Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Yaani
mesikia kulia ujue!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]...flat ni machame/ palestinaPande za kwao hakuna ya chogo, wote ni flat screen ukiona ya chogo jiulize mara mbili mbili
Sent from my iPhone using JamiiForums
Isije kuwa jamaa now hana kazi halafu analeta kibezi kwa wife[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]...lazima ule konzi haahaaDah unanyata kwa mkeo? Sipati picha jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ok mkuu. Pole sanaNo, hizo ni changamoto ndogo ndogo sana na zinavumilika, kama nilivyosema kubwa humu ni kazi kuziweka wazi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahahaaa umenichekesha Witness eti kama manyaunyau wakati mwingine wanatuona sisi wakorofi lakini sio kweliNimemwambia hata mimi...wife yuko ktk right track [emoji848]
Utaendeshaje gari halina bima ya laki halafu unaenda kuspend 120, 000...full kuendesha usiku kama manyaunyau[emoji1787][emoji23][emoji23]
Jamaa jipuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeoa bahati mbaya au kwa kupata sifa.. mwaka mmoja unaongea utumbu kama huu. Dunia simama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu nimeshindwa niongeze nini, umesema ukweli mtupu, japo mimi nina mwaka na nusu kwenye ndoa lakini kama napata nafasi ya kurudisha past basi nisingeoa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Karma haimuachagi mtu salama[emoji23][emoji23]Maskini..madhara ya kumkimbiea ex hayo
Sasa ilikuaje ukaoa flat wakati huipendi.Pande za kwao hakuna ya chogo, wote ni flat screen ukiona ya chogo jiulize mara mbili mbili
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ni funika bovu....ila mara nyingi wa hivi hutumia madawa kinomaDah huyo kiboko
Kweli lkn hatuwazi kufaHiyo haina guarantee asee...Kuna kufa pia ukumbuke na sio lazima ufe uzeeni[emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaaaaahaaaaaaa[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]....mkuu samahani hujaoa kajitafakari tena!Haya yanatokea sana, hasa unapokuwa na mke mwenye makelele. Japo wapo wale wanaofaidi ndoa yani kabla ya kwenda kazin unapata kiss na wishes kibao za hiyo siku + kurekebishwa tai, pande za huku ni hatari unazuga zuga mara akija kushtuka haupo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wee acha....Kuna wanaume wanateseka sana aseeYaani
mesikia kulia ujue!
Nyie ni wapole sana aisee. Huyu wangu sijui naanzaje kumpigia kelele. Huwa nanyamaza tu yakinizidi napanda gari nasafiri tunasolve nikiwa mbali then narudi.Haya yanatokea sana, hasa unapokuwa na mke mwenye makelele. Japo wapo wale wanaofaidi ndoa yani kabla ya kwenda kazin unapata kiss na wishes kibao za hiyo siku + kurekebishwa tai, pande za huku ni hatari unazuga zuga mara akija kushtuka haupo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unafikiri siwaelewi shost...wanaume wanapenda sana sympathy lkn ukija fatilia wao ndo wa kwanza kuharibu ndoa zao...haki most of men ni scavengers, nimeyaona na nayaona aseeHahahaaa umenichekesha Witness eti kama manyaunyau wakati mwingine wanatuona sisi wakorofi lakini sio kweli
Kuna ukilema, magonjwa kuna kukimbiwa yote haya yanamtokea/ tumeumbiwa binadamu mimi na weweKweli lkn hatuwazi kufa
Wewe tena manengelo..poleMimi nimeamua kukaa kando!kiroho safi ..ingawa nna uchungu sana sana..najaribu kuhimili hii hali lakini nafeli vby sana sana...!silali!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Nyie ni wapole sana aisee. Huyu wangu sijui naanzaje kumpigia kelele. Huwa nanyamaza tu yakinizidi napanda gari nasafiri tunasolve nikiwa mbali then narudi.
Nikiwa mbali ananitambua..nakuwa na confidence balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] namjibu chochote nachotaka mpk anashangaa, Ila nikiwa nae karibu thubutuuuu
Hivi hujuagi kuwa ubaya ndo huwa unavuma kuliko wema? Wapo wenye ndoa njema kibao tu, sema wengi wao hawanaga muda hata wa kuandika. Na hata wakiandika kusifia ndoa zao, tunakuwa wa kwanza kuwaongelea mbovu, sijui ndoa yenu ina miaka mingapi blah blah blah. In short binadamu hatupendi habari nzuri
😂😂 asante