Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Hii umeshona kwa fundi. Na si suala la kipato ni kujua namna ya kuvaa. Wewe unajua machimbo turuhusu nasi tukuelekeze namna ya kuvaa. Sisi unatulekeza machimbo. Usivae "koti" la suit kama umevaa kitop.Angalia muda nani kaanza. Pia insta yangu kuonyesha machimbo ni zaidi ya mara moja, ni kawaida kushare ujumbe.
Hata hivyo hajafanya vibaya. Lengo ni kusaidiana
Kweli. Hiyo ni kutokana na kipato. Suti unapata mzuri kulingana na bei.
Duka la raba na viatu Clark or timberland Bei simple ni mtaa gani?Unatafuta bidhaa bei nafuu na jumla Kariakoo? Hapa nakupa machimbo bure ufanye biashara,
Save hiii post kwanza itakusaidia baadae.
-Kwa nguo za ndani (chupi) ukimaliza kituo cha mwendokasi kinachoangaliana na msimbazi police, kwenye upande wa vitu vya make up kuna mtaa mmoja unaingia yapo maduka mengi dozen za cotton Ni Bei nafuu.
-
Make up _ kituo cha mwendokasi ukiachana na huu upande ilipo msimbazi polisi ule mwingine unaingia ndanindani.
Maduka ya jumla kwa vitambaa vya Masofa, yanapitakana mtaa wa kipata, anza na kipata na msimbazi mpaka kipata na swahili yapo ya kutosha.
_
Vifaa vya umeme nenda Mtaa wa Narung'ombe.
_
Spear za pikipiki Nenda mtaa wa swahili na k/koo hapo kuna maduka mengi.
_
Mtaa wa congo na narung'ombe underground ya Tanzanite kule chini kuna mtaa mzima unaingia unatembea chini kwa chini kuna t-shirts za bei nafuu.
_
Vifaa vya plastiki Nenda Duka la cello kariakoo .
_
Rasta bei ya jumla ziko upande wa pili wa kituo cha mwendokasi kinachoangaliana na msimbazi police, mtaa yanapopaki magari ya makumbusho gerezani yanayopitia Sinza.
_
vitambaa vya vijora ni Msimbazi Kwa nyuma.
Chimbo la dawa muhimu za binadamu kwa kariakooo linapatikana mtaa wa Kipata na nyamwezi street.
_
Bidhaa za simu, cover, charger, housing Kwa bei Chee ziko Upande wa kushoto ukiwa unashuka chini kuelelekea fire kabla hujafika kituo Cha Mwendokasi Cha Msimbazi B unazama Kwa ndani
_
Vifaa vya ujenzi ni Mtaa wa livingstone kuna Duka Linaitwa Bahdela bei poa vyote utapata.
Vifaa vya stationaries ni mtaa wa Kipata ( maduka ya wasomali ndo bei nzuri )
Shati ni mtaa wa Agrey/congo au mchikichi/Congo
Mashine mbalimbali kama za miwa, kusaga nk nenda Mtaa wa SIDO
Narudia Vitenge ni pale mnazi mmoja ile njia ya kuingia posta. Wale wahindi watakuuzia vitenge vizuri bei nafuu. (ukipata connection ya Uganda utatisha)
Maduka ya wachina wanaouza viatu vya kike ni mtaa wa congo.
Sawa. Asante sana 🤣🤣Hii umeshona kwa fundi. Na si suala la kipato ni kujua namna ya kuvaa. Wewe unajua machimbo turuhusu nasi tukuelekeze namna ya kuvaa. Sisi unatulekeza machimbo. Usivae "koti" la suit kama umevaa kitop.
Unatafuta bidhaa bei nafuu na jumla Kariakoo? Hapa nakupa machimbo bure ufanye biashara,
Save hiii post kwanza itakusaidia baadae.
-Kwa nguo za ndani (chupi) ukimaliza kituo cha mwendokasi kinachoangaliana na msimbazi police, kwenye upande wa vitu vya make up kuna mtaa mmoja unaingia yapo maduka mengi dozen za cotton Ni Bei nafuu.
-
Make up _ kituo cha mwendokasi ukiachana na huu upande ilipo msimbazi polisi ule mwingine unaingia ndanindani.
