanza ufanye utafiti. Ndio maana Kuna elimu ya dini kwa hiyo si kweli kuwa unaanza kuamini tu, how is this possible?
Ukishasoma ndio unapata maarifa na kuamini kile ulichokisoma.

Kuna Shida kubwa mbili pale mtu wakaida anapotaka kusoma na kuelewa maandiko kwa akili yake finyu.
1. Kwanza kuna kutafsiri maandiko kimakosa na
2. Pili kutumia hadithi za uongo (with the exception of Qur'an, Quran is entirely true).

Kwa Mfano, mtu anataka kuhoji kivipi Mungu aliumba dunia kwa siku sita. Anataka kufananisha siku za duniani na siku za kiMungu. Kidunia siku inatokana na rotation, ambapo dunia ikimaliza rotation basi siku ndio inakuwa imeisha. Sasa jiulize kipindi ulimwengu unaumbwa dunia ilikuwepo ambapo tunaweza kufananisha siku moja ya vitabu vya dini na hizi zinazotokana na rotation. Ukikurupuka ndio unaweza ukakosa jibu kivipi viumbe vimekuwa modified again and again kwa muda mchache kama unavyojiuliza na kusahau kuwa ili iitwe siku, wiki, mwezi au mwaka kuna reference imetumika kupata muda huo.

Miaka elfu sita ya katika Bible inaweza kuwa ni billions of years ukilingisha na miaka hii inayohesabiwa kutokana na rotation ya dunia. Kuna reference nyingi za kuhesabu miaka, kuna lunar year, equinoctial year, galactic year n.k.

Big bang imetokea miaka 61 ilyopita, milkyway imekuwa formed miaka 54, jua lina miaka 20 na dunia nayo Ina miaka 20. Kwa haraka haraka mjinga anaweza akabisha, lakini hapa nimetumia galactic years. Sasa unauhakika gani kuwa Mungu alitumia lunar years au Gregorian calculations au galactic years. Na kuna maandiko mengi yanayoeleweka vibaya kwa watu kwa namna Kama hii. Kuelewa maandiko inahitaji usome na uchimbe kwelikweli. Ndio maana katika kusoma dini kuna levels Kama katika secular, yaani mtu anasoma mpaka anafikia udaktari na uprofessa. Ukichunguza Mimi na wewe tunataka kusoma vitabu vya dini Kama tunavyosoma magazeti ya udaku au post za mange kimambi. Inaweza Mimi na wewe tupo level ya nursery tu katika dini. Ni sawasawa na mtoto wa chekechea kutaka kusoma Chand kwakua tu anajua kiingereza.

Leo hii unaweza ukashika kitabu Cha hadithi cha kiislamu na ukaanza kukosoa kuwa hili si kweli na hili haliwezekani na ukaconclude kuwa uislamu ni uongo mtupu, kumbe ile hadith iliyoisoma aliitunga jamaa fulani Karne ya 17 huko uarabuni. Inshort Kuna hadith nyingi ambazo ni za kutungwa na hili ni somo pana katika dini ya uislamu. Na hizi hadith watu wanazitumia kila Leo. Kwa levels zetu bado hatuwezi kujua ipi ni hadithi ya uongo na ipi ni authentic. Elimu ya dini ni pana mno. Si kawaida kuona mtu anajudge mambo makubwa katika udaktari au engineering lakini Ni kawaida mtu mjinga kujudge Mambo ya dini yanayohitaji either doctoral expertise au uprofesa kabisa, ni ajabu Sana.

