Machache yanayonifanya niamini uwepo wa Mungu: Hatari ya kuamini hakuna Mungu

Machache yanayonifanya niamini uwepo wa Mungu: Hatari ya kuamini hakuna Mungu

Mfano yapi 90% science haijajibu?
Mengi Sana mfano
1.Maisha baada ya kifo
2.Nguvu ya Imani
3.Viumbe visiovyoonekana
5.Kuhusu Roho,Nafsi
6.Laana na baraka
7.Ndoto
8.Mawazo
9.Mawasiliano ya ROHO kwa roho
10.chanzo cha tabia na dawa ya tabia mfano ulevi, uzinzi, ushoga, uteja, hasira,chuki, ubinafsi nk
11.Magonjwa ya kiroho
12.Kifo
13.Mungu na shetani
14.viumbe vilivyopo katika sayari zingine
15.uhusiano uliopo katika ya wanadamu na viumbe visiovyoonekana
16.nk
Yapo mengi zaidi tutakesha
 
Mengi Sana mfano
1.Maisha baada ya kifo
2.Nguvu ya Imani
3.Viumbe visiovyoonekana
5.Kuhusu Roho,Nafsi
6.Laana na baraka
7.Ndoto
8.Mawazo
9.Mawasiliano ya ROHO kwa roho
10.chanzo cha tabia na dawa ya tabia mfano ulevi, uzinzi, ushoga, uteja, hasira,chuki, ubinafsi nk
11.Magonjwa ya kiroho
12.Kifo
13.Mungu na shetani
14.viumbe vilivyopo katika sayari zingine
15.uhusiano uliopo katika ya wanadamu na viumbe visiovyoonekana
16.nk
Yapo mengi zaidi tutakesha

Bro... hayo maswali yote mbona yana majibu

1. Maisha baada ya kufo? Hakuna maisha baada ya kifo, ukifa una decompose
2. Nguvu ya imani? Imani which? Imani what?
3. Viumbe visivyoonekana -unamaanisha viruses na bacterias? Hao wanaonekana kwa microscopes
4. ..??
5. Tupe proof ya kwamba roho au nafsi vinaexist..
6. Laana au baraka? Wtf is that crap, hakuna kitu kama mtu anakulaani au kukubariki.
7. Ndoto? Hii kwa urahisi, ni replay ya mawazo yako mwenyewe... ndiomaana huwezi kuota kitu ambacho hujawahi kukiona au kitu hujawahi kukiimagine
8. Mawazo? Ukikaa idle lazima uwe na mawazo
9. Mawasiliano ya roho kwa roho, hakuna kitu kama icho... ni sawa na watu wanaoamini mambo ya utabiri wa nyota
10. Tiba ya tabia zipo, ndiomaana kuna rehabilitation centers
11. Mgonjwa wa kiroho? Soma namba 9 hapo juu
12. Kifo, kila kiumbe kitakufa... ispokua species kadhaa za jelly fish. Wao wana biological immortality, watakufa tu ukiwaua. Usipowaua wanaishi milele... au unataka explanation gan kuhusu kifo?
13. Mungu na shetan. Hawapo, hakuna namna ya kuprove existence yao
14. Aliens. So far hatujagundua aina yyte... ingawa kuna sayari zinaonesha uwezekano wakuwepo au kuanzisha maisha kama yalio duniani.
15. Refer to point number 9
16.... ?
 
