Machache yanayonifanya niamini uwepo wa Mungu: Hatari ya kuamini hakuna Mungu

Machache yanayonifanya niamini uwepo wa Mungu: Hatari ya kuamini hakuna Mungu

Hizo elimu zingine zimekuwepo kabla ya sayansi.Vipi kuhusu nguvu za asili mfano negative na positive energy na jinsi zinavyoathiri watu je sayansi inayo majibu?
Sayansi ndogo sana hio. Ukiwa na negative energy kubwa mafanikio yako yatakua hafifu. Usijawe na negative mindset.

Kwa uzoefu wangu wa kufanya kazi na wabongo pamoja na watu wa ulaya, wabongo asilimia kubwa tuna negative mindset kuliko wao. Na ndio maana wao wanafanikiwa zaidi
 
Hoja Yako haina logic kabisa cuz una Amini kuwa Kila kilichopo Duniani na nje ya uso wa Dunia kutakuwa kimeumbwa it means hata uwepo wa huyo mungu wako nao unaacha maswali kuwa hata Yeye uwepo wake umesababishwa na kuumbwa na mungu wake , so huoni hadi hapo huyo mungu wako ana kosa sifa ya kuwa mungu Kwa sababu na Yeye pia Kuna aliye muweka
 
Kama kila kitu sio lazima kiwe na chanzo basi hata ulimwengu hauna chanzo

Kama unakubali akili zetu haziwezi kufikiria kwa usahihi kwasababu ziko limited, utajuaje kuwa hata hilo wazo la kusema muumbaji wa ulimwengu ni Mungu sio muendelezo ule ule wa kufikiria majibu yasio sahihi?

Kabla ya kusema kumuamini Mungu hapo unakuwa umeruka vipengele baadhi ambavyo havijaonesha namna gani umefika hapo

Umejuaje kuna Mungu ambaye anapaswa kuaminiwa?

Ni akili ipi uliyoitumia kujua hilo?

Katika maswali yako uliyojiuliza kuhusu hatma ya ulimwengu nakujibu kwa kukupa maswali zaidi

Hapa nachukua upande wa dini ambao najua wengi ndio mnasimamia

Dini zimesema hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na ardhi

Kumbuka huo ni mwanzo, unaweza kujiuliza kabla ya mwanzo kulikuwaje?

Kama mwanzo umeanza na Mungu kuumba mbingu na ardhi, je huo sio mwanzo wa uwepo wa Mungu pia?

Kama Mungu alikuwepo kabla basi huo sio mwanzo

Lakini utajiuliza tena alikuwa akiishi wapi maana mbingu na ardhi kaviumba leo ambayo ndio mwanzo, na yeye wansema ni wamilele. Alikuwa akiishi wapi?

Haya huko pia alipokuwa akiishi kuliumbwa na nani?

Na kama kulikuwa kuna sehemu anaishi bado tu hii ya ulimwengu na ardhi itaendelea kuhesabika kama mwanzo?

Au tuseme ni mwanzo wa uumbaji na tukubaliane kwamba hakukuwa na uimbaji mwingine uliotangulia kabla ya huo?

Hapo kuna maswali mengi magumu naomba tupaache tuelekee section ya pili na huwezi kukuta pastor ana hubiri hoja tata kama hizo

Haya tujiulize mazingira ya uumbaji yalivyofanyika

Mfano leo hii ukitaka kuchimba shimo lazima utaanzia juu ya ardhi, nikiwa na maana kwamba utasimama ukiwa hapo na likikamilika utaweza kuingia ndani

Leo hii ukimkuta mtu yupo shimoni baada ya kuchimba shimo itakuwa ni rahisi kufikiria kuwa kabla ya kuingia shimoni kulikuwa na ardhi ambayo iko level ambapo hapo ndio alisimama akachimba mpaka kutengeneza shimo

Sasa Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?

Huwezi kufikiria aliumba ulimwengu akiwa ndani ya ulimwengu kwasababu itaonekana hapo anaufanyia repair kwa maana ya kwamba ulikwisha jengwa
Unahoja nzito sana ni vigumu Kwa low thinkers kukuelewa
 
Sayansi ndogo sana hio. Ukiwa na negative energy kubwa mafanikio yako yatakua hafifu. Usijawe na negative mindset.

