Gamic
JF-Expert Member
- Jun 24, 2021
- 1,156
- 2,271
Kitabu cha Kabendera umekisoma?
Kabendera kasema katumia mwaka mmoja na nusu akifanya mchakato na wