Machinga wa Karume waitaka Serikali iwaachie wajenge soko lao lililoungua, Waziri Bashungwa aunda Tume ya Uchunguzi

Machinga wa Karume waitaka Serikali iwaachie wajenge soko lao lililoungua, Waziri Bashungwa aunda Tume ya Uchunguzi

6bbb22b5-851a-4564-a146-9eafac29d5c0.jpg

f5fd4454-7b02-4cb8-a45b-65287be7b1df.jpg

cdd1e200-04cd-45fb-9307-15e31d1c270a.jpg
 
Waziri wa Tamisemi Mh Bashungwa ametoa siku 7 kwa tume ya uchunguzi kukamilisha kazi na kutoa taarifa ya chanzo cha moto soko la Karume.

Nao wamachinga wamemtaka RC Makalla awaruhusu wajenge soko lao wao wenyewe kwa gharama zao.

Source: East Africa tv

Maendeleo hayana vyama!
Siku saba!

IMG_20220116_165809.jpg
 
Kwa apo ndio watakuwa wamefaulu ila wakiingia kwenye mtego wa kujengewa na serikali au had wasubilie uchunguz wao ukamilike,watajuta!!
 
Waziri wa Tamisemi Mh Bashungwa ametoa siku 7 kwa tume ya uchunguzi kukamilisha kazi na kutoa taarifa ya chanzo cha moto soko la Karume.

Nao wamachinga wamemtaka RC Makalla awaruhusu wajenge soko lao wao wenyewe kwa gharama zao.

Source: East Africa tv

Maendeleo hayana vyama!
kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
 
Hizo hela wanazotarajia kulipana kwenye tume wangewanunulia vifaa wajenge soko lao kiroho safi kabisa
 
Hawana utaalam wa kuchunguza na kujua chanzo nini?

Ova

Huwa nashangaa sana wanapotuona wajinga kwa kuweka maslahi yao mbele

Hizi tume sijawahi kusikia zimepata nini baada ya uchunguzi
Wanatuma watu halafu ndio imetoka hiyo
 
Waziri wa Tamisemi Mh Bashungwa ametoa siku 7 kwa tume ya uchunguzi kukamilisha kazi na kutoa taarifa ya chanzo cha moto soko la Karume.

Nao wamachinga wamemtaka RC Makalla awaruhusu wajenge soko lao wao wenyewe kwa gharama zao.

Source: East Africa tv

Maendeleo hayana vyama!

Ukuda tume
 
Waziri wa Tamisemi Mh Bashungwa ametoa siku 7 kwa tume ya uchunguzi kukamilisha kazi na kutoa taarifa ya chanzo cha moto soko la Karume.

Nao wamachinga wamemtaka RC Makalla awaruhusu wajenge soko lao wao wenyewe kwa gharama zao.

Source: East Africa tv

Maendeleo hayana vyama!
Hakuna binadamu kusogolea hayo maeneo. Tuachieni sisi wenye vyeo tunajua cha kufanya. Nyie wamachinga mtahamishiwa kisarawe
 
Back
Top Bottom