Sisi machinga wa karume, tuko tayari hata kujenga ghorofa kumi hapo,, hiyo kazi watuachie tu[emoji1745]Hakuna soko lililoungua likajengwa tena kwa staili ile ile ya awali, la sivyo wajiaandae kupigwa kiberiti tena....ni swala la muda tu.
Hapo wanajitengenezea bomu lingine la pili.
Sasa hiyo milingoti ni yanini kwa nini msitoe ramani ya ghorofa?Sisi machinga wa karume, tuko tayari hata kujenga ghorofa kumi hapo,, hiyo kazi watuachie tu[emoji1745]
Hii ni Bongo. Usikute wenye hela wanatumia nafasi hiyo kunyang'anya maeneo ya victims wafanye biashara ya kukodishaNdio komesha yao hao wachoma masoko yaani usiwape gap maana tume haziletagi majibu kwa wakati na watu watakua hawana ajira
Siku saba!Waziri wa Tamisemi Mh Bashungwa ametoa siku 7 kwa tume ya uchunguzi kukamilisha kazi na kutoa taarifa ya chanzo cha moto soko la Karume.
Nao wamachinga wamemtaka RC Makalla awaruhusu wajenge soko lao wao wenyewe kwa gharama zao.
Source: East Africa tv
Maendeleo hayana vyama!
Yaani wamerudi nyuma mno kimaendeleo jamani. Mungu Ona chanzo cha hii mioto. Toa adhabu ya kutosha kama kuna njama na wote waliohusika. N
kila mtu ale kwa urefu wa kamba yakeWaziri wa Tamisemi Mh Bashungwa ametoa siku 7 kwa tume ya uchunguzi kukamilisha kazi na kutoa taarifa ya chanzo cha moto soko la Karume.
Nao wamachinga wamemtaka RC Makalla awaruhusu wajenge soko lao wao wenyewe kwa gharama zao.
Source: East Africa tv
Maendeleo hayana vyama!
Hawana utaalam wa kuchunguza na kujua chanzo nini?Hiyo tume wawafuatishe na waandishi wa habari kwa kila hatua ya upelelezi uchwara huo ok
Hawana utaalam wa kuchunguza na kujua chanzo nini?
Ova
Waziri wa Tamisemi Mh Bashungwa ametoa siku 7 kwa tume ya uchunguzi kukamilisha kazi na kutoa taarifa ya chanzo cha moto soko la Karume.
Nao wamachinga wamemtaka RC Makalla awaruhusu wajenge soko lao wao wenyewe kwa gharama zao.
Source: East Africa tv
Maendeleo hayana vyama!
Hili nijeshi alie choma moto aliko roho inamuuma jeshi la chinga boy..
Hakuna binadamu kusogolea hayo maeneo. Tuachieni sisi wenye vyeo tunajua cha kufanya. Nyie wamachinga mtahamishiwa kisaraweWaziri wa Tamisemi Mh Bashungwa ametoa siku 7 kwa tume ya uchunguzi kukamilisha kazi na kutoa taarifa ya chanzo cha moto soko la Karume.
Nao wamachinga wamemtaka RC Makalla awaruhusu wajenge soko lao wao wenyewe kwa gharama zao.
Source: East Africa tv
Maendeleo hayana vyama!
Ni njia ya kupiga pesaHuwa nashangaa sana wanapotuona wajinga kwa kuweka maslahi yao mbele
Hizi tume sijawahi kusikia zimepata nini baada ya uchunguzi
Wanatuma watu halafu ndio imetoka hiyo