Kwa uzoefu wangu wa kufanya kazi na wabongo pamoja na watu wa ulaya, wabongo asilimia kubwa tuna negative mindset kuliko wao. Na ndio maana wao wanafanikiwa zaidi
Sayansi haina uwezo wa kutibu magonjwa ya kiroho mfano ukimwi,ushoga,uteja, uzinzi, laana nk. Bado sayansi ni elimu changa sana kumudu kujibu KILA kitu.
 
1. Hakuna ushaidi wowote kuhusu ulimwengu usionekana wala huwezi kuleta ushahidi wowote ivo basi kisayansi hakuna kitu kama ulimwengu usioonekana.
2. Sayansi inamajibu kuhusu ndoto
3. "Nguvi ya mawazo" unamaana gani kusema ivo? Ukiwa na msongo wa mawazo unajirisk kupata matatizo ya akili...
4. Roho? Hakuna uwezekano wa kuprove existence ya roho, ivo hakuna kitu kama roho
5. Hakuna maisha baada ya kifo
6. Viumbe vilivo katika sayari nyingine havijagunduliwa. Kama vipo, vipi sayari gani? Itakua rahisi kuprove uwepo wao...
7. Asili ya mwanadamu, kuna theories nyingi zinazo suggest asili yetu. Uumbaji ikiwa far off from the truth...
8. Chuki, wivu, hasira, upendo? Hivi vitu vinategemea sana na jinsi mtu alivokizwa toka utotoni, mazingira aliopo na vitu kama ivo
9. Sayansi haiamini katika mungu, muumba wa ulimwengu wote. Inategemea unadefine vipi neno "mungu"
10. Kwenye uchawi tumepigwa, hamna kitu kama icho[emoji38]
Waache wajifurahishe na imaginary stories mi pia na enjoy sana story za namna hiyo

Wakimaliza kujadili ulimwengu usio onekana waniite tutanue mjadala zaidi kwa kujadili Unicorn wa pink asiyeonekana na nitawahoji kujua ni kiasi gani wanakubaliana na stori hiyo
 
Sayansi haina uwezo wa kutibu magonjwa ya kiroho mfano ukimwi,ushoga,uteja, uzinzi, laana nk. Bado sayansi ni elimu changa sana kumudu kujibu KILA kitu.

Hahah.. ukimwi ni ugonjwa wa kiroho? Ushoga sio ugonjwa, ni hali tu mtu alivozaliwa na hormone zake. Uteja unatibika vizuri tu. Kuna jirani yetu wa zamani wa utotoni alikumbwa na uteja wa madawa ya kulevya aliathirika mpaka akawa na matatizo ya akili (ukichaa) ila baadae alipelekwa hospitali akapata tiba, na mwaka ujao anategemea kumaliza chuo... lakini angeenda kwenye makanisa, sijui misikiti asingepona. Mwanzoni aliambiwa karogwa, wakaenda kwenye makanisa na makanisa... wachungaji wanakula pesa zake tu. Ila wapi..

Uzinzi sio ugonjwa na hakuna kitu kama laana. Ni mawazo yako tu hayo...
 
Waache wajifurahishe na imaginary stories mi pia na enjoy sana story za namna hiyo

Wakimaliza kujadili ulimwengu usio onekana waniite tutanue mjadala zaidi kwa kujadili Unicorn wa pink asiyeonekana na nitawahoji kujua ni kiasi gani wanakubaliana na stori hiyo
Tukitoka hapo tujadili majoka yanayowapa watu mali...
 
Kama kila kitu sio lazima kiwe na chanzo basi hata ulimwengu hauna chanzo

Kama unakubali akili zetu haziwezi kufikiria kwa usahihi kwasababu ziko limited, utajuaje kuwa hata hilo wazo la kusema muumbaji wa ulimwengu ni Mungu sio muendelezo ule ule wa kufikiria majibu yasio sahihi?

Kabla ya kusema kumuamini Mungu hapo unakuwa umeruka vipengele baadhi ambavyo havijaonesha namna gani umefika hapo

Umejuaje kuna Mungu ambaye anapaswa kuaminiwa?

Ni akili ipi uliyoitumia kujua hilo?

Katika maswali yako uliyojiuliza kuhusu hatma ya ulimwengu nakujibu kwa kukupa maswali zaidi

Hapa nachukua upande wa dini ambao najua wengi ndio mnasimamia

Dini zimesema hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na ardhi

Kumbuka huo ni mwanzo, unaweza kujiuliza kabla ya mwanzo kulikuwaje?

