Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Bro nimekuomba unielekeze jinsi ya kuwasiliana na admins, niwaeleze tatizo la ku upload picha JF kwenye simu yangu naona umenisahau
Ooh sorry sana.... Tumia njia ya kuweka post ya wazi... Hivi hivi huwa ni wazito kurespond
 
Yani kumbe JF ...walevi tuko wengi namna hii..!?

Nilijua ni mimi peke anguu..

Nafrijika sana.

[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Mlevi mwenyewe wengine hatunywi
 
Mchoyo wewe.
Hahaha, tukutane triple B baadae kwenye show ya Xtian Bella, aisee nimeamka na KGB hapa bado navesha tu..
20180915_094926.jpg
 
Back
Top Bottom