Mengi Sana mfanoMfano yapi 90% science haijajibu?
Mengi Sana mfano
1.Maisha baada ya kifo
2.Nguvu ya Imani
3.Viumbe visiovyoonekana
5.Kuhusu Roho,Nafsi
6.Laana na baraka
7.Ndoto
8.Mawazo
9.Mawasiliano ya ROHO kwa roho
10.chanzo cha tabia na dawa ya tabia mfano ulevi, uzinzi, ushoga, uteja, hasira,chuki, ubinafsi nk
11.Magonjwa ya kiroho
12.Kifo
13.Mungu na shetani
14.viumbe vilivyopo katika sayari zingine
15.uhusiano uliopo katika ya wanadamu na viumbe visiovyoonekana
16.nk
Yapo mengi zaidi tutakesha
1.Mwili ndio unaokoma baada ya kifo lakini Roho na nafsi uendeleaBro... hayo maswali yote mbona yana majibu
1. Maisha baada ya kufo? Hakuna maisha baada ya kifo, ukifa una decompose
2. Nguvu ya imani? Imani which? Imani what?
3. Viumbe visivyoonekana -unamaanisha viruses na bacterias? Hao wanaonekana kwa microscopes
4. ..??
5. Tupe proof ya kwamba roho au nafsi vinaexist..
6. Laana au baraka? Wtf is that crap, hakuna kitu kama mtu anakulaani au kukubariki.
7. Ndoto? Hii kwa urahisi, ni replay ya mawazo yako mwenyewe... ndiomaana huwezi kuota kitu ambacho hujawahi kukiona au kitu hujawahi kukiimagine
8. Mawazo? Ukikaa idle lazima uwe na mawazo
9. Mawasiliano ya roho kwa roho, hakuna kitu kama icho... ni sawa na watu wanaoamini mambo ya utabiri wa nyota
10. Tiba ya tabia zipo, ndiomaana kuna rehabilitation centers
11. Mgonjwa wa kiroho? Soma namba 9 hapo juu
12. Kifo, kila kiumbe kitakufa... ispokua species kadhaa za jelly fish. Wao wana biological immortality, watakufa tu ukiwaua. Usipowaua wanaishi milele... au unataka explanation gan kuhusu kifo?
13. Mungu na shetan. Hawapo, hakuna namna ya kuprove existence yao
14. Aliens. So far hatujagundua aina yyte... ingawa kuna sayari zinaonesha uwezekano wakuwepo au kuanzisha maisha kama yalio duniani.
15. Refer to point number 9
16.... ?
1.Mwili ndio unaokoma baada ya kifo lakini Roho na nafsi uendelea
2.Mwili wa binadamu uendeshwa na roho na nafsi vikitoka uhai ukoma.
3.Ndoto inaweza kuwa ni reflection ya Yale uliyofanya, au ujumbe fulani toka outer universe, au nafsi inakuwa imesafiri eneo halisi usilolijua nafsi Ina uwezo wa kusafiri kwa kasi ya sekunde moja hadi bara jingine, thus umeshawahi ota vingi ambavyo ukuwahi kutana navyo maisha mwako.
4.Sayansi haiwezi tibu ubinafsi, uzinzi, wizi na tabia zisizo na maadili
"Tupa macho kule" kwanza hiyo sio sentensi sahihiUsiingie kwenye mada mpya ya uumbaji wa Mungu na "mdomo" na "mikono" yake japo hata katika hilo hoja yako haina mashiko, kwanza tubaki kwenye "kuketi kwenye kiti cha enzi".
