Mkuu elezea vzr hapo kweny vitambaa vya vijora
 
Ukifika kituo cha mwendokas B kuna chochoro njia ya Narung'ombe st ingia hio njia upande wako wa kushoto kabla hujafika congo st kuna maduka meng sana ya viatu vya kiume unashuka vingazi ndan maduka yapo meng na mengine yapo juu hiv
Wahuni tu ,duka cheap nmesahau ni wap ila mtaa wa msimbazi Kuna jamaa Yuko poa Bei zake ziko gud raba Original na imara
 
Shuka vingazi Airforce black/kijivu watakwambia 70k wakat ni 35k
 
Je maduka ya jumla ya vifungashio kwa kariakoo yapo sehemu gani
Msaada tafadhali[emoji120]
 
Je maduka ya jumla ya vifungashio kwa kariakoo yapo sehemu gani
Msaada tafadhali[emoji120]
Napajua ila sijui mtaa unaitwaje
Lakini ni meneo ya shimoni panapojengwa soko jipya walipozungumza mabati nafikiri ni sikukuu mtaa ule ukiuliza utaonyesha
 
Uzi poa sana

Kabisa msaada jamani na wanapouza Mikoba handbags za kina dada aina tofauti tofauti pamoja na belts za nje zakina dada na Accessories kwa bei ya jumla na nzuri Heleni vikuku cheni na mikufu blaclet pamoja na viatu mchanganyiko hills na slippers nzur zinazo trend kwa bei nzuri ya jumla yaan bei ya mfanyabiashara anae nunua ili nae akauze mkoani kwake apate kitu Heshima yenu wakubwa[emoji120]
 
Accessories wacheki prestigeaccessories tz insta

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Wakuu chimbo la bales za mikoba ya mtumba na nguo za wadada za mtumba ni wapi, msaada please [emoji120]
 
Weka ramani ya Kariakoo inayoonyesha mitaa
 
Vifaa vya stationaries ni mtaa wa Kipata ( maduka ya wasomali ndo bei nzuri )
Asante kwa koneksheni hii mkuu. Hivi vifaa vya stationers wanauza kwa bei nafuu kuliko Masumin Printway and Sataioners Limited (Mtaa wa Kitumbini)?
 
Naomba msaada waungwana sehemu wanapouza kwa jumla haya mazulia ya mlangoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…