Ndio wame sabottage!Hii ni Bongo. Usikute wenye hela wanatumia nafasi hiyo kunyang'anya maeneo ya victims wafanye biashara ya kukodisha
Sawa.Mzee unadhani wewe ungeteuliwa kuwa kwenye hiyo tume ungekataa? kiserikali hii robo ya 3 ya utekelezaji wa bajeti hivyo watu wanamalizia malizia mabaki, robo ya 3 &4 ndiyo pesa huwa zinapigwa vizuri kuliko vipindi vyote.
Lilikuwa ni swala la muda tu mzee, poleni sana...haliwezi kujengwa soko lile lile la zamani.Hatimaye tumezuiwa kuingia ktk eneo na mirunda tuliyochimbia jana askar wamesema wanatulindia tusiwe na shaka
Mkuu hakuna mwenye nia mjema na wananchi hata mmoja, jiulize kwanini hawataki mishahara yao ipunguzwe wala ikatwe kodi pamoja na posho zao huku wanajiita ni wazalendo? wewe ukipata chance piga usiogopeSawa.
Kumbe lengo ni kula Pesa siyo?
Kwa mantiki hii, Afrika ili tuendelee labda Mzungu arudi kututawala tena.[emoji848]
Ripoti si lazima isomwe kwa wananchi. Tume inawajibika kupeleka ripoti yake kwa mamlaka iliyoiunda. Wananchi hawajaunda tumeHizo tume kila siku zinaundwa wakati ripoti haisomwi kwa wananchi kuna maana gani kuendelea kuunda hizo tume?
Tuelimishane, ungekuwa wewe ndiyo Waziri ungefanya lipi? Mie nadhani pamoja na jitihada zinazofanyika basi Serikali ione haja ya kuanzisha bima za masokoTume Tume Kariakoo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 daganyikalism
Serikali ndo imeamua kuchoma! OverWaziri wa Tamisemi Mh Bashungwa ametoa siku 7 kwa tume ya uchunguzi kukamilisha kazi na kutoa taarifa ya chanzo cha moto soko la Karume.
Nao wamachinga wamemtaka RC Makalla awaruhusu wajenge soko lao wao wenyewe kwa gharama zao.
Source: East Africa tv
Maendeleo hayana vyama!
Yani huyu bwana ni bure kabisa! Mwili mkubwa akili kisoda!Mishavu mikubwa kama yale Mapaka ya Hotelini🐒🐒🐒View attachment 2084569
Hiyo sio tume ni timu au kamati maana hana mamlaka ya kuunda tumeWaziri wa Tamisemi Mh Bashungwa ametoa siku 7 kwa tume ya uchunguzi kukamilisha kazi na kutoa taarifa ya chanzo cha moto soko la Karume.
Nao wamachinga wamemtaka RC Makalla awaruhusu wajenge soko lao wao wenyewe kwa gharama zao.
Source: East Africa tv
Maendeleo hayana vyama!