macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Wewe unasema hawa kina mama wa uswazi ambao wanapotoka nyumbani wasipopigiwa miluzi wanaona kama wameamka na balaa.Jamani hii wadada muiangalie nilipanda gari ya tegeta-kariakoo basi mdada na abaya lake kanisusia uno lote uwiii niliamisha mawazoooo weeee waaapiii jamani ingekuwa ni ile premature ejaculation basi ningemwaga maaana nilijikaza mpaka nikasema liwalo na liwe Mungu si Santos06 akashuka ndio afuweni hakuna vitendo vinaniuzi kama kushikwa hasa na wanawake maana wao pia wanatabia hii wajaui upo mood gani mwishowe umpige mtu ngumi
Pana mmoja Arusha Stand hapo alimshika Binti mwenye mtoto alikua nyuma yule Binti alivyoshikwa tuu akamgeukia Baba yake aisee binadamu akiwa na hasira ana nguvu sana alipigwa ngumi moja tuu jamaa alipepesuka kama kamwagiwa dawa ya kuulia wadudu huwa sina kawaida ya kuendelea kushangaa na yule mpigaji aliendelea kutembea tuu kama hakuna kitu kilichotokea nilibaki kucheka tu...Wapiga debe pia kwenye vituo vya daladala naona huwashika sana mabinti.
[emoji23]Pana mmoja Arusha Stand hapo alimshika mtoto mwenye mtoto alikua nyuma yule mtoto alivyoshikwa tuu akamgeukia Baba yake aisee binadamu akiwa na hasira ana nguvu sana alipigwa ngumi moja tuu jamaa alipepesuka kama kamwagiwa dawa ya kuulia wadudu huwa sina kawaida ya kuendelea kushangaa na yule mpigaji aliendelea kutembea tuu...
[emoji1787]Pana mmoja Arusha Stand hapo alimshika Binti mwenye mtoto alikua nyuma yule Binti alivyoshikwa tuu akamgeukia Baba yake aisee binadamu akiwa na hasira ana nguvu sana alipigwa ngumi moja tuu jamaa alipepesuka kama kamwagiwa dawa ya kuulia wadudu huwa sina kawaida ya kuendelea kushangaa na yule mpigaji aliendelea kutembea tuu kama hakuna kitu kilichotokea nilibaki kucheka tu...
Basi wewe umesaidia kumjibu mleta uzi kwamba wanaoshikwashikwa wanataka wenyeweNi maamuzi yao. Hiyo ya kushikwa shikwa mwanamke mwenyewe atake. Anaweza akaenda hata gengeni tu kama ndio tabia yake akikutana na wazee wa kazi nako atashikwa tu.
Sana ukiwa single utatamani kulia asseeAlafu mdada akiongozana na mwanaume angalau wanapunguza hiko kiherehere. Peke yako sasa hamna rangi utaacha ona
Wanakuelewa Sasa,hahahaaaHuwa nawauliza mmejengewa stend nzuri executive lakini mmehamia na tabia za ajabu ajabu....Acheni kushika shika watu
Mufindiii inapalia usiku mneneMimi huwa nawakung'uta na hamna kitu wananifanya aisee, kuna siku nimeshuka mwenge machinga mmoja akawa ananing'ang'aniza kununua nguo kwake nikamwambia sihitaji nguo akaanza kunishika,kila nikijaribu kumkwepa naona ananizonga, niliweka mkoba begani vizuri nikageuka kama naondoka nikampa teke la nyuma, hajakaa vizuri nikampa side kick, anataka kunyanyuka nikamshika shati nikamnyanyua nikamwambia sasa wewe ulikua unanishika simama hapa unishike vizuri, ikabidi wenzie wamuamulie, nikawaambia msipende kuzoea watu sisi wengine ni waalimu wa taekwondo
Watu walijaa nikasepa zangu wakabaki wanamcheka
Uligombaniwa kama mpira wa kona π€£π€£π€£π€£Naunga mkono hoja.
Kuna siku wapiga debe walinigombania khaaaa niliondoka nanukia kibeberu.
Sijui hawaogagi.
Sasa dem anapita tako tako alafu kavaa zile leggings kwa nini asishikwe tako jamaniHuwa nawauliza mmejengewa stend nzuri executive lakini mmehamia na tabia za ajabu ajabu....Acheni kushika shika watu
Hahaha we mshanzyy sanaSasa dem anapita tako tako alafu kavaa zile leggings kwa nini asishikwe tako jamani
Kigogo cha buchani kinatembea kama uyogaππKwanza Sina pili watalionea wapi na minguo nayovaa nikitokea Kwa mbali na huu ufupi utasema kibanda Cha M pesa ππ
Wacha tuendelee na ushenzy....kuna misambwanda mingi e inabidi tuu upapase ata kama hutalikulaHahaha we mshanzyy sana
Yaan acha tu π Kila wakiangalia wanaona hapa hamna kitu tumuache apite tu πKigogo cha buchani kinatembea kama uyoga
Mmh bhna unatisingizia πila hata wanawake nao wanao pigo za kutupa mkono uje kugusa Mti wa muhuni huku wakujifanya ni bahati mbaya kumbe wanapima kubwa kwa kugongesha mkono kwenye karakana
Unajua kujificha.Yaan acha tu π Kila wakiangalia wanaona hapa hamna kitu tumuache apite tu π