Kama mwanzo umeanza na Mungu kuumba mbingu na ardhi, je huo sio mwanzo wa uwepo wa Mungu pia?

Kama Mungu alikuwepo kabla basi huo sio mwanzo

Lakini utajiuliza tena alikuwa akiishi wapi maana mbingu na ardhi kaviumba leo ambayo ndio mwanzo, na yeye wansema ni wamilele. Alikuwa akiishi wapi?

Haya huko pia alipokuwa akiishi kuliumbwa na nani?

Na kama kulikuwa kuna sehemu anaishi bado tu hii ya ulimwengu na ardhi itaendelea kuhesabika kama mwanzo?

Au tuseme ni mwanzo wa uumbaji na tukubaliane kwamba hakukuwa na uimbaji mwingine uliotangulia kabla ya huo?

Hapo kuna maswali mengi magumu naomba tupaache tuelekee section ya pili na huwezi kukuta pastor ana hubiri hoja tata kama hizo

Haya tujiulize mazingira ya uumbaji yalivyofanyika

Mfano leo hii ukitaka kuchimba shimo lazima utaanzia juu ya ardhi, nikiwa na maana kwamba utasimama ukiwa hapo na likikamilika utaweza kuingia ndani

Leo hii ukimkuta mtu yupo shimoni baada ya kuchimba shimo itakuwa ni rahisi kufikiria kuwa kabla ya kuingia shimoni kulikuwa na ardhi ambayo iko level ambapo hapo ndio alisimama akachimba mpaka kutengeneza shimo

Sasa Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?

Huwezi kufikiria aliumba ulimwengu akiwa ndani ya ulimwengu kwasababu itaonekana hapo anaufanyia repair kwa maana ya kwamba ulikwisha jengwa


Maswali ya ki-mwili kweli kweli !! 🤣🤣, kumfananisha Mungu na mchimba shimo aliyeingia shimoni!!🤣🤣.

God is a Spirit, He exist spiritually and performs consciously and Wisely in disciplinary whatever He likes. He embodies everything and He is not Occupied by any thing, He is eternity and every thing comes from Him and exist and some perish under His commandments. Huwezi kuyachukua mazingira ya kibinadamu (space time) na kuyafanya ya apply kwa Mungu aliyeyaumba hayo mazingira kwani Yeye ni beyond uumbaji wake, Usije ukauliza kama Mungu anaishi je anavuta Oxygen kiasi gani na anakunywa maji lita ngapi nk ??!🤣🤣
 
Maswali ya ki-mwili kweli kweli !! 🤣🤣, kumfananisha Mungu na mchimba shimo aliyeingia shimoni!!🤣🤣.

God is a Spirit, He exist spiritually and performs consciously and Wisely in disciplinary whatever He likes. He embodies everything and He is not Occupied by any thing, He is eternity and every thing comes from Him and exist and some perish under His commandments. Huwezi kuyachukua mazingira ya kibinadamu (space time) na kuyafanya ya apply kwa Mungu aliyeyaumba hayo mazingira kwani Yeye ni beyond uumbaji wake, Usije ukauliza kama Mungu anaishi je anavuta Oxygen kiasi gani na anakunywa maji lita ngapi nk ??!🤣🤣
Hilo swala la spirit tunaelewa ni guard kuzuia maswali magumu.

Ukisema Mungu ni roho na kwamba sio kitu tangible utapata kigugumizi pale utapokuwa ukimuelezea sifa zake

Vitabu vyenu vimesema Mungu wenu ameketi kwenye kiti cha enzi, sasa kisicho hitaji space kivipi tena upande wa pili wa stori kitu hicho kinaelezewa kuwa kimekaa sehemu fulani?

Kama Mungu ana makazi yake mbinguni na tunaweza kuyajadili kuwa aliyaumba, kwanini swala la kuhoji mahali alipokuwa akiishi kabla ya kuumba hiyo mbingu likose majibu kwa kigezo cha roho?
 
Hilo swala la spirit tunaelewa ni guard kuzuia maswali magumu.

Ukisema Mungu ni roho na kwamba sio kitu tangible utapata kigugumizi pale utapokuwa ukimuelezea sifa zake

Vitabu vyenu vimesema Mungu wenu ameketi kwenye kiti cha enzi, sasa kisicho hitaji space kivipi tena upande wa pili wa stori kitu hicho kinaelezewa kuwa kimekaa sehemu fulani?