Hebu chukua msemo huu maarufu wa kiswahili; "Tupa macho mbele" je huu msemo maana yake ni angalia mbele au ng'oa macho yako kutoka hapo yalipo na uyatupe mbele yako??!-- bila shaka utakubaliana na mimi kwamba kutupa macho mbele ni kuangalia mbele, au mfano inaposemwa kiongozi fulani kasimikwa au katawazwa je maana yake kasimikwa ardhini kama mti au katawazwa kasafishwa mwili wake!!??--- kusimikwa au kutawazwa ni kupewa wadhifa au majukumu nk, ni hivyo hivyo kuketi kwenye kiti cha enzi maana yake ni "kuchukua mamlaka, madaraka, jukumu nk, kinyume chake ni kuondoshwa au kuondoka madarakani (dethroned), Vyovyote utakavyo yaweka hayo maneno maana yake ni hiyohiyo ya kupata madaraka, wadhifa, majukumu ya kiutawala nk, ama useme; kukaa juu ya kiti cha enzi, kukaa kwenye kiti cha enzi au kuketi katika kiti cha enzi yote hayo maneno yana maana moja, hebu chukua mfano huu hai wakati spika wa bunge letu mara kadhaa mbunge anapopingana naye yeye husema kumwambia mbunge: "mbona unabishana na kiti !!" Je inawezekana kidhahiri mbunge akabishana na kiti anachokalia spika??
hapa kubishana na kiti ni kubishana na mamlaka ya spika na si vinginevyo na hizo ndizo (figure of speeches).
Kumbuka Mungu ni spirit hivyo anayo staili yake ya kutupasha habari sisi physical beings.
Narudia tena, katika Qur'an kuna aya za aina mbili, kwanza zilizo straightforward katika maana na zile zilizo implicit katika maana.
Yaani umefanya nionekane kichaaa! BuS zima wamegeuka kuniangalia kwa kicheko kileeeeushawahi kubishana na watetea uchawi/ushirikina hata kidogo? Duuh ni noma, kwanza hakuna heshima, na hawataki hata kutumia mantiki/logic yaani utaoga matusi tu na matisho. Ubishi wake hauna raha kama huu.
Aliyeumba ni CHANZO HALISI, alikuwa peke yake MAHALI PAKE na hakuna anayepajua ila yeye Mika 1:3 "Kwa maana, angalieni, Bwana anakuja akitoka MAHALI PAKE, naye atashuka, na kupakanyaga mahali pa dunia palipoinuka."Kama kila kitu sio lazima kiwe na chanzo basi hata ulimwengu hauna chanzo
Kama unakubali akili zetu haziwezi kufikiria kwa usahihi kwasababu ziko limited, utajuaje kuwa hata hilo wazo la kusema muumbaji wa ulimwengu ni Mungu sio muendelezo ule ule wa kufikiria majibu yasio sahihi?
Kabla ya kusema kumuamini Mungu hapo unakuwa umeruka vipengele baadhi ambavyo havijaonesha namna gani umefika hapo
Umejuaje kuna Mungu ambaye anapaswa kuaminiwa?
Ni akili ipi uliyoitumia kujua hilo?
Katika maswali yako uliyojiuliza kuhusu hatma ya ulimwengu nakujibu kwa kukupa maswali zaidi
Hapa nachukua upande wa dini ambao najua wengi ndio mnasimamia
Dini zimesema hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na ardhi
Kumbuka huo ni mwanzo, unaweza kujiuliza kabla ya mwanzo kulikuwaje?
Kama mwanzo umeanza na Mungu kuumba mbingu na ardhi, je huo sio mwanzo wa uwepo wa Mungu pia?
Kama Mungu alikuwepo kabla basi huo sio mwanzo
Lakini utajiuliza tena alikuwa akiishi wapi maana mbingu na ardhi kaviumba leo ambayo ndio mwanzo, na yeye wansema ni wamilele. Alikuwa akiishi wapi?
Haya huko pia alipokuwa akiishi kuliumbwa na nani?
Na kama kulikuwa kuna sehemu anaishi bado tu hii ya ulimwengu na ardhi itaendelea kuhesabika kama mwanzo?
Au tuseme ni mwanzo wa uumbaji na tukubaliane kwamba hakukuwa na uimbaji mwingine uliotangulia kabla ya huo?