Nimetoka kuangalia Sasa hivi 'to what extent human have explored the oceans?' national geographic society wanasema "more than 80 percent of ocean has never been mapped, explored or even seen by human" Ni chapisho la tarehe 15 julai 2022. Ukweli utabaki kuwa bado binadamu hajagundua sehemu kubwa na kwa sayansi tulionayo itatupa ukweli juu ya vitu vichache sana na vingi vitabakia kuwa unkown. Nilizungumzia pia kuhusu kuichunguza solar system, our galaxy na rest of the universe but huko hukutaka kusema binadamu amegundua kwa kiasi gani. Kumbuka dini haipingi sayansi, bali tunaamini sayansi haiwezi kukupa ukweli juu ya kila kitu. Science has got limit. Tofautisha Kati ya kitu kuwa cha uongo na kitu kutoweza kufanya Jambo fulani. Science tuliyonayo bado haiwezi kukupa jibu juu ya kila kitu. Try to find out. Sayansi haimini uchawi, hivi wewe mtu mzima kabisa huamini uchawi? Sawa, but jiulize kwanini mtu anamumbia mwenzake nitakuua (kwa uchawi) na kweli mtu yule anakufa, matukio haya ni mengi, je haya nayo huyaamini? Kuna washirikina wanatabiri kutokea yanayokuja mbeleni (kidini hii ni dhambi kubwa) lakini kweli yanatokea na watu wanaofanya haya wamepata umaarufu, je Mambo haya ni coincidences tu? Vip sayansi inaamini Mambo hayo? Kama hadi hapa bado utaiamini sayansi na kupinga kuwa hakuna uchawi basi nitajua kuwa nabishana na chizi. Kuna maelezo mengi sana juu ya uwepo wa Mungu, lakini siku zote naamini kila mtu ana muda wake wa kuamini. Kuna sababu zinazowafanya msiamini ila mkipita hapo Imani zenu zitarudi.
Sio tu Mungu, ushawahi jiuliza kwanini Sayansi haifanyi utafiti kuhusu uwepo wa Spider Man au Harry Potter?

Unicorn je? Au ile tea pot inayo orbit jua kwanini wanasayansi wasipeleke vifaa kwenye jua kuangalia kama kweli hiyo tea pot haipo?

Binafsi hata wewe bila shaka utaona research za namna hiyo ni za kijinga na nikupoteza muda tu.

Basi hivyo ndivyo ambavyo Sayansi inachukulia kwenye swala lako la Mungu

Kuna madai ya maelfu ya Miungu ungependa sayansi ianze na Mungu yupi?

Hao Miungu ambao wewe unawakataa ulishawahi fanya research kuhakikisha hawapo?

Na hiyo hoja yako ya kusema miaka iliyozungumziwa kwenye bible inakuwa mingi kuliko miaka ya hapa duniani nayo sio kweli.

Kwemye bible ipo stori ya Musa kuwapeleka waisrael katika mji wa ahadi walitumia miaka 40, kwa hiyo hapa utasema ilikuwa ni karne kadhaa?

Kwasababu wote tunajua huo umbali kutoka Misri mpaka huko Isael haizidi kilomita 700

Ili kufanya hiyo habari ya miaka 40 iwe reality maana yake kwa siku walikuwa wanatembea sentimita 30 nazungumzia urefu wa rula ya mwanafunzi (scholar ruler)

Hiyo ni robo ya speed ya USain Bolt anayoikamilisha kwa sekunde lakini Mussa na watu wake walispend the whole day kuikamilisha

Tafuteni hoja zingine zenye ushawishi somehow tunaweza tukawaona mko serious kuliko hivi vibwagizo
 
Siku ya mwisho hao wanaopinga hutowaona, Usimuamini mwanadamu maana sekunde tuu anageuka.... So ni vyema tu kila mtu akashika alicho nacho.... Mimi naamini Mungu yupo kwa kuwa hata hapa nilipo sio kwa uwezo wangu, Namuomba na anajibu, Kuna wakati changamoto zinazidi uwezo wangu kutatua ila ananivusha nabaki nashangaa kuwa nilivukaje ila nikisikiliza Ndani yangu nasikia kabisa kwamba kuna kusudi la kupita njia ninayoipita.... Ukimuamini Mungu na ukajua kumsikiliza anavyoongea na wewe uta-enjoy sana, Imagine me kwa sasa bado nipo level ya chini ila Nina imani naenda kufanikiwa kimaisha na ni lazima nifike ila ukiniuliza kwanini najiamini hivyo sina sababu nyingine zaidi ya kukuambia sijui.
Mna hangaika kujua siku ya mwisho ili iwasaidie nini wakati siku ya mwanzo tu imewashinda kuijua?

