johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Wanajitolea?!!Hivi hizi Tume hufanyaje kazi zao ili kupata majibu? Na je, huwa wanajitolea ama wanalipwa kufanya huo uchunguzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajitolea?!!Hivi hizi Tume hufanyaje kazi zao ili kupata majibu? Na je, huwa wanajitolea ama wanalipwa kufanya huo uchunguzi?
Hakuna soko lililoungua likajengwa tena kwa staili ile ile ya awali, la sivyo wajiaandae kupigwa kiberiti tena....ni swala la muda tu.
Stail hii ya ujenzi ndio yetu hayo maghorofa yaliwaliza mwanjelwaHakuna soko lililoungua likajengwa tena kwa staili ile ile ya awali, la sivyo wajiaandae kupigwa kiberiti tena....ni swala la muda tu.
Hapo wanajitengenezea bomu lingine la pili.
Ni kweli mkuu lakini mkae kwa umakini, kama serikali ina plani napo hapo haiishi miaka miwili linaungua tena...Stail hii ya ujenzi ndio yetu hayo maghorofa yaliwaliza mwanjelwa
Jiji wakikataa ushauri huu lazima waje na majibu ya kuridhisha.Wadau wameshtukia wanataka kujenga wao wenyewe hahaaaa
Hii nimeipenda sana....Waziri wa Tamisemi Mh Bashungwa ametoa siku 7 kwa tume ya uchunguzi kukamilisha kazi na kutoa taarifa ya chanzo cha moto soko la Karume.
Nao wamachinga wamemtaka RC Makalla awaruhusu wajenge soko lao wao wenyewe kwa gharama zao.
Source: East Africa tv
Maendeleo hayana vyama!
Hili nijeshi alie choma moto aliko roho inamuuma jeshi la chinga boy..
Umesahau ile ya Wizara ya Fedha. Waziri Mkuu sina hakika kama amepewa ripoti hiyo.Ndio mana mwendazake alikuwa akitoa maamuzu ya papo kwa papo. Kuna tume imeundwa tangu mwaka jana mwezi wa saba soko la k.koo lililoungua mpaka leo kimyaa
Machinga wanataka wajenge soko au wanataka wawekeabanda eneo lilipokuwepo soko?Waziri wa Tamisemi Mh Bashungwa ametoa siku 7 kwa tume ya uchunguzi kukamilisha kazi na kutoa taarifa ya chanzo cha moto soko la Karume.
Nao wamachinga wamemtaka RC Makalla awaruhusu wajenge soko lao wao wenyewe kwa gharama zao.
Source: East Africa tv
Maendeleo hayana vyama!
usanii mtupuHizo tume kila siku zinaundwa wakati ripoti haisomwi kwa wananchi kuna maana gani kuendelea kuunda hizo tume?
Hawa jamaa waache kufanya kazi kwa mazoea, kama jambo limeshawashinda bora wakae kimya tu kuliko kuja na majibu yaleyale yaliyoshindwa kujibu mitihani iliyopita, wasichezee akili za watu.
Hiyo ni ofisi km ofisi nyingine ndio maana jamaa wanajitoa kwa moyo mkunjufuHili nijeshi alie choma moto aliko roho inamuuma jeshi la chinga boy..
Ukizubaa hapo unakosa kizimba au ukiwapa serekali yatakukuta ya mbeya, miaka soko ujenzi au ishi.
Ukishakuwa w maana kodi juu, wapangaji sio machinga tena ni watu wa maana.Hyo kitaalam inaitwaje..
Mtu kaamua kujilipia nauli...jamaa wameshtuka, hapo panatakiwa pajengwe mjengo wa maana ndio maana wakawatoa
PumbavuMachinga wanataka wajenge soko au wanataka wawekeabanda eneo lilipokuwepo soko?
Hivi ile Tume ya waziri Mkuu juu ya soko la Kariakoo ilishatoka?Waziri wa Tamisemi Mh Bashungwa ametoa siku 7 kwa tume ya uchunguzi kukamilisha kazi na kutoa taarifa ya chanzo cha moto soko la Karume.
Nao wamachinga wamemtaka RC Makalla awaruhusu wajenge soko lao wao wenyewe kwa gharama zao.
Source: East Africa tv
Maendeleo hayana vyama!