Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaa em ngoja nimalizie hii ndovu kwanza,.ntakupa jibu kipenziHapo ndipo pagumu....yaani hapa nilipo nina hang over balaa...kila siku ninajiambia sintokunywa pombe lakini nakuja kustuka nimeshalewa...hebu nishauri mpenzi
Nimecheka kwa nguvuu😂😂😂😂Atakuwa mlozi[emoji125][emoji125][emoji125]
hebu tupia kapicha ili unipe mzooka sweetieHahahahaa em ngoja nimalizie hii ndovu kwanza,.ntakupa jibu kipenzi
Huyo jamaa nae mbwiga kweli....utamletaje mke wako kwenye kundi la walevi...wanaweza mshika hata..kotaPilsner King, ni balaa, juz ijumaa tulikuwa Maeneo ya Goba, tuko washkaj wanne, mara Mmoja akasema Wife anakuja anataka ale hapa, baada ya Muda akaja, sasa yule jamaa aliekuwa anakunywa Pilsner akawa ameshakunywa 3,.so akaagiza na konyag ndogo,.dah, sasa mshkaj aliyekuja na mke wake akaenda alipe bill ya chakula ili amrudishe wife Home,.sasa huku nyuma jamaa wa Pilsner konyag akamwambia mke wa jamaa kuwa Mume wako ni mtu wa totoz sana, anapenda hata wahudumu wa bar,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatar sana... ile kitu sio ya kuchezea
Mzooka tena switiii..si unataka kuacha au umeghairi?!hebu tupia kapicha ili unipe mzooka sweetie
Pombe nzuri bro ?Pombe ni nzuri ila
1.Tunywe kiasi kidogo
2.Tusinywe kila siku(at least Friday & Saturday)
3.Tusinywe na kuendesha magari
4.Tusinywe na kuleta ugomvi nyumbani
5.Tusitumie family budget kunywa pombe
Wewe Unaonaje?Ila inategemea na mtu alivyojiamulia maisha yake mkuu.Pombe nzuri bro ?
naomba unishauri plz darlingMzooka tena switiii..si unataka kuacha au umeghairi?!
Ulitumia akili sanaHii kitu ilinifanya nikose mke wa kisabato,,,,alinambia chagua kimoja kati ya '' Mimi na mi pombe yako" nikachagua mi pombe yangu
Nimeamka Najisikia VibayaItafute buana,.
13 Mkuu Kama Ntakuwa na Kumbukumbu Nzuri, Nilikuwa STD VIIUmejiunga JF ukiwa na umri gani mkuu?
Kwann dear??Nimeamka Najisikia Vibaya
Last Day Nilikesha site Mchana Kutwa. Nafikiri ni lile jua..Maana Kichwa nahisi kama kinaumaKwann dear??
Oh poleee,uko home sasa??Last Day Nilikesha site Mchana Kutwa. Nafikiri ni lile jua..Maana Kichwa nahisi kama kinauma