Machinga kuwashikashika wanawake inakera sana!

Machinga kuwashikashika wanawake inakera sana!

Jamani hii wadada muiangalie nilipanda gari ya tegeta-kariakoo basi mdada na abaya lake kanisusia uno lote uwiii niliamisha mawazoooo weeee waaapiii jamani ingekuwa ni ile premature ejaculation basi ningemwaga maaana nilijikaza mpaka nikasema liwalo na liwe Mungu si Santos06 akashuka ndio afuweni hakuna vitendo vinaniuzi kama kushikwa hasa na wanawake maana wao pia wanatabia hii wajaui upo mood gani mwishowe umpige mtu ngumi
Wewe unasema hawa kina mama wa uswazi ambao wanapotoka nyumbani wasipopigiwa miluzi wanaona kama wameamka na balaa.
 
Wapiga debe pia kwenye vituo vya daladala naona huwashika sana mabinti.
Pana mmoja Arusha Stand hapo alimshika Binti mwenye mtoto alikua nyuma yule Binti alivyoshikwa tuu akamgeukia Baba yake aisee binadamu akiwa na hasira ana nguvu sana alipigwa ngumi moja tuu jamaa alipepesuka kama kamwagiwa dawa ya kuulia wadudu huwa sina kawaida ya kuendelea kushangaa na yule mpigaji aliendelea kutembea tuu kama hakuna kitu kilichotokea nilibaki kucheka tu...
 
Pana mmoja Arusha Stand hapo alimshika mtoto mwenye mtoto alikua nyuma yule mtoto alivyoshikwa tuu akamgeukia Baba yake aisee binadamu akiwa na hasira ana nguvu sana alipigwa ngumi moja tuu jamaa alipepesuka kama kamwagiwa dawa ya kuulia wadudu huwa sina kawaida ya kuendelea kushangaa na yule mpigaji aliendelea kutembea tuu...
[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pana mmoja Arusha Stand hapo alimshika Binti mwenye mtoto alikua nyuma yule Binti alivyoshikwa tuu akamgeukia Baba yake aisee binadamu akiwa na hasira ana nguvu sana alipigwa ngumi moja tuu jamaa alipepesuka kama kamwagiwa dawa ya kuulia wadudu huwa sina kawaida ya kuendelea kushangaa na yule mpigaji aliendelea kutembea tuu kama hakuna kitu kilichotokea nilibaki kucheka tu...
[emoji1787]
 
Mimi huwa nawakung'uta na hamna kitu wananifanya aisee, kuna siku nimeshuka mwenge machinga mmoja akawa ananing'ang'aniza kununua nguo kwake nikamwambia sihitaji nguo akaanza kunishika,kila nikijaribu kumkwepa naona ananizonga, niliweka mkoba begani vizuri nikageuka kama naondoka nikampa teke la nyuma, hajakaa vizuri nikampa side kick, anataka kunyanyuka nikamshika shati nikamnyanyua nikamwambia sasa wewe ulikua unanishika simama hapa unishike vizuri, ikabidi wenzie wamuamulie, nikawaambia msipende kuzoea watu sisi wengine ni waalimu wa taekwondo

Watu walijaa nikasepa zangu wakabaki wanamcheka
Mufindiii inapalia usiku mnene
 
Naunga mkono hoja.
Kuna siku wapiga debe walinigombania khaaaa niliondoka nanukia kibeberu.
Sijui hawaogagi.
Uligombaniwa kama mpira wa kona 🤣🤣🤣🤣
Sasa jamani wamachinga nao wana hamu ya kushika pisi kali. Pesa wasishike na warembo nao wasiwashike🤣🤣🤣🤣 acheni uchoyo mavumbini mtarudi mjue
 
Hao vijana wanatabia chafu sana ya kumzonga mtu wasiomjua na kumshika bila idhini na wanajua ni kosa. Tatizo wanachekewa mpaka imekuwa kero.

Kampala ukimzonga mdada au ukamgusa akienda polisi ni kosa inakula kwako. Kule mdada hata akipita kavaa nguo fupi huoni mtu akimzomea
 
ila hata wanawake nao wanao pigo za kutupa mkono uje kugusa Mti wa muhuni huku wakujifanya ni bahati mbaya kumbe wanapima kubwa kwa kugongesha mkono kwenye karakana
 
Back
Top Bottom