Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Kongo na kipataLipo maeneo gani mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kongo na kipataLipo maeneo gani mkuu?
Chimbo la lubricant zote za magari na mitambo mwenye kujua anichek
Whatsapp: 0612607426View attachment 2665001bei ya jumla ya hizo yebo wakuu na zinapo patikana kwa kariakoo.View attachment 2665005
Shukrani sana
Na vipi zile rasta na ma weaving ambayo yanauzwa kwa bei ya sale?
Nishawahi sikia kuwa huwa wakishusha mzigo mpya ule wa zamani huwa wanautoa na kuuza kwa bei ya sale
campuscitymall.com
Na machimbo ya( PPE's),
Yaani vitu hivi yako wapi kwa hapo kariakoo mkuu....??
gloves,
helmet,
Overall
Ear plug
Dust mask
Safety glass,
Safety boots
Cutting disc
Drill machine
Welding shield,
Angle grinders
Air compressors
safety harness belt,
Vifaa vya usalama na kazi mahala pa kazi kama Workshops na Mining areas vinauzwa wapi kwa hapo kariakoo mkuu???
campuscitymall.com
Vitenge
campuscitymall.com
Asante kwa uzi mzuri, na kwa rim papers bei rahisi napata wapi kkoo hapo. Tunaruhusiwa ku share kwa anaejua please.
campuscitymall.com
Mchek uyu sister 0687911661Na machimbo ya( PPE's),
Yaani vitu hivi yako wapi kwa hapo kariakoo mkuu....??
gloves,
helmet,
Overall
Ear plug
Dust mask
Safety glass,
Safety boots
Cutting disc
Drill machine
Welding shield,
Angle grinders
Air compressors
safety harness belt,
Vifaa vya usalama na kazi mahala pa kazi kama Workshops na Mining areas vinauzwa wapi kwa hapo kariakoo mkuu???
Mtaa wa muhondaMkuu vipi hujapata hili chimbo bado? na mimi nahitaji
Akiba hapoHivi vitambaa vya kushona mapazia vinapatikana wapi?
mkunguni na nini utapata maziwa na pempasNaomba kufahamu maduka ya jumla ya maziwa, pampers na vifaa/ vyombo vya watoto
Nenda kariakoo shimoni kabla hujafika pale shimon jengo la Nyama yake kuna maduka hapo chini Yanauza less kwa bei rahis ndo kuna duka kubwa la vitu vya shule kwa bei cheeMimi Natafuta nguo za shule hasa shati za tomato, sweta na viatu. Msaada wa chimbo jamani, asante
Asante lakini kuna nini hapo muhonda? maana nilicomment kwenye huu uzi zaman sanaMtaa wa muhonda
Nipe chimbo la mashati original au t shrts ,mfano wa heat gear fabrics au nike dri fit.
Sitaki midosho ambayo ukifua mara moja inapauka
campuscitymall.com
Jamani nani anajua chimbo la dildos na strap on? Mchepuko wangu anahitaji
campuscitymall.com
Ngoja wa steshenary akuje ila asipokuja hadi kesho ntakupa mrejesho coz nina mtu anadili na ishu hizo
campuscitymall.com
Mimi naomba kujua tu yafuatayo je ni chimbo Gani wanauza t-shirt za Form 6 zile ambazo machinga wanauza Elfu 7? Pia naomba kujua kariakoo shimoni ni wapi na ni chimbo Gani wanauza zile sendles za kimasai Kwa jumla pamoja na sabuni za kuogea.
campuscitymall.com