Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Bro nimekuomba unielekeze jinsi ya kuwasiliana na admins, niwaeleze tatizo la ku upload picha JF kwenye simu yangu naona umenisahau
Ooh sorry sana.... Tumia njia ya kuweka post ya wazi... Hivi hivi huwa ni wazito kurespond
 
Yani kumbe JF ...walevi tuko wengi namna hii..!?

Nilijua ni mimi peke anguu..

Nafrijika sana.

[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Mlevi mwenyewe wengine hatunywi
 
Yani kumbe JF ...walevi tuko wengi namna hii..!?

Nilijua ni mimi peke anguu..

Nafrijika sana.

πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
hhahhahhahahahhahahahahhahahahhahahahahhahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…