Maduka ya jumla kwa vitambaa vya Masofa, yanapitakana mtaa wa kipata, anza na kipata na msimbazi mpaka kipata na swahili yapo ya kutosha.
_
Vifaa vya umeme nenda Mtaa wa Narung'ombe.
_
Spear za pikipiki Nenda mtaa wa swahili na k/koo hapo kuna maduka mengi.
_
Mtaa wa congo na narung'ombe underground ya Tanzanite kule chini kuna mtaa mzima unaingia unatembea chini kwa chini kuna t-shirts za bei nafuu.
_
Vifaa vya plastiki Nenda Duka la cello kariakoo .
_
Rasta bei ya jumla ziko upande wa pili wa kituo cha mwendokasi kinachoangaliana na msimbazi police, mtaa yanapopaki magari ya makumbusho gerezani yanayopitia Sinza.
_
vitambaa vya vijora ni Msimbazi Kwa nyuma.
Chimbo la dawa muhimu za binadamu kwa kariakooo linapatikana mtaa wa Kipata na nyamwezi street.
_
Bidhaa za simu, cover, charger, housing Kwa bei Chee ziko Upande wa kushoto ukiwa unashuka chini kuelelekea fire kabla hujafika kituo Cha Mwendokasi Cha Msimbazi B unazama Kwa ndani
_
Vifaa vya ujenzi ni Mtaa wa livingstone kuna Duka Linaitwa Bahdela bei poa vyote utapata.
Vifaa vya stationaries ni mtaa wa Kipata ( maduka ya wasomali ndo bei nzuri )
Shati ni mtaa wa Agrey/congo au mchikichi/Congo
Mashine mbalimbali kama za miwa, kusaga nk nenda Mtaa wa SIDO
Narudia Vitenge ni pale mnazi mmoja ile njia ya kuingia posta. Wale wahindi watakuuzia vitenge vizuri bei nafuu. (ukipata connection ya Uganda utatisha)
Maduka ya wachina wanaouza viatu vya kike ni mtaa wa congo.
Asante mkuu ,Sasa Mimi nataka vitambaa vya vijora vile plain natengeneza mwenyewe vijora vya batiki Ila sipo dar natamani kujua Bei yake wanauzaje lile jora zima?
Pita Sinza au Tabata!Ukitaka mabinti wa kali kwa bei chee napata wapi? Hadi wale wanaofaa kuwa wife
Sinza kubwaPita Sinza au Tabata!
pale uhuru road zinapopak bajaj za fery koote yale maduka ya pc na laptop accessories bei simpoLaptops nzuri kwa bei mtelezo wapi ?
Ukifika kituo cha mwendokas B kuna chochoro njia ya Narung'ombe st ingia hio njia upande wako wa kushoto kabla hujafika congo st kuna maduka meng sana ya viatu vya kiume unashuka vingazi ndan maduka yapo meng na mengine yapo juu hivDuka la raba na viatu Clark or timberland Bei simple ni mtaa gani?
Umetisha. Umeamsha uzi.1: Chimbo la mashuka na mapazia nenda pale bib titi road next to geti la Cbe bei cheee,
2: ukitaka vitambaa vya suit kali visivyopauka nenda Khimji ya pale karibu na samora na morogoro road kwenye mataa zinapopita mwendokas kushusha kituo cha jiji(sio khimji ya karibu na clock tower)
3😛erfume nzuri za kupima kila harufu nenda city mall floor ya chin kuna mwarabu anapima kuanzia 5k unaweza changanya ladha(cocktail)
4: Raba kali bei rahisi za kiume ingia chocho ya kushoto kama unatoka Msimbaz polisi unaambaa na barabara ya mwendokas kama unaenda gerezan mwisho wa kituo cha mwendokas kula kushoto ingia hiko kinjia chenye meza nying za machinga upande wa kushoto kwako kuna maduka ya chini na juu zama huko
5: Heels kali za kike mbele ya hio njia nliokuelekeza namba 4 hapo juu nenda mbele before hujavuka congo kushoto kwako kwenye kona kuna maduka ya heels za kike
Angalia juu hapo winga wapo wamecomentAtokee winga mmoja ili sisi wa mikoani tukija kariakoo tumpigie simu