Wewe amini Mungu yupo kwakua ni muoga, unaacha kuogopa kuwa mjinga kwa kukubali jambo kibubusa kwa vitisho vya kufikirika unakuja kuogopa kitu ambacho huwezi kukithibitisha kuwa kipo.

Hata Mungu angekuwepo asingetaka watu wajinga na wanaomfata kwa woga na sio willing yao.

Wewe hapo haupo huru, wala usiwe mnafki kwamba unamuabudu Mungu kwa kupenda.

Watu kama nyinyi hamtakiwi Atheism kwasababu mnaonesha jinsi gani mnakuwa wema sio kwasbabu nyinyi ni wema ila kwasbabu ya kuogopa Mungu atakuadhibu siku ya mwisho

Kwa maana ya kwamba kuamini kwako Mungu ndio kunakofanya uepukane na ubakaji, wizi, na mambo mengine mabovu
 
Bro.. sayansi inafanya research ya kumtafuta mungu sana tu. Haya mambo wakwenda mwezini sababu moja wapo ni kujua uwepo wa mungu (sababu kulingana na vitabu kadhaa vya biblia, vinaonesha mbinguni ni juu, huko mawinguni). Ila bila mafanikio. Mungu hajulikani alipo... na kitu kingine wafia dini pia wao hamjakubaliana mungu ni yupi. Kila dini ina mungu wake so sayansi itafute mungu yupi? Na kuhusu miracles hakuna mtu anaeweza kuprove miracles...

Zingekuepo miracles wanasayansi siwangezitumia kufika galaxg nyingine...
Unafurahisha sana. Hivi unajua mwezi Ni kitu kilicho karibu Sana na dunia, alaf unazungumzia kwenda kuchunguza uwepo wa Mungu kwenye mwezi, are you serious? Alaf kama hujamuona Mungu kwenye mwezi ndio ukaconclude kuwa hakuna Mungu. Hivi unafahamu ukubwa wa hii universe. Ngoja nikuache Kwanza maana unaniletea utoto
 
Bro.. sayansi inafanya research ya kumtafuta mungu sana tu. Haya mambo wakwenda mwezini sababu moja wapo ni kujua uwepo wa mungu (sababu kulingana na vitabu kadhaa vya biblia, vinaonesha mbinguni ni juu, huko mawinguni). Ila bila mafanikio. Mungu hajulikani alipo... na kitu kingine wafia dini pia wao hamjakubaliana mungu ni yupi. Kila dini ina mungu wake so sayansi itafute mungu yupi? Na kuhusu miracles hakuna mtu anaeweza kuprove miracles...

Zingekuepo miracles wanasayansi siwangezitumia kufika galaxg nyingine...
Hapa nakupinga kidogo

Sayansi inafanya utafiti wa nature nikiwa na maana ya kwamba ulimwengu ambao unaweza ukautafiti.

Nature inahusisha vitu kama bacteria, maisha ya wanyama, bahari, mwezi, jua, sayari, viumbe hai na visivyo hai.

Sayansi haidili na Supernatural kwasabu ni vitu ambavyo vinakubalika katika misingi ya kiimani pekee.

Mafano majini, mapepo, nafsi, roho, wachawi, malaika, nyoka anayeongea, farasi mwenye mbawa anayepaa kwa kasi kuelekea mbinguni, mtu aliyelisha maelfu ya watu kwa mikate miwili ma samaki watano aliyo i extend kwa maombi nk.

Unafikiri sayansi itaanzia wapi hapo kufanya utafiti ili kuprove habari hizo?

Unatka Sayansi iingie porini kuthibitisha uchawi?

Kinachoitwa uchawi kisayansi hizo ni trics zinaweza kufundishwa na kuwa perfomed na mtu yeyote bila kuhusisha dhana ya super natural power.

Mfano mzuri ni mwanafizikia mmoja na mtu aliyekuwa mwana mazingaombwe (magician) aliitwa James Randi.

James Randi alikuwa mtu maarufu sana kwa ishu za kuperform hii miujiza mpaka watu wakawa wanamuona mchawi.