Hapo kuna maswali mengi magumu naomba tupaache tuelekee section ya pili na huwezi kukuta pastor ana hubiri hoja tata kama hizo
Haya tujiulize mazingira ya uumbaji yalivyofanyika
Mfano leo hii ukitaka kuchimba shimo lazima utaanzia juu ya ardhi, nikiwa na maana kwamba utasimama ukiwa hapo na likikamilika utaweza kuingia ndani
Leo hii ukimkuta mtu yupo shimoni baada ya kuchimba shimo itakuwa ni rahisi kufikiria kuwa kabla ya kuingia shimoni kulikuwa na ardhi ambayo iko level ambapo hapo ndio alisimama akachimba mpaka kutengeneza shimo
Sasa Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?
Huwezi kufikiria aliumba ulimwengu akiwa ndani ya ulimwengu kwasababu itaonekana hapo anaufanyia repair kwa maana ya kwamba ulikwisha jengwa
kabisaaila Ulimwengu una vingi vya kustaajabisha
Mungu wala hatuaminishi chochote, wala hahitaji chochote kutoka kwetu...sisi wanadamu ndo tunakuwa na chokochoko ya kutaka kujua na kumjua..Design zetu (Kimwili na kiroho) tayari ni limits tosha ambazo zinakurudisha kule kule kwa Mungu.Kama kila kitu sio lazima kiwe na chanzo basi hata ulimwengu hauna chanzo
Kama unakubali akili zetu haziwezi kufikiria kwa usahihi kwasababu ziko limited, utajuaje kuwa hata hilo wazo la kusema muumbaji wa ulimwengu ni Mungu sio muendelezo ule ule wa kufikiria majibu yasio sahihi?
Kabla ya kusema kumuamini Mungu hapo unakuwa umeruka vipengele baadhi ambavyo havijaonesha namna gani umefika hapo
Umejuaje kuna Mungu ambaye anapaswa kuaminiwa?
Ni akili ipi uliyoitumia kujua hilo?
Katika maswali yako uliyojiuliza kuhusu hatma ya ulimwengu nakujibu kwa kukupa maswali zaidi
Hapa nachukua upande wa dini ambao najua wengi ndio mnasimamia
Dini zimesema hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na ardhi
Kumbuka huo ni mwanzo, unaweza kujiuliza kabla ya mwanzo kulikuwaje?
Kama mwanzo umeanza na Mungu kuumba mbingu na ardhi, je huo sio mwanzo wa uwepo wa Mungu pia?
Kama Mungu alikuwepo kabla basi huo sio mwanzo
Lakini utajiuliza tena alikuwa akiishi wapi maana mbingu na ardhi kaviumba leo ambayo ndio mwanzo, na yeye wansema ni wamilele. Alikuwa akiishi wapi?
Haya huko pia alipokuwa akiishi kuliumbwa na nani?
Na kama kulikuwa kuna sehemu anaishi bado tu hii ya ulimwengu na ardhi itaendelea kuhesabika kama mwanzo?
Au tuseme ni mwanzo wa uumbaji na tukubaliane kwamba hakukuwa na uimbaji mwingine uliotangulia kabla ya huo?
Hapo kuna maswali mengi magumu naomba tupaache tuelekee section ya pili na huwezi kukuta pastor ana hubiri hoja tata kama hizo
Haya tujiulize mazingira ya uumbaji yalivyofanyika
Mfano leo hii ukitaka kuchimba shimo lazima utaanzia juu ya ardhi, nikiwa na maana kwamba utasimama ukiwa hapo na likikamilika utaweza kuingia ndani
Leo hii ukimkuta mtu yupo shimoni baada ya kuchimba shimo itakuwa ni rahisi kufikiria kuwa kabla ya kuingia shimoni kulikuwa na ardhi ambayo iko level ambapo hapo ndio alisimama akachimba mpaka kutengeneza shimo
Sasa Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?
Huwezi kufikiria aliumba ulimwengu akiwa ndani ya ulimwengu kwasababu itaonekana hapo anaufanyia repair kwa maana ya kwamba ulikwisha jengwa