Nkana Young46
Member
- Dec 27, 2022
- 11
- 13
Machimbo ya mtumba ni Ilala boma. Pia Pale mtaa wa Tabora na Pangani kuna godown kubwa kuna dada ana mzigo mkubwa Grade A. Unaweza kupata. Unaweza kumpigia ukafika mwenyewe au akakutumia. Namba +255 769 297 877Salamu ndugu wanajukwaa, hebu mnisaidie, ni wapi naweza nikapata chimbo la mitumba la nguo za kike hapa dar. Nia yangu nahitaji ninyi kama wanajukwaa mniunganishe direct na huyo muuzaji, hivyo ni vizuri zaidi kama ningepata namba ya sim ya huyo muuzaji au nikaungwa hata kwa wasap group za hayo machimbo..
Simu: 0758891810
Ndo maisha ya content creators. Kuibiana content na mawazo ni kama pi. Ukishaweka kitu mtandaoni sio mali yako tena hiyo.Asante kwa kuiba post yangu instagram account yenye jina la @kelvinkibenje hata hivyo si mbaya kwani lengo ni kusaidiana. Aya wanaotaka machimbo zaidi na elimu ya biashara mnaweza kwenda instagram kuna post nyingi mtapata kitu. Serch @kelvinkibenje
Laptops nzuri kwa bei mtelezo wapi ?
Habari wakuu,
Mwenye anajua chimbo linalouza nguo za kike ikiwa magauni tofauti tofauti kwa jumla na viatu vyakiume hata kama kuna group link naomba anijoin
0629747495- chameey
Naomba kujua chimbo la mitandio Na mm niuze jumla kama wale wanaouza mtaa wa mchikichi/ nyamwez chimbo Lao kuu ni wap?
Laptops nzuri kwa bei mtelezo wapi ?
Kuna wahindi wanauza bei che kinoma sema sina data zaoMsaada chimbo au viwanda ambavyo naweza kupata mabooti ya shambani kwa bei ya jumla
Ndiyo zao mkuu inategemea na unavyojua bei.....Shuka vingazi Airforce black/kijivu watakwambia 70k wakat ni 35k
Davidsport wear mkali wao.......Mwenye anauza Timberland nyeusi au rangi yoyote used au mpya no 43/44 njoo tuongee
Natafuta chimbo la night dress bei ya Jumla, 0765187530
Mtafute huyu 0676169893, Nightdress za ukweli. Hautojutia.Natafuta chimbo la night dress bei ya Jumla, 0765187530