Lakini huwezi amini, Randi aliwahi kutoa dollar zaidi ya milion kwa yeyote atakayeweza kuthibitisha uchawi upo kwa kuperform bila kutumia tricks yani atumie super natural power lakini challenge ilichukua miaka zaidi ya 50 hakuna aliyewahi ku prove mpaka pale alipoamua ku terminate shindano.

Mkuu

Sayansi haihusiki na hayo mambo na yenyewe inafanya tafiti zake binafsi sio kwa ajili ya kuangalia vitabu vya dini vimesemaje.

Ila pale inapotokea kuna jambo ambalo lina telate na habari za vitabu vya dini ndio utaona hapo conspiracy zinavyoaanza.

Mfano kabla ya Sayansi kufanya utafiti wa bing bang, hakuna dini yeyote iliyowahi kutoa claims kuwa ulimwengu unatanuka na kwamba ulikuwa kwenye single point.

Ila mpaka pale ambapo sayansi ikaja na utafiti wake ndipo modern scholars wa hizi dini walipoibuka na hoja zao wakidai hizo habari zilielezwa kwenye vitabu vyao na wakionesha verse ambazo ni irrelevant na kile kilichoelezwa na Sayansi.

Watu hawa ndio wakawa wanasema Sayansi inatumia vitabu vyao kufanya tafiti.

Na saizi naona limetengenezwa hadi kundi la watu la kuhusianisha habari za Mungu na Sayansi vionekane ni vitu ambavyo vinaenda sambamba.

Kama umesikia theory ya intelligent design hiyo pia imetengenezwa na kundi hilo la watu ambapo wanadai hiyo intelligent design ni hoja ya kisayansi lakini hiyo ni pseudoscience.
 
Sio tu Mungu, ushawahi jiuliza kwanini Sayansi haifanyi utafiti kuhusu uwepo wa Spider Man au Harry Potter?

Unicorn je? Au ile tea pot inayo orbit jua kwanini wanasayansi wasipeleke vifaa kwenye jua kuangalia kama kweli hiyo tea pot haipo?

Binafsi hata wewe bila shaka utaona research za namna hiyo ni za kijinga na nikupoteza muda tu.

Basi hivyo ndivyo ambavyo Sayansi inachukulia kwenye swala lako la Mungu

Kuna madai ya maelfu ya Miungu ungependa sayansi ianze na Mungu yupi?

Hao Miungu ambao wewe unawakataa ulishawahi fanya research kuhakikisha hawapo?

Na hiyo hoja yako ya kusema miaka iliyozungumziwa kwenye bible inakuwa mingi kuliko miaka ya hapa duniani nayo sio kweli.

Kwemye bible ipo stori ya Musa kuwapeleka waisrael katika mji wa ahadi walitumia miaka 40, kwa hiyo hapa utasema ilikuwa ni karne kadhaa?

Kwasababu wote tunajua huo umbali kutoka Misri mpaka huko Isael haizidi kilomita 700

Ili kufanya hiyo habari ya miaka 40 iwe reality maana yake kwa siku walikuwa wanatembea sentimita 30 nazungumzia urefu wa rula ya mwanafunzi (scholar ruler)

Hiyo ni robo ya speed ya USain Bolt lakini Mussa na watu wake walispend the whole day kuikamilisha

Tafuteni hoja zingine zenye ushawishi somehow tunaweza tukawaona mko serious kuliko hivi vibwagizo
We jamaa hamna kitu kabisa, hivi unajua serikali kama ya USA, China, Russia nk zinapoteza kiasi gani cha pesa kuchunguza tu anga. Juzi tu hapa JWST imepiga picha kutoka sehemu ya mbali zaidi unaweza kuniambia zile picha zina faida gani na Wanapoteza a lot of money.

Sijui hata unazungumza Nini unavyosema Harry Potter na spider Man na wanahusika vip na kufanyiwa utafiti, labda Mimi sijui? Anyway labda Mimi mjinga wa hilo?

