Mengi Sana mfano
1.Maisha baada ya kifo
2.Nguvu ya Imani
3.Viumbe visiovyoonekana
5.Kuhusu Roho,Nafsi
6.Laana na baraka
7.Ndoto
8.Mawazo
9.Mawasiliano ya ROHO kwa roho
10.chanzo cha tabia na dawa ya tabia mfano ulevi, uzinzi, ushoga, uteja, hasira,chuki, ubinafsi nk
11.Magonjwa ya kiroho
12.Kifo
13.Mungu na shetani
14.viumbe vilivyopo katika sayari zingine
15.uhusiano uliopo katika ya wanadamu na viumbe visiovyoonekana
16.nk
Yapo mengi zaidi tutakesha
Bro... hayo maswali yote mbona yana majibu
1. Maisha baada ya kufo? Hakuna maisha baada ya kifo, ukifa una decompose
2. Nguvu ya imani? Imani which? Imani what?
3. Viumbe visivyoonekana -unamaanisha viruses na bacterias? Hao wanaonekana kwa microscopes
4. ..??
5. Tupe proof ya kwamba roho au nafsi vinaexist..
6. Laana au baraka? Wtf is that crap, hakuna kitu kama mtu anakulaani au kukubariki.
7. Ndoto? Hii kwa urahisi, ni replay ya mawazo yako mwenyewe... ndiomaana huwezi kuota kitu ambacho hujawahi kukiona au kitu hujawahi kukiimagine
8. Mawazo? Ukikaa idle lazima uwe na mawazo
9. Mawasiliano ya roho kwa roho, hakuna kitu kama icho... ni sawa na watu wanaoamini mambo ya utabiri wa nyota
10. Tiba ya tabia zipo, ndiomaana kuna rehabilitation centers
11. Mgonjwa wa kiroho? Soma namba 9 hapo juu
12. Kifo, kila kiumbe kitakufa... ispokua species kadhaa za jelly fish. Wao wana biological immortality, watakufa tu ukiwaua. Usipowaua wanaishi milele... au unataka explanation gan kuhusu kifo?
13. Mungu na shetan. Hawapo, hakuna namna ya kuprove existence yao
14. Aliens. So far hatujagundua aina yyte... ingawa kuna sayari zinaonesha uwezekano wakuwepo au kuanzisha maisha kama yalio duniani.
15. Refer to point number 9
16.... ?