Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Ha ha ha...unatulia kaunta hautaki bugudha na wahudumu
Kama Kawa kaunta uzushi hakuna unakumbuka yule dem nlimtolea nje bia leo kaja tena nimemtolea nje ahhh si unajua mm kauzu[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
20181002_195828.jpg
 
Ndugu walipa kodi wenzangu nifundisheni kutuma picha twende sawa Walipa kodi wenzangu nyongo ipo sawa to.
 
Back
Top Bottom