Bro... hayo maswali yote mbona yana majibu

1. Maisha baada ya kufo? Hakuna maisha baada ya kifo, ukifa una decompose
2. Nguvu ya imani? Imani which? Imani what?
3. Viumbe visivyoonekana -unamaanisha viruses na bacterias? Hao wanaonekana kwa microscopes
4. ..??
5. Tupe proof ya kwamba roho au nafsi vinaexist..
6. Laana au baraka? Wtf is that crap, hakuna kitu kama mtu anakulaani au kukubariki.
7. Ndoto? Hii kwa urahisi, ni replay ya mawazo yako mwenyewe... ndiomaana huwezi kuota kitu ambacho hujawahi kukiona au kitu hujawahi kukiimagine
8. Mawazo? Ukikaa idle lazima uwe na mawazo
9. Mawasiliano ya roho kwa roho, hakuna kitu kama icho... ni sawa na watu wanaoamini mambo ya utabiri wa nyota
10. Tiba ya tabia zipo, ndiomaana kuna rehabilitation centers
11. Mgonjwa wa kiroho? Soma namba 9 hapo juu
12. Kifo, kila kiumbe kitakufa... ispokua species kadhaa za jelly fish. Wao wana biological immortality, watakufa tu ukiwaua. Usipowaua wanaishi milele... au unataka explanation gan kuhusu kifo?
13. Mungu na shetan. Hawapo, hakuna namna ya kuprove existence yao
14. Aliens. So far hatujagundua aina yyte... ingawa kuna sayari zinaonesha uwezekano wakuwepo au kuanzisha maisha kama yalio duniani.
15. Refer to point number 9
16.... ?
1.Mwili ndio unaokoma baada ya kifo lakini Roho na nafsi uendelea
2.Mwili wa binadamu uendeshwa na roho na nafsi vikitoka uhai ukoma.
3.Ndoto inaweza kuwa ni reflection ya Yale uliyofanya, au ujumbe fulani toka outer universe, au nafsi inakuwa imesafiri eneo halisi usilolijua nafsi Ina uwezo wa kusafiri kwa kasi ya sekunde moja hadi bara jingine, thus umeshawahi ota vingi ambavyo ukuwahi kutana navyo maisha mwako.
4.Sayansi haiwezi tibu ubinafsi, uzinzi, wizi na tabia zisizo na maadili
 
1.Mwili ndio unaokoma baada ya kifo lakini Roho na nafsi uendelea
2.Mwili wa binadamu uendeshwa na roho na nafsi vikitoka uhai ukoma.
3.Ndoto inaweza kuwa ni reflection ya Yale uliyofanya, au ujumbe fulani toka outer universe, au nafsi inakuwa imesafiri eneo halisi usilolijua nafsi Ina uwezo wa kusafiri kwa kasi ya sekunde moja hadi bara jingine, thus umeshawahi ota vingi ambavyo ukuwahi kutana navyo maisha mwako.
4.Sayansi haiwezi tibu ubinafsi, uzinzi, wizi na tabia zisizo na maadili

Huwezi kuota kitu ambacho hujawahi kukiwaza. Kuna study zinaonesha kua hata baadhi wanyama wanauwezo wa kuota (if they're intelligent enough). mfano, mbwa

Uzinzi kwa pov ya sayansi sio ugonjwa, tabia zisizo na maadili (mfano wizi, uuwaji, kutumia madawa) unaweza ukaacha mwenyewe tu ukiamua, au ukiwa motivated kuacha. Vingine vinawezakua vinakupa addiction, ivo vinatibika kwa rehabilitation, sayansi.
 
Usiingie kwenye mada mpya ya uumbaji wa Mungu na "mdomo" na "mikono" yake japo hata katika hilo hoja yako haina mashiko, kwanza tubaki kwenye "kuketi kwenye kiti cha enzi".

Hebu chukua msemo huu maarufu wa kiswahili; "Tupa macho mbele" je huu msemo maana yake ni angalia mbele au ng'oa macho yako kutoka hapo yalipo na uyatupe mbele yako??!-- bila shaka utakubaliana na mimi kwamba kutupa macho mbele ni kuangalia mbele, au mfano inaposemwa kiongozi fulani kasimikwa au katawazwa je maana yake kasimikwa ardhini kama mti au katawazwa kasafishwa mwili wake!!??--- kusimikwa au kutawazwa ni kupewa wadhifa au majukumu nk, ni hivyo hivyo kuketi kwenye kiti cha enzi maana yake ni "kuchukua mamlaka, madaraka, jukumu nk, kinyume chake ni kuondoshwa au kuondoka madarakani (dethroned), Vyovyote utakavyo yaweka hayo maneno maana yake ni hiyohiyo ya kupata madaraka, wadhifa, majukumu ya kiutawala nk, ama useme; kukaa juu ya kiti cha enzi, kukaa kwenye kiti cha enzi au kuketi katika kiti cha enzi yote hayo maneno yana maana moja, hebu chukua mfano huu hai wakati spika wa bunge letu mara kadhaa mbunge anapopingana naye yeye husema kumwambia mbunge: "mbona unabishana na kiti !!" Je inawezekana kidhahiri mbunge akabishana na kiti anachokalia spika??
hapa kubishana na kiti ni kubishana na mamlaka ya spika na si vinginevyo na hizo ndizo (figure of speeches).

