Anafanya masihara huyu jamani* No kusalimia wakwe
* Baba na mama wanasema kimya sana
*Nguo uliyovaa haijakupendeza
* Free kutoka out.
And you are here saying unawish kuvunja ndoa; kwa sababu hizo za hapo juu? Mpendwa hizo ni changamoto za kuvunja ndoa kweli; kweli? Aisee kuna watu wana changamoto, wewe unatania unless kuna mengine makubwa hujayasema
Yes amsamehe mwenzake kama kajutia[emoji848][emoji848]....hakuna malaika hapa chini ya jua!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah aisee yaani hizo ulizoziorodhesha hapo ndio kero za ndoa yako? [emoji23][emoji23][emoji23] Nicheke tu kwa kweli.
Halafu unaishi kwaajili ya dini utapata taabu sana hapa duniani.
Umeongea kwa uchungu sanaNipo ndani ya ndoa kwa miaka 16 sasa. 80% ya maisha ndani ya ndoa sijawahi kuwa na furaha.
Nilichogundua. Kuoa ni kuamua kumiliki mtu. Tena mwenye akili zake. Ni shida kwa kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushafikiri uzeeni utaishi na nani? Hebu waone wazee wanavyoteseka wakibaki peke yao. Tuwaze na ya mbele piaNimemiss sana kuwa single
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkeo nae ni flat?
Kuna watu wanataka ubishani huku hawapo kwenye ndoa[emoji4] [emoji4] [emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Wasikukatishe tamaa, kaoe uje tuendeleze huu uzi [emoji23][emoji23]
Chaguo lako hilo pambana nalo. Mara moja moja peaneni likizoDuh..! Hii ndoa ikifikiasha mwaka sijui...!!!?!
Maana naona kuna vitu navimiss ukizingatia mwanamke mwenyewe kichwa ngumu, yaani afadhari angekuwa tayari kukusikiliza, yeye nikiwa namwambia kitu kama kumwelewesha ataanza ubishi na kuleta ujuaji
Nikimwambia usifanye hivi ye atafanya
Hakuwahi kufanya kosa akaomba msamaha, yaani yeye muda wote anajiona yupo sahihi, kukiri kakosea hilo kwake halipo
Nnampaango wa kumsafirisha aende kwao ili mi nipumzike,
Maana afadhari angekuwa yupo tayari kunisikiliza, yeye nikimwambia tuongee atanijibu yupo busy
Sa sijui mwanamke wa aina hii nitaishi nae vipi...!
Dah unanyata kwa mkeo? Sipati picha jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haya yatabaki sirini kwakweli , sipendi kuwafanya ambao hawajaoa wasioe mana ni mambo ya kuumiza sana, lakini all in all NDOA INA MATATIZO SANA, Ungeona nilivyoanza na makonfi, kila mahari hunikosi na wedding ring, hehehehe kwa sasa hata asubuhi ndani unatoka unanyata mana ukitoka yuko macho basi kasheshe lake lazima ofisin wapate story kutoka kwako
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ushafikiri uzeeni utaishi na nani? Hebu waone wazee wanavyoteseka wakibaki peke yao. Tuwaze na ya mbele pia
Mrudiaji kosa simsamehi asee hata anijie na mbingu[emoji2958][emoji2958]....Hawa watu huwa hawabadilikiIngawa aangalie na kosa Witty kuna watu wana majaribu!
Kuna namfahamu karibu kila mara anamfumania mumewe akikaa kikao wananchi tunamuambia amsamehe basi anasamehe.
Kuna siku katuita kikao wananchi kumbe keshamfumania mumewe na housegirl mara kibao mbaya zaidi mumewe kampa mdogo wake ujauzito alichosema hata aje Nani hawezi msamehe.
Kama kosa si kubwa hamsamehe kwa moyo mmoja ila kama ni mazito aangalie moyo wake unaamua nini.
Niliwahi kuwa na jamaa flan, alikosea analia Mpk machozi yaani lazima umuonee huruma umsamehe, baada ya mwezi anarudia same thing [emoji23][emoji23][emoji23]. Watu wasaniindagha mama kuelewa yaan walinikomalia..point yao dhaifu kweli..oh ww dada msamehe huyu mumeo amejuta sana[emoji849]
Maskini..madhara ya kumkimbiea ex hayoKuna mdau mmoja kashauri kitu cha maana sana, tafuta furaha binafsi, waweza jikuta unaongea mwenyewe hivi hivi, mpaka namkumbuka x wangu niliyemkimbia mana I was a king to her, ila huku am just a man with a trouser
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mwenzako Krait ....kafunguka we unaogopa na hiyo ID fake au wifi anaijua?No, hizo ni changamoto ndogo ndogo sana na zinavumilika, kama nilivyosema kubwa humu ni kazi kuziweka wazi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Dah huyo kibokoWacha mi niendelee kufunguka,
Huyu wangu kuna kipindi alikuwa ananipangia mpaka kunipa tendo la ndoa, nikamwambia "MI HUWA SIPANGIWI KAMA HUTAKI NATAFUTA MWANAMKE MWINGINE"
Akanijibu, "TAFUTA"
Nikamwambia,,"ILI NITAFUTE MKE MWINGINE WEWE NI LAZIMA UONDOKE HUMU NDANI MAANA MI NIMEOA ILI KUIKWEPA ZINAA HIVYO SIWEZI KUZINI HUKU NINA MKE WA NDOA"
Akakaa kimya hakujibu kitu
Hiyo haina guarantee asee...Kuna kufa pia ukumbuke na sio lazima ufe uzeeni[emoji848][emoji848]Ushafikiri uzeeni utaishi na nani? Hebu waone wazee wanavyoteseka wakibaki peke yao. Tuwaze na ya mbele pia
Dah unanyata kwa mkeo? Sipati picha jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]