Hata mimi nina ndoto hiyo,,,vipi ulaji wa mafuta na upatikanaji wa vipuli hiyo ya kuanzia 2008 ukilinganisha na rav4 kili time hizi za kuanzia 2001 vvi?n
nakushauri uchukue subaru forester toleo la mwaka 2010,,,iko poa sana hutojutia bei yake ni kuanzia mil 28 kwenda juu
Reason:
- Napenda gari yenye kasi na stable
- Ni imara
- Ina options zote comfortability na sporty
- Ni SUV ina nafasi kubwa ndani
- Body shape yake inavutia kuanzia mbele, ubavuni na nyuma
- BOV Sound ndio ugonjwa wangu
- Manual Transmission with turbo ndio favourite choice
- Iwe kwenye lami au vumbi kote inapeta tu
Nimekuwa na ndoto ya kumiliki gari hii kwa muda mrefu...so nimeamua kuiwekea dream hii katika plan, ninadunduliza kidogo nikipatacho na Mungu akijaalia mwakani ninayo.
View attachment 548937 View attachment 548938
Pichan
nakushauri uchukue subaru forester toleo la mwaka 2010,,,iko poa sana hutojutia bei yake ni kuanzia mil 28 kwenda juu
Mmmmh litre 1 kwa km ngapiJiandae high oil consumption. Hakikisha una kipato kikubwa.
Mbona umepost picha ya kutoka maktaba badala ya hiyo unayomiliki.....au na weww ni day dreamer?!Na mimi ndio ndoto zangu, Subaru is the only way to Go....Mungu atujalie tupate haja ya mioyo yetu... WELCOME TO TEAM SUBARU,
currently niko hapa chini, Legacy, 2000cc, MT, Non turbo, inshaalaah Mungu akinijali nahamia hapo juu kwenye forester
Mbona umepost picha ya kutoka maktaba badala ya hiyo unayomiliki.....au na weww ni day dreamer?!
Labda kama piston ring zimeishaJiandae high oil consumption. Hakikisha una kipato kikubwa.
Swahiba vp ulaji wa mafuta,watu wanasema inabugia balaagari nzuri nimeitumia toka 2010 nilianza na sf9 mpaka sasa niko na SG5 cross sport. inahimili shida iko na nguvu designed for off road.
spares zipo siku hizi japo bei ya spare sio km ya corolla.
Labda kama piston ring zimeisha
Kila mtu ana ladha yake, unaeleweka kabisaSijui kwanini hazijawahi nivutia!
- Ni SUV
Ninacho subaru impreza sportwagon,cc 1500,4wd,duh kapo chini ila katamu.12km/l
Hii inaenda 12 km / l?