Kama Mungu ana makazi yake mbinguni na tunaweza kuyajadili kuwa aliyaumba, kwanini swala la kuhoji mahali alipokuwa akiishi kabla ya kuumba hiyo mbingu likose majibu kwa kigezo cha roho?


Kiti cha enzi, kiti hicho kukaa juu ya maji nk, hayo ni maneno ya kimwili yenye maana za kiroho, maneno hayo Mungu kayaeleza kimwili ili akili zetu za kimwili zipate mfano wa picha tu.

Ni hivi; aliposema kiti cha enzi maana yake ni cheo, hadhi, utukufu nk wa Mungu na kiti hicho kukaa juu ya maji maana yake ni kwamba viumbe hai hususan Binadamu ndiye amepewa na Mungu vipawa (faculties) vya kutangaza au kuonyesha sifa za Mungu kwani viumbe hai vyote vimeumbwa kutokana na maji, au wawezasema kwamba maji katika lugha ya kiroho ni ufunuo kutoka kwa Mungu kuja kwa watu kupitia manabii Wake, Ufunuo unakuja kutangaza sifa za Mungu, hadhi na utukufu wake hiyo ndio maana ya enzi Yake kukaa juu ya maji, kifupi ni kwamba maneno mengine ya Mungu ndani ya Qur'an yamejaa falsafa za kiroho zaidi na ukiyatafsiri literally utapata maana za kuchekesha na utazidi kupotea zaidi basi ndipo Mungu anasema:- "Laa yumasuhu illa mutaharuun"--- yaani (mtu) haishiki isipokuwa yule aliyetakasika, ni hadi pale roho yako itakapotakasika, utakapopenda kutakasika, utajapojitahidi kumuomba Mungu kwa unyenyekevu akutakase ndipo (utashika) utaelewa maana za ndani za maneno yake.

Mungu haitaji watu Wababe wanaojiona kuwa wanazo akili kubwa (egos) wakati hata hizo akili wanazojivunia hawakujipa wao wenyewe bali hawajui au wametia pamba fikra zao ili wasitambue kwamba ni huyo huyo Mungu ndiye kawapa hizo akili. Mungu haitaji chochote kutoka kwetu bali sisi ndio tunaohitaji kutoka kwake na yeye ndiye aliyetuumba hivyo, je ni sisi au Yeye anayepaswa kumnyenyekea mwenzake in submission ??!!--- ukipata jibu sahihi la swali hilo basi yakupasa u act na utamuona Mungu akiwa mbele yako miraculously.
 
Ukubwa na udogo wa kitu huonyesha ukuu wa Mungu, ingawa kwenye post sikuzungumzia kuhusu vitu vidogo.

Kwanza Kuna vitu unabidi uvielewe kuhusu dini na imani;

•Nimesema kuwa (according to religious teachings), hatujapewa elimu juu vitu vyote. Akili ya binadamu ni limited.
Hata science bado haiwezi kuelezea mambo mengi ambayo tunayaona kila siku.
Hiyo science unayoiamini bado haina majibu juu ya mambo mengi tu;
Mfano
a. Kwanini tunalala?
b. Kwanini tunaota?
c. Kwanini tunapiga miayo?
d. Kwanini nyanya ina gini nyingi zaidi ya binadamu?
e. Mysteries of black holes
f. How magic works?
g. Source of disappearances in Bermuda triangle

Jiulize ni asilimia ngapi ya ulimwengu ishakuwa explored na binadamu?

Huko mbali, wanasayansi wenyewe wanasema ni asilimia tano tu ya bahari ndio imegunduliwa.
Vip kuhusu hii solar system yetu?
Vipi kuhusu our milky way galaxy?
Then what about billion of galaxies out there?

Kuamini Mungu kwanza you have to submit to the will of God. You have to admit that your mind, level of thinking, intellect and observation are very weak kitu ambacho atheist wengi hawataki kukubali.

Kama akili yako haiwezi kusolve vitu vidogo tu vipi inaweza kudiscuss vitu vikubwa kama creation. Binadamu alieshindwa kujua what is going on in Bermuda triangle!![emoji1787]

Kama akili yako imeshindwa kuaccomodate kuwa Mungu ndio mkubwa zaidi, yeye ndio tata zaidi, hana chanzo, hatakuwa na mwisho na yeye ndio kaumba least complex beings.

