Tulie wote vpi cia kweli hii ndo Tanzania ya wakina NkobeSikuwahi kudhani Tanzania tuna uhaba wa Port mpk tuwauzie wachina Bagamoyo tumekarabati Bandari ya Dsm na Bandari zingine kwa gharama kubwa kabisa lakini leo tunakwenda kuziua bandari zote....
Tumeingia mikataba mingi saana na hawa wachina, na tukienda mbele zaidi Dr.Magufuli aliwachukulia kama marafiki wa kweli tofauti na makaburu wa kizungu........Why tunaogopa tena kuhusu hili na hao marafiki wetu wa kweli?Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe....
Kuna vipengele vikirebishwa ni mradi mzuri:Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe...
Nyoka hajawahi kuwa rafiki wa binadamuMagufili alituhakikishia wachina ni ndugu zetu
Amesema mradi upitiwe upya na hasa kwenye mikatabaWazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe...
Ukisikia kelele nyingi kuhusu china,kwamba inazinyonya nchi za Afrika,unaweza ukadhani hao wanaozusha na kupiga hizo kelele,Kuna jema lolote waliloifsnyia Afrika.Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe....
Mpuuzi ww, Sasa kumbe unalalama mkataba haufai wakati hata kuona ujauona, mmekalilishwa na Magufuli tu, magufuli alikuwa na chuki iyo bandari isijengwe bagamoyo, alihisi itamnufahisha kikwete, alitamani ikajengwe chatoMzee unang'ang'ania kuonyeshwa mikataba,mikataba mingapi uliwahi kuonyeshwa??
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Kwenye maslahi lakini siyo kwenye ujinga,Magufili alituhakikishia wachina ni ndugu zetu
Alikuwa na chuki na mkwere? Chuki kwa ajili ya nini?Umeuona mkataba?! Haya tuambie una vipengele gani vibaya?? Au mnafuata mkumbo sababu dikteta alikuwa haupendi huo mradi kwa chuki zake binafsi na mkwere
Wewe ni mpumbavu!The best thing Magufuli heavily succeeded is on "BRAINWASHING PROPAGANDA". You can name it from corona to uzalendo. I bet, this will cost the nation for a decades. Today, everything is equated to what Magu believed. We are sick nation ready for special healing.
Uyo mungu wenu magufuli ndio ilitakiwa aweke mkataba azalani tungejua Kama nikweli ulikuwa haufai,aliishia kupiga kelele tu!!Alikuwa na chuki na mkwere? Chuki kwa ajili ya nini?
Magufuli alitoa dondoo za kilichopo kwenye huo mkataba ndio maana alisitisha na watu wakamuunga mkono!
Vipi wewe unaetetea sababu ya chuki zako kwa Magufuli unaweza kutuwekea huo mktaba hapa?
Maslahi si ndo kama hivi ujenzi au kuna maslahi mengine?Kwenye maslahi lakini siyo kwenye ujinga,
Reli ya uhuru yaani TAZARA walijenga Wachina mbona hatukuisha???Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.