Kumbuka Mungu ni spirit hivyo anayo staili yake ya kutupasha habari sisi physical beings.

Narudia tena, katika Qur'an kuna aya za aina mbili, kwanza zilizo straightforward katika maana na zile zilizo implicit katika maana.
"Tupa macho kule" kwanza hiyo sio sentensi sahihi

Lakini hata tukiipa uhalali tukisema tuijadili bado utaona kuna materials body vimehusika

Namna ulivyoweka huu mfano na jinsi ulivyoutolea maelezo umeshindwa kufanya relation na habari ya "kuketi kiti cha enzi"

Kwasababu hapo macho yaliyozungumziwa ni kitu halisia na sio code name

Kwenye ishu ya Mungu kiti ulisema ni code name

Kwenye ishu ya "Mungu kuketi katika kiti cha enzi" hakuna jambo lolote unalokubali kuwa linahusiana na physically

"Tupa macho kule"

Hapo kuna macho: Kiungo cha mwili au ogani iliyopo mwilini mwa huyo mtu anayeambiwa

Kule: Hiyo ni direction ambayo kaelekezwa huyo mtu eidha kwa kidole au kwa ishara nyingine.

Vyote hivyo viwili "macho na eneo" ni physically matter

Wakati kwenye "kiti na kuketi" hivyo vyote wewe unesema ni code names zinazo maanisha "cheo"
 
Kama kila kitu sio lazima kiwe na chanzo basi hata ulimwengu hauna chanzo

Kama unakubali akili zetu haziwezi kufikiria kwa usahihi kwasababu ziko limited, utajuaje kuwa hata hilo wazo la kusema muumbaji wa ulimwengu ni Mungu sio muendelezo ule ule wa kufikiria majibu yasio sahihi?

Kabla ya kusema kumuamini Mungu hapo unakuwa umeruka vipengele baadhi ambavyo havijaonesha namna gani umefika hapo

Umejuaje kuna Mungu ambaye anapaswa kuaminiwa?

Ni akili ipi uliyoitumia kujua hilo?

Katika maswali yako uliyojiuliza kuhusu hatma ya ulimwengu nakujibu kwa kukupa maswali zaidi

Hapa nachukua upande wa dini ambao najua wengi ndio mnasimamia

Dini zimesema hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na ardhi

Kumbuka huo ni mwanzo, unaweza kujiuliza kabla ya mwanzo kulikuwaje?

Kama mwanzo umeanza na Mungu kuumba mbingu na ardhi, je huo sio mwanzo wa uwepo wa Mungu pia?

Kama Mungu alikuwepo kabla basi huo sio mwanzo

Lakini utajiuliza tena alikuwa akiishi wapi maana mbingu na ardhi kaviumba leo ambayo ndio mwanzo, na yeye wansema ni wamilele. Alikuwa akiishi wapi?

Haya huko pia alipokuwa akiishi kuliumbwa na nani?

Na kama kulikuwa kuna sehemu anaishi bado tu hii ya ulimwengu na ardhi itaendelea kuhesabika kama mwanzo?

Au tuseme ni mwanzo wa uumbaji na tukubaliane kwamba hakukuwa na uimbaji mwingine uliotangulia kabla ya huo?

Hapo kuna maswali mengi magumu naomba tupaache tuelekee section ya pili na huwezi kukuta pastor ana hubiri hoja tata kama hizo

Haya tujiulize mazingira ya uumbaji yalivyofanyika

Mfano leo hii ukitaka kuchimba shimo lazima utaanzia juu ya ardhi, nikiwa na maana kwamba utasimama ukiwa hapo na likikamilika utaweza kuingia ndani

Leo hii ukimkuta mtu yupo shimoni baada ya kuchimba shimo itakuwa ni rahisi kufikiria kuwa kabla ya kuingia shimoni kulikuwa na ardhi ambayo iko level ambapo hapo ndio alisimama akachimba mpaka kutengeneza shimo

Sasa Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?

Huwezi kufikiria aliumba ulimwengu akiwa ndani ya ulimwengu kwasababu itaonekana hapo anaufanyia repair kwa maana ya kwamba ulikwisha jengwa
Aliyeumba ni CHANZO HALISI, alikuwa peke yake MAHALI PAKE na hakuna anayepajua ila yeye Mika 1:3 "Kwa maana, angalieni, Bwana anakuja akitoka MAHALI PAKE, naye atashuka, na kupakanyaga mahali pa dunia palipoinuka."

Hata atheist anayeamini muumba wa vyote, yote na wote hayupo huwa wanakitu wanakiabudu either kwa Siri ama kwa wazi, mfano mtu anaweza akawa haamini uwepo wa aliyeumba ila akaamini (science,nature,ushirikina,hela n.k) icho ndo kitu anachoabudu
 
Kama kila kitu sio lazima kiwe na chanzo basi hata ulimwengu hauna chanzo

Kama unakubali akili zetu haziwezi kufikiria kwa usahihi kwasababu ziko limited, utajuaje kuwa hata hilo wazo la kusema muumbaji wa ulimwengu ni Mungu sio muendelezo ule ule wa kufikiria majibu yasio sahihi?

Kabla ya kusema kumuamini Mungu hapo unakuwa umeruka vipengele baadhi ambavyo havijaonesha namna gani umefika hapo

Umejuaje kuna Mungu ambaye anapaswa kuaminiwa?

Ni akili ipi uliyoitumia kujua hilo?

Katika maswali yako uliyojiuliza kuhusu hatma ya ulimwengu nakujibu kwa kukupa maswali zaidi

Hapa nachukua upande wa dini ambao najua wengi ndio mnasimamia

Dini zimesema hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na ardhi

Kumbuka huo ni mwanzo, unaweza kujiuliza kabla ya mwanzo kulikuwaje?

Kama mwanzo umeanza na Mungu kuumba mbingu na ardhi, je huo sio mwanzo wa uwepo wa Mungu pia?

Kama Mungu alikuwepo kabla basi huo sio mwanzo

Lakini utajiuliza tena alikuwa akiishi wapi maana mbingu na ardhi kaviumba leo ambayo ndio mwanzo, na yeye wansema ni wamilele. Alikuwa akiishi wapi?

Haya huko pia alipokuwa akiishi kuliumbwa na nani?

Na kama kulikuwa kuna sehemu anaishi bado tu hii ya ulimwengu na ardhi itaendelea kuhesabika kama mwanzo?

Au tuseme ni mwanzo wa uumbaji na tukubaliane kwamba hakukuwa na uimbaji mwingine uliotangulia kabla ya huo?

Hapo kuna maswali mengi magumu naomba tupaache tuelekee section ya pili na huwezi kukuta pastor ana hubiri hoja tata kama hizo

Haya tujiulize mazingira ya uumbaji yalivyofanyika

Mfano leo hii ukitaka kuchimba shimo lazima utaanzia juu ya ardhi, nikiwa na maana kwamba utasimama ukiwa hapo na likikamilika utaweza kuingia ndani

Leo hii ukimkuta mtu yupo shimoni baada ya kuchimba shimo itakuwa ni rahisi kufikiria kuwa kabla ya kuingia shimoni kulikuwa na ardhi ambayo iko level ambapo hapo ndio alisimama akachimba mpaka kutengeneza shimo

Sasa Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?

Huwezi kufikiria aliumba ulimwengu akiwa ndani ya ulimwengu kwasababu itaonekana hapo anaufanyia repair kwa maana ya kwamba ulikwisha jengwa
Mungu wala hatuaminishi chochote, wala hahitaji chochote kutoka kwetu...sisi wanadamu ndo tunakuwa na chokochoko ya kutaka kujua na kumjua..Design zetu (Kimwili na kiroho) tayari ni limits tosha ambazo zinakurudisha kule kule kwa Mungu.
Hivyo mtu yoyote hata ambaye hajawahi gusa biblia au quran..tayari ndani mwake anajua kuna nguvu inamuendesha....

Wewe unamdiscuss Mungu na kumpa uwezo wa kibinadamu...which is fine sababu ni binadamu na uwezo wetu uko limited..lkn Mungu hana hizo physical boundaries unazosema...Hana mwanzo hana Mwisho, hana sehemu maalumu-yuko mahali pote...nguvu iko mahali pote....
Kila kitu kina chanzo na Mungu ndo chanzo chenyewe...
 
Back
Top Bottom