Vipi wewe unaamini universe ilianza as tiny particle? Hiyo particle ilitokea wapi? iliundwa na vitu gani, hivyo vitu vilitokea wapi? How can something emerge from nothing? Mwisho wa siku utakuja kuconclude kwamba akili yako haiwezi KAMWE kutolea maelezo vitu vyote. Science is true lakini ina LIMIT yake, uelewa wetu una limit pia.

Msingi mkubwa wa dini/imani ni belief. Hata science imejengwa katika kuamini na kwa ufupi kila taarifa ili ikubalike unapaswa kuiamini.

Kwa layman, kivipi unakubali kuwa binadamu alitua mwezini?

Kivipi unakubali picha za NASA ni real? Sio editing?

Kivipi unakubali uwepo wa black holes na haujawahi kushika hata binoculars/telescope?

Huko mbali, umeshahi kuziona sayari katika mfumo wetu wa jua kwa kutumia devices?

Unaamini matukio ya kihistoria? Je una empirical evidences at you hand?

Kama unakubali kuwepo kwa vitu hivyo basi wewe pia unaamini tu (not witness), na hii haimaanishi kuwa vitu hivyo havipo.

Kwanza ili uamini, unatakiwa kupewa evidence, na evidence ya uwepo wa Mungu ni vitabu vya Mungu, Maisha ya Manabii na Mambo waliyoyafanya.

Pili ili kuithibitisha taarifa fulani you only need to trust the informer (sio lazima information iwe perceived katika sense organ zako)

Kama mnavyowaamini NASA, Historians, researchers, theorists and philosophers ndivyo hivyo nasisi tunawaamini Manabii, their miracles, revelations, books of God n.k.

Haya yote tunayaongea ni kugusia tu kati ya vingi vilivyozungumziwa, bali ushahidi wa uwepo wa Mungu upo katika vitabu vyake. Ni uvivu wa kusoma lakini Kama utasoma vitabu hivyo basi hiyo doubt uliyokuwa nayo itaondoka.

Kuna kila aina ya ushahidi kwenye vitabu hivyo lakini MMEGOMA kuchukua maarifa huko.

Kwa ufupi tu, kama hivi vitabu vya dini vilitungwa na watu, viliwezaje kuzungumzia mambo ya kisayansi ambayo leo yanathibitishwa kuwa ni kweli.

Mfano katika Quran vimezungumziwa vitu vingi ambavyo vinaendana na modern science

-Embryology
-The sky's protection
-Beginning of universe
-Iron within meteorites
-The meeting of the seas
-Sun moving in orbit (galactic revolution of solar system)
-Mountains as stakes
-Expansion of the universe
-Pain receptors and many more.

Katika kutofautiana, unaweza ukachagua cha kuamini na ukakitafutia sababu za kuamini lakini kuna upande mmoja tu ambao uko sahihi.
[emoji817]
 
Maswali ya ki-mwili kweli kweli !! [emoji1787][emoji1787], kumfananisha Mungu na mchimba shimo aliyeingia shimoni!![emoji1787][emoji1787].

God is a Spirit, He exist spiritually and performs consciously and Wisely in disciplinary whatever He likes. He embodies everything and He is not Occupied by any thing, He is eternity and every thing comes from Him and exist and some perish under His commandments. Huwezi kuyachukua mazingira ya kibinadamu (space time) na kuyafanya ya apply kwa Mungu aliyeyaumba hayo mazingira kwani Yeye ni beyond uumbaji wake, Usije ukauliza kama Mungu anaishi je anavuta Oxygen kiasi gani na anakunywa maji lita ngapi nk ??![emoji1787][emoji1787]
[emoji23]
 
Ukubwa na udogo wa kitu huonyesha ukuu wa Mungu, ingawa kwenye post sikuzungumzia kuhusu vitu vidogo.

Kwanza Kuna vitu unabidi uvielewe kuhusu dini na imani;

•Nimesema kuwa (according to religious teachings), hatujapewa elimu juu vitu vyote. Akili ya binadamu ni limited.
Hata science bado haiwezi kuelezea mambo mengi ambayo tunayaona kila siku.
Hiyo science unayoiamini bado haina majibu juu ya mambo mengi tu;
Mfano
a. Kwanini tunalala?
b. Kwanini tunaota?
c. Kwanini tunapiga miayo?
d. Kwanini nyanya ina gini nyingi zaidi ya binadamu?
e. Mysteries of black holes
f. How magic works?
g. Source of disappearances in Bermuda triangle

Jiulize ni asilimia ngapi ya ulimwengu ishakuwa explored na binadamu?

