Machinga: Rais Samia amesema tupangwe vizuri hajasema tuhamishwe kama inavyotafsiriwa na watendaji!

Machinga: Rais Samia amesema tupangwe vizuri hajasema tuhamishwe kama inavyotafsiriwa na watendaji!

Makamu mwenyekiti wa Wamachinga nchini mh Lusinde amesema Rais Samia ameagiza wamachinga wapangwe vizuri katika maeneo waliyopo na siyo kuhamishwa kama inavyotafsiriwa na watendaji wa chini.

Source: ITV Malumbano ya Hoja
Mbele ya duka la.mtu unapangwaje? Akili ndogo kabisa.
 
kuna sheria ya wamachinga kulipa 20000 kisha wasisumbuliwe. Hii sheria iheshimiwe

Tatizo litatuliwe, siyo kuliahirisha kwa kufukuza wmachinga
Ni Sheria gani hiyo?

Ukiniletea Sheria ya Machinga kulipa Elfu 20,000 na ukaweka ushahidi hapa

Ntakupa sijui nini

Ilete kwanza hio Sheria na hicho kifungu
 
Mbele ya duka la.mtu unapangwaje? Akili ndogo kabisa.
Akili yake inamtuma kukwepa kodi na kuwavurugia wenye biashara zao hawalipi Kodi watu Kama hawa!! Huwa kawaida ni kuwasumbua Wamachinga ili ambaye mtaji umekuwa anaanza kulipa kodi!! Sasa ilifikia watu wanaanzisha supermarket kwa road!!
 
Akili yake inamtuma kukwepa kodi na kuwavurugia wenye biashara zao hawalipi Kodi watu Kama hawa!! Huwa kawaida ni kuwasumbua Wamachinga ili ambaye mtaji umekuwa anaanza kulipa kodi!! Sasa ilifikia watu wanaanzisha supermarket kwa road!!

Machinga waasiachiwe wafanye wanachotaka wakati wote tunaongozwa na sheria
 
Wamachinga wamezuia wenye maduka kuifanya biashara kwakupanga biashara zao mbele ya maduka Yao wanalipia leseni mapato pango ya duka Ili iwe sawa wenye maduka nao walipe elfu ishirini wapatiwe vitambilsho wasilipe mapato Wala Kodi kama machinga
 
Yaani ndugu yangu, nchi imekuwa ni ya wachuuzi tena vijana walio na nguvu wazalishaji wachache.....kaazi kwelikweli.
Tena wachuuzi wa bidhaa za China. Yaani nchi imekua soko kuu la bidhaa za China. Hakuna uzalishaji
 
Makamu mwenyekiti wa Wamachinga nchini mh Lusinde amesema Rais Samia ameagiza wamachinga wapangwe vizuri katika maeneo waliyopo na siyo kuhamishwa kama inavyotafsiriwa na watendaji wa chini.

Source: ITV Malumbano ya Hoja
Mama alitoa kauli dhaifu Sana ya kuwatega watendaji wake kauli zake hazikuww bayana
 
JPM aliwapa jeuri kubwa mpaka nchi nzima imechafuka!

Eti wapangwe vizuri barabarani na miferejini!

Tangu lini Rais akawa town planner?

SSH amerudia makosa yaleyale ya JPM hajasaidia kuondoa tatizo.

Acheni kuingiza siasa kwenye masuala ya kitaalamu. Umachinga ni zao la utawala wa CCM tangu enzi za Mzee "Ruksa". Ndiye alielitoa 'JINI' la UHOLELA (arbitrariness) kwenye chupa halafu JPM akaliweka sebuleni kwao CCM! Hapakaliki!

Ndiyo maana RC Makala alisema anajitoa muhanga ili lawama apewe yeye. Badala ya SSH kukaa pembeni amekoroga zoezi tena!
Kuwaondoa tu bila kupata suluhisho la kudumu la kuwawekea utaratibu na kuwatengea maeneo maalumu ya kufanyia shughuli zao na kujitafutia riziki ni sawa kuhamisha tatizo toka mfuko mmoja kwenda mfuko mwingine kwenye suruali hiyo hiyo.
Tatizo letu ni kwamba watu wengi tunaliangalia suala zima la wamachinga on the surface, hatuoni chimbuko na mzizi wake, na kwa hiyo solution zetu ni shallow kiasi kwamba hazitatui tatizo hata kwa wiki moja.
Sijui great thinkers wanaoweza kuja na permanent working solution wako wapi?
 
Makamu mwenyekiti wa Wamachinga nchini mh Lusinde amesema Rais Samia ameagiza wamachinga wapangwe vizuri katika maeneo waliyopo na siyo kuhamishwa kama inavyotafsiriwa na watendaji wa chini.

Source: ITV Malumbano ya Hoja
Wapangwe vizuri haina maana wabadilishe mkao tuseme, mstari au vipi ni pamoja na kupewa maeneo mapya. Utawapangaje vixuri kwenye myaro barabarani au mbele ya fuka.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ina-defy logic...

Unapangwaje sehemu vizuri wakati sehemu hio hairuhusiwi kisheria ? Huduma za vyoo n.k. kwao na kwa wateja vitapatikana wapi ?
Mkuu ulikataa kujengwa mall yenye floor yao
 
Kuwaondoa tu bila kupata suluhisho la kudumu la kuwawekea utaratibu na kuwatengea maeneo maalumu ya kufanyia shughuli zao na kujitafutia riziki ni sawa kuhamisha tatizo toka mfuko mmoja kwenda mfuko mwingine kwenye suruali hiyo hiyo.
Tatizo letu ni kwamba watu wengi tunaliangalia suala zima la wamachinga on the surface, hatuoni chimbuko na mzizi wake, na kwa hiyo solution zetu ni shallow kiasi kwamba hazitatui tatizo hata kwa wiki moja.
Sijui great thinkers wanaoweza kuja na permanent working solution wako wapi?
Mkuu tumejaribu kuleta solution ila inavyoonekana kila mtu ana mawazo yake, mimi nili suggest ijengwe mall yenye floor yao wamachinga hapo hapo mjini sababu mkitegemea wahame hapo mjini, hawatafanya hivyo,watarudi tu dawa ni kuwajengea floor yao na kuhakikisha kuna community police officer kuhakikisha hakuna mfanyabiashara yeyote anaefanya biashara eneo sio maalumu kwa biashara
 
Ndio uliona wap Mall wakikaa machinga

mtu mwenye mtaji wa laki 1 na mali kauli umpeleke kwenye mall?

acha utani
 
Back
Top Bottom