Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mail 1Kibaha sehemu gani... Nipo hapa tangu jana mbona?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115]Brother hataki dereva ,tuendelee kulewa View attachment 866428View attachment 866430
Nomaa...dahUkishalewaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] View attachment 865287
o. k, bro. Nimewaandikia thread sasa hivi, hope wata respond kwa faida ya wengi..Ooh sorry sana.... Tumia njia ya kuweka post ya wazi... Hivi hivi huwa ni wazito kurespond
Lite inaumizaje kichwa Mkuu!??Balaaa la Jana ilo,
Hapa kichwa kinagonga nataka nikatoe lock na km mbili za chap then nilale tenaView attachment 866583
Mchoyo wewe.
Ninasikitika sana TBL kutuharibia Beer yetu ya Safari.
Naelekea nmbNipe tu location kamili sipo mbali
Mlevi mwenyewe wengine hatunywiYani kumbe JF ...walevi tuko wengi namna hii..!?
Nilijua ni mimi peke anguu..
Nafrijika sana.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hahaha, tukutane triple B baadae kwenye show ya Xtian Bella, aisee nimeamka na KGB hapa bado navesha tu..Mchoyo wewe.
Safi sana hii kituBia yangu pendwa...
hii pombee au spray!??Hahaha, tukutane triple B baadae kwenye show ya Xtian Bella, aisee nimeamka na KGB hapa bado navesha tu..View attachment 866675
Hatari sana hii
hhahhahhahahahhahahahahhahahahhahahahahhahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa dah!Yani kumbe JF ...walevi tuko wengi namna hii..!?
Nilijua ni mimi peke anguu..
Nafrijika sana.
🔥🔥🔥🔥🔥