mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Dah leo party ya kimya kimyaUmekuwa kimya bana hadi nikahisi kiwanda leo kimefungwa
Ila tupo tunaendeleza libeneke
Leo tumechelewa Anza majukumu yalibana
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah leo party ya kimya kimyaUmekuwa kimya bana hadi nikahisi kiwanda leo kimefungwa
Hahaha, km umefika safi,kula ugimbi sasa taratibuuu kabisaNiseme nini baada ya muamala kueleweka
Ha ha ha...unatulia kaunta hautaki bugudha na wahudumu
Kama Kawa kaunta uzushi hakuna unakumbuka yule dem nlimtolea nje bia leo kaja tena nimemtolea nje ahhh si unajua mm kauzu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ha ha ha...unatulia kaunta hautaki bugudha na wahudumu
Mkuu ntafanya logistics nkutumie mzingaa bombadier nyagiHahaha, km umefika safi,kula ugimbi sasa taratibuuu kabisa
Leo kaunta Mwanaume ahhhh alafuHa ha ha...unatulia kaunta hautaki bugudha na wahudumu
Ha ha katibu....Leo kaunta Mwanaume ahhhh alafu
Yule dada nishamzoea [emoji23] [emoji23]
Yule lazima anipe bia 1 ofa
Ova
View attachment 884907
Huyo demu kawaida yake kuomba omba biaKama Kawa kaunta uzushi hakuna unakumbuka yule dem nlimtolea nje bia leo kaja tena nimemtolea nje ahhh si unajua mm kauzu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
View attachment 884891
Anakaa na mabwana zake hko anainuka anafata watu wengine ahhhh leo nmemwambia akiniona akae mbali kbsaHuyo demu kawaida yake kuomba omba bia
Ha ha ha anaboa kwa kweliAnakaa na mabwana zake hko anainuka anafata watu wengine ahhhh leo nmemwambia akiniona akae mbali kbsa
Maana ni msumbufu sana [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
Mpuz sanaaa kakimbiaaaHa ha ha anaboa kwa kweli
Nko mtoto wa magomamoto kaja kajipiga stoperHa ha ha anaboa kwa kweli
Mimi nawaambia nimekaa kaunta ili nikope hapo na kaunta hapo anakuwa ameelewaMpuz sanaaa kakimbiaaa
Lkn,kaunta hatutakagi usumbufu ahhhh
Ova
Huyo Mzee nasikia siku hizi kahamia Kimara , nyumba yake ya Togo aliiuzaNko mtoto wa magomamoto kaja kajipiga stoper
Ova
Aliuza ga kahamia kimaraHuyo Mzee nasikia siku hizi kahamia Kimara , nyumba yake ya Togo aliiuza
Bado tupo ila kesho saa kumi na moja alfiri nahitajika sehemu DahHuyo Mzee nasikia siku hizi kahamia Kimara , nyumba yake ya Togo aliiuza