Acha kukaza shingo, sio kila inapozungumziwa miaka katika Bible basi inazungumziwa miaka ya namna fulani, be flexible kuna muda inatumika miaka ya kawaida na Kuna muda inatumika ambayo sio hii tulionayo. Nimetoa mfano mzuri tu kuwa ili kuwe na siku na hatimae wiki, mwezi na mwaka lazma rotation ya dunia katika axis yake itokee, Sasa kipindi dunia bado haipo je kulitumika kigezo gani kupata mwaka mmoja? Je, huo muda ukiuringanisha na miaka ya kawaida utapata miaka mingapi?

Kwa mfano wa Nabii Musa ni rahisi sana kuwa huenda kuna namna ambayo iliwafanya kutumia muda huo kutembea. It is very simple. Ni Kama unavyowaona hawa wairak, wanyaturu au wamasai walivyotumia miaka mingi kufika Tanzania kutoka Western Asia. Hivi unajua Nabii musa alizitumia siku 40 kuomba mrimani. haikuwa ni kitembea tu ni Kama unavyoona wanavyofanya hawa normadic pastoralists, wanaweza kutumia muda wowote kutembea kwakua wanatembea na kuanzisha makazi then baada ya muda wanahama. Hivi unatumia Nini kufikirika? Utumbo Mpana?
 
Mna hangaika kujua siku ya mwisho ili iwasaidie nini wakati siku ya mwanzo tu imewashinda kuijua?

Wewe amini Mungu yupo kwakua ni muoga, unaacha kuogopa kuwa mjinga kwa kukubali jambo kibubusa kwa vitisho vya kufikirika unakuja kuogopa kitu ambacho huwezi kukithibitisha kuwa kipo.

Hata Mungu angekuwepo asingetaka watu wajinga na wanaomfata kwa woga na sio willing yao.

Wewe hapo haupo huru, wala usiwe mnafki kwamba unamuabudu Mungu kwa kupenda.

Watu kama nyinyi hamtakiwi Atheism kwasababu mnaonesha jinsi gani mnakuwa wema sio kwasbabu nyinyi ni wema ila kwasbabu ya kuogopa Mungu atakuadhibu siku ya mwisho

Kwa maana ya kwamba kuamini kwako Mungu ndio kunakofanya uepukane na ubakaji, wizi, na mambo mengine mabovu
ungekuta woga hautakiwi tusingewekewa amri na kanununi za nini tufanye na nini tusifanye, Ni kwanini humpi mwanafunzi mimba ni kwa sababu utatiwa kifungoni, Hivyohivyo basi siuzi nafsi kwa shetani kwa kuwa sitouona ufalme wa mbingu..... We endelea kuwa na shingo ngumu.
 
Hapa nakupinga kidogo

Sayansi inafanya utafiti wa nature nikiwa na maana ya kwamba ulimwengu ambao unaweza ukautafiti.

Nature inahusisha vitu kama bacteria, maisha ya wanyama, bahari, mwezi, jua, sayari, viumbe hai na visivyo hai.

Sayansi haidili na Supernatural kwasabu ni vitu ambavyo vinakubalika katika misingi ya kiimani pekee.

Mafano majini, mapepo, nafsi, roho, wachawi, malaika, nyoka anayeongea, farasi mwenye mbawa anayepaa kwa kasi kuelekea mbinguni, mtu aliyelisha maelfu ya watu kwa mikate miwili ma samaki watano aliyo i extend kwa maombi nk.

Unafikiri sayansi itaanzia wapi hapo kufanya utafiti ili kuprove habari hizo?

Unatka Sayansi iingie porini kuthibitisha uchawi?

Kinachoitwa uchawi kisayansi hizo ni trics zinaweza kufundishwa na kuwa perfomed na mtu yeyote bila kuhusisha dhana ya super natural power.

Mfano mzuri ni mwanafizikia mmoja na mtu aliyekuwa mwana mazingaombwe (magician) aliitwa James Randi.

James Randi alikuwa mtu maarufu sana kwa ishu za kuperform hii miujiza mpaka watu wakawa wanamuona mchawi.

Lakini huwezi amini, Randi aliwahi kutoa dollar zaidi ya milion kwa yeyote atakayeweza kuthibitisha uchawi upo kwa kuperform bila kutumia tricks yani atumie super natural power lakini challenge ilichukua miaka zaidi ya 50 hakuna aliyewahi ku prove mpaka pale alipoamua ku terminate shindano.

Mkuu

Sayansi haihusiki na hayo mambo na yenyewe inafanya tafiti zake binafsi sio kwa ajili ya kuangalia vitabu vya dini vimesemaje.

Ila pale inapotokea kuna jambo ambalo lina telate na habari za vitabu vya dini ndio utaona hapo conspiracy zinavyoaanza.

Mfano kabla ya Sayansi kufanya utafiti wa bing bang, hakuna dini yeyote iliyowahi kutoa claims kuwa ulimwengu unatanuka na kwamba ulikuwa kwenye single point.

Ila mpaka pale ambapo sayansi ikaja na utafiti wake ndipo modern scholars wa hizi dini walipoibuka na hoja zao wakidai hizo habari zilielezwa kwenye vitabu vyao na wakionesha verse ambazo ni irrelevant na kile kilichoelezwa na Sayansi.

Watu hawa ndio wakawa wanasema Sayansi inatumia vitabu vyao kufanya tafiti.

Na saizi naona limetengenezwa hadi kundi la watu la kuhusianisha habari za Mungu na Sayansi vionekane ni vitu ambavyo vinaenda sambamba.

Kama umesikia theory ya intelligent design hiyo pia imetengenezwa na kundi hilo la watu ambapo wanadai hiyo intelligent design ni hoja ya kisayansi lakini hiyo ni pseudoscience.
Subiri kidogo

"The heavens, We have built them with power. And verily, We are expanding it" Qur'an (51:47) {579-632}

Then Hubble in 1920s discovered that the universe is expanding
 
We jamaa hamna kitu kabisa, hivi unajua serikali kama ya USA, China, Russia nk zinapoteza kiasi gani cha pesa kuchunguza tu anga. Juzi tu hapa JWST imepiga picha kutoka sehemu ya mbali zaidi unaweza kuniambia zile picha zina faida gani na Wanapoteza a lot of money.

Sijui hata unazungumza Nini unavyosema Harry Potter na spider Man na wanahusika vip na kufanyiwa utafiti, labda Mimi sijui? Anyway labda Mimi mjinga wa hilo?

Acha kukaza shingo, sio kila inapozungumziwa miaka katika Bible basi inazungumziwa miaka ya namna fulani, be flexible kuna muda inatumika miaka ya kawaida na Kuna muda inatumika ambayo sio hii tulionayo. Nimetoa mfano mzuri tu kuwa ili kuwe na siku na hatimae wiki, mwezi na mwaka lazma rotation ya dunia katika axis yake itokee, Sasa kipindi dunia bado haipo je kulitumika kigezo gani kupata mwaka mmoja? Je, huo muda ukiuringanisha na miaka ya kawaida utapata miaka mingapi?

Kwa mfano wa Nabii Musa ni rahisi sana kuwa huenda kuna namna ambayo iliwafanya kutumia muda huo kutembea. It is very simple. Ni Kama unavyowaona hawa wairak, wanyaturu au wamasai walivyotumia miaka mingi kufika Tanzania kutoka Western Asia. Hivi unajua Nabii musa alizitumia siku 40 kuomba mrimani. haikuwa ni kitembea tu ni Kama unavyoona wanavyofanya hawa normadic pastoralists, wanaweza kutumia muda wowote kutembea kwakua wanatembea na kuanzisha makazi then baada ya muda wanahama. Hivi unatumia Nini kufikirika? Utumbo Mpana?
Napata mashaka kujua kama umeelewa hata nilicho kiandika.

Serikali kupoteza kiasi kikubwa katika bajeti ya kufanya utafiti wa anga ni jambo jingine, na serikali kupoteza kiasi kikubwa kufanya utafiti wa anga kwa ajili ya ku prove habari za dini ni habari nyingine

Hoja yako ni ipi?

Kwamba mataifa makubwa yamekuwa yakipoteza kiasi hicho cha pesa kufanya research za anga kwa lengo la ku prove madai ya dini?

Harry potter, Spiderman na habari za Mungu ni the same book on different page

Kama unauliza kwanini Sayansi haifanyi utafiti kuhusiana na habari za Mungu unabidi ujiulize ni lini Sayansi ilifanya utafiti wa kujua Spiderman na Harrypotter wapo

Hivi unaelewa mwaka ni mjumuisho wa siku zaidi ya 300?

Unaelewa ili siku itimie ni lazima tupate mzunguko wa dunia na huo mzunguko lazima uhusishe jua na mwezi

Sasa kwa mujibu wa vitabu vyenu vimesema jua na mwezi viliumbwa siku ya tatu, kimantiki hiyo imekaaje?

Siku tatu ziliwezaje kupita wakati jua na mwezi hakikuwepo?

Kwenye ishu ya musa umesema inawekezana? Yaani umekubali kuwa kwa siku walikuwa wanatembea sentimita 30 usawa wa rula anayotumia mwanafunzi wa darasa la sita?

Huo ni uvivu au namna gani mzee?

Maana hata ukiwa na enka sidhani kama utatembea kwa spees hiyo
 
ungekuta woga hautakiwi tusingewekewa amri na kanununi za nini tufanye na nini tusifanye, Ni kwanini humpi mwanafunzi mimba ni kwa sababu utatiwa kifungoni, Hivyohivyo basi siuzi nafsi kwa shetani kwa kuwa sitouona ufalme wa mbingu..... We endelea kuwa na shingo ngumu.
Kwanza hauwezi kuuza nafsi kwa shetani.

Kwasababu hauna hiyo nafsi, umeaminishwa tu kuwa ipo na we ukakubali bila ya hata kuhoji inapatikana eneo gani la mwili wako

Hilo swali hata pastor wako hawezi jibu.

Lakini kingine ambacho unakithibotisha hapa ni kuwa wanao amini Mungu wengi wana amini kwa utumwa

Hawako huru wanafanya hivyo kwasababu ya KUOGOPA.

Heshima inayokuja kwasababu ya mtu kuelewa nini thamani ya heshima ni tofauti na ile heshima inayokuja baada ya vitisho.

Hiyo ni heshima ya WOGA

Mimi siibi sio kwasbabu ya kuogopa polisi, siibi kwasbabu napenda naelewa nini maana ya empathy.

Sipendi kuibiwa, najiweka katika nafsi ya huyo mtu ambaye nataka kumuibia kufikiria ni kiasi gani anaweza kufadhaika na kumrudisha nyuma kimaendeleo najikuta nimeelewa kuwa hilo ni jambo baya na sina haja ya kukifanya.

Mpaka hapo nimeepuka kuiba sio kwasababu ya kuhofia polisi, ni empathy

Aiuwi watu sio kwasbabu nahofia kufungwa hapana ni kwasbabu mimi mwenyewe sipendi niuliwe au mtu yeyote nimpendaye sipendi niskie kauwawa.

Kama upendo wako kwa watu haujazingatia factor hizi basi ni wazi kwamba imani ya uwepo wa Mungu ndio kitu pekee kinachokuepesha usiwe rapist, serial killer, robber nk
 
Subiri kidogo

"The heavens, We have built them with power. And verily, We are expanding it" Qur'an (51:47) {579-632}

Then Hubble in 1920s discovered that the universe is expanding
Umeona hiki ulichokiandika hapa?

Hii verse uliyoiandika hapa ndio yale ambayo nimeyazungumza kwenye hoja yangu hapo juu

Sasa niambie kabla ya 1920 ni muislam gani aliyekuwa akipiga mayowe kuwa ulimwengu unatanuka na kwamba hilo ni jambo la kisayansi?

Kama 1920 maana yake imechukua kotoka kwenye Quran, tuambie una hakika gani kuwa verse kama hiyo uliyoitoa kwenye Quran haikuwepo kwenye vitabu vingine vilivyotangulia kabla ya Quran?

Vipi kama kuna record ya maneno kama hayo kwenye ancients books je hoyo itamaanisha ujio wa Quran miaka ya baadaye ulikuja kukopi hayo maneno kama ambavyo tafiti ya 1920 ilivyoelezea habari za Quran iliyotangulia kabla ya Sayansi?
 
Back
Top Bottom