Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Naomba msipotoshe nilichoandika na ninachomaanisha katika muktadha wake please rudieni kusoma tena nilichoandika

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
ndio vipo vya aina mbalimbali vidogo hadi vikubwa vingine sio ugonjwa wala nini . hata havionekani vipo ndani

labda iwe ivo jamaa yangu last year alipata iyo kitu ilimtesa mno mpaka kudrive ilikuwa issue
 
Kwa hyo hicho kimkia kilisahaulika wakati wa ktk hatua fulani ktk ukuaji? Au kimeota kishirikina
 
Kwa hyo hicho kimkia kilisahaulika wakati wa hatua fulani ktk ukuaji? Au kimeota kishirikina
 
Halafu bawasiri inatibika. Na inahusianaje na mikosi? Ndio nashangaa hapa. Ila ukiwa na imani za ajabu ajabu unaishi maisha ya wasiwasi hadi huruma!



Sent from my ONE A2005 using JamiiForums mobile app
Nyie hamjui tatizo aliloliongelea mtoa nada.
Bawasiri si ni ugonjwa unaofahamika karibu na kila mtu!
Bawasiri vinyama huota kwa kutokea ndani ya "tundu".
Hii kitu anachosema chenyewe huotea katikati kabisa, spinal ilipoishia.
Tungeendelezwa katika uumbaji kama walivyo wanyama, tungesema "tulipokatiwa mkia" ndipo panapoongelewa.
 
No wanataka kupotosha kwa makusudi kabisa I just don't know why !!!! Mpaka mwisho wa mada nimeweka na NB kabisa tena nimeweka na space, lakini wanapita kama hawaioni
Lakini mmh huwezi jua kwanini mtu anabisha kwa nguvu zote na vijembe juu! [emoji102] [emoji144] [emoji102] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124]

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji85] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
mkuu mshana kasema njia ya haja kubwa kamsome vizuri
 
Nimesema kwa uwazi kabisa NJIA YA HAJA KUBWA

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
ni kama hivi?
Nimesema kwa uwazi kabisa NJIA YA HAJA KUBWA

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
mshana jr sijui na mie ninacho? Ngoja nikutafute unikague.

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji102]

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…