Huko mbali, wanasayansi wenyewe wanasema ni asilimia tano tu ya bahari ndio imegunduliwa.
Vip kuhusu hii solar system yetu?
Vipi kuhusu our milky way galaxy?
Then what about billion of galaxies out there?

Kuamini Mungu kwanza you have to submit to the will of God. You have to admit that your mind, level of thinking, intellect and observation are very weak kitu ambacho atheist wengi hawataki kukubali.

Kama akili yako haiwezi kusolve vitu vidogo tu vipi inaweza kudiscuss vitu vikubwa kama creation. Binadamu alieshindwa kujua what is going on in Bermuda triangle!![emoji1787]

Kama akili yako imeshindwa kuaccomodate kuwa Mungu ndio mkubwa zaidi, yeye ndio tata zaidi, hana chanzo, hatakuwa na mwisho na yeye ndio kaumba least complex beings.

Vipi wewe unaamini universe ilianza as tiny particle? Hiyo particle ilitokea wapi? iliundwa na vitu gani, hivyo vitu vilitokea wapi? How can something emerge from nothing? Mwisho wa siku utakuja kuconclude kwamba akili yako haiwezi KAMWE kutolea maelezo vitu vyote. Science is true lakini ina LIMIT yake, uelewa wetu una limit pia.

Msingi mkubwa wa dini/imani ni belief. Hata science imejengwa katika kuamini na kwa ufupi kila taarifa ili ikubalike unapaswa kuiamini.

Kwa layman, kivipi unakubali kuwa binadamu alitua mwezini?

Kivipi unakubali picha za NASA ni real? Sio editing?

Kivipi unakubali uwepo wa black holes na haujawahi kushika hata binoculars/telescope?

Huko mbali, umeshahi kuziona sayari katika mfumo wetu wa jua kwa kutumia devices?

Unaamini matukio ya kihistoria? Je una empirical evidences at you hand?

Kama unakubali kuwepo kwa vitu hivyo basi wewe pia unaamini tu (not witness), na hii haimaanishi kuwa vitu hivyo havipo.

Kwanza ili uamini, unatakiwa kupewa evidence, na evidence ya uwepo wa Mungu ni vitabu vya Mungu, Maisha ya Manabii na Mambo waliyoyafanya.

Pili ili kuithibitisha taarifa fulani you only need to trust the informer (sio lazima information iwe perceived katika sense organ zako)

Kama mnavyowaamini NASA, Historians, researchers, theorists and philosophers ndivyo hivyo nasisi tunawaamini Manabii, their miracles, revelations, books of God n.k.

Haya yote tunayaongea ni kugusia tu kati ya vingi vilivyozungumziwa, bali ushahidi wa uwepo wa Mungu upo katika vitabu vyake. Ni uvivu wa kusoma lakini Kama utasoma vitabu hivyo basi hiyo doubt uliyokuwa nayo itaondoka.

Kuna kila aina ya ushahidi kwenye vitabu hivyo lakini MMEGOMA kuchukua maarifa huko.

Kwa ufupi tu, kama hivi vitabu vya dini vilitungwa na watu, viliwezaje kuzungumzia mambo ya kisayansi ambayo leo yanathibitishwa kuwa ni kweli.

Mfano katika Quran vimezungumziwa vitu vingi ambavyo vinaendana na modern science

-Embryology
-The sky's protection
-Beginning of universe
-Iron within meteorites
-The meeting of the seas
-Sun moving in orbit (galactic revolution of solar system)
-Mountains as stakes
-Expansion of the universe
-Pain receptors and many more.

Katika kutofautiana, unaweza ukachagua cha kuamini na ukakitafutia sababu za kuamini lakini kuna upande mmoja tu ambao uko sahihi.

Haha... hivo vitu ulivolist as "science haina majibu ya vyenyewe" actually science inayo majibu yake...
 
Hata watu wa anga za juu kama NASA wanaamini uwepo wa Mungu, iweje sisi?

Mungu yupo na ndiyo maana Solar system yenye sayari kibao haijawahi kwenda service kwa ma billions ya miaka.
 
Hata watu wa anga za juu kama NASA wanaamini uwepo wa Mungu, iweje sisi?

Mungu yupo na ndiyo maana Solar system yenye sayari kibao haijawahi kwenda service kwa ma billions ya miaka.
Asilimia kubwa hawaamini uwepo wa Mungu...
 
Back
Top Bottom