johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tunaendelea na ujenziWaziri wa Tamisemi Mh Bashungwa ametoa siku 7 kwa tume ya uchunguzi kukamilisha kazi na kutoa taarifa ya chanzo cha moto soko la Karume.
Nao wamachinga wamemtaka RC Makalla awaruhusu wajenge soko lao wao wenyewe kwa gharama zao.
Source: East Africa tv
Maendeleo hayana vyama!
Upo sahihKazi Iendelee!
Njaa mbaya sana ... atakufa mtu hapoKitendo cha wao kutaka kujenga tena hivo vibanda ndo litakuja na jibu kamili.Lets wait time will tell