Mada maalumu ya wanaotumia vinywaji laini na sio pombe

Mlevi huyo hana lolote,kusali wanasali mpaka wachawi na wauza unga sembuse mnywa pombe.

Sent from my SM-G925I using JamiiForums mobile app
 
Hapana si lazima viwanja viandane na pombe ila asilimia ndogo sana, kama siyo 2.99 basi ni 3 tu

Ni comment yako ya kwenye thread ya magari ilifanya nihisi hivyo kuwa ni mtu wa kutoka sana.......but sorry if I'm wrong mkuu
Hapana ur not wrong dear!

Mkuu umenichekesha sana kwahiyo ukiwa mtu wa magari basi utakuwa mtu wa batazz sana!

Kama nazurura kwa akina mwakasege na gwajima[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji126] [emoji126]
 
Sie tuligundua kuwa hajui kuwa hiyo ni pombe, na tulipomwambia hakutaka kutuamini. Alikuwa anakunywa Savannah hata 4
Mmmmh....Shufaa ni cha pombe huyoo tena mzoefu sema alikuwa anawazuga!
 
Baada ya walevi kuamua kuwa na uzi wao maalum sasa ni nafasi muafaka kabisa kwa wale wasio tumia vilevi, isipokua vinywaji laini laini tu kama maji, juice, chai na hata bila kuwatenga wale wanaotumia wine tu.

Karibuni jamani, tupeane kampani hapa.

mTU ANAYEKUNYWA pombe dah sijui namuonaje yani...

(kila mtu kaamua kuishi maisha yake)

KINYWAJI changu ni MAJI pekee
 
Hapana ur not wrong dear!

Mkuu umenichekesha sana kwahiyo ukiwa mtu wa magari basi utakuwa mtu wa batazz sana!

Kama nazurura kwa akina mwakasege na gwajima[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji126] [emoji126]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kwahiyo lile bata la weekend flani uliloenda kuosha na ile Kruger mpya lilikuwa la ibada kumbe...
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kwahiyo lile bata la weekend flani uliloenda kuosha na ile Kruger mpya lilikuwa la ibada kumbe...
Ndio mkuu wangu....nilivyomaliza kuwapa hi mashost na yule jamaa anayeniosheaga na mindinga yake....nikateleza kwa GWAJIMA ( maombi mpaka usiku mnene[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji126] [emoji126] )
 
Ndio mkuu wangu....nilivyomaliza kuwapa hi mashost na yule jamaa anayeniosheaga na mindinga yake....nikateleza kwa GWAJIMA ( maombi mpaka usiku mnene[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji126] [emoji126] )
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe huwa unakuja kwa Gwajima, nitakutafuta siku ukija nami nioshe nyota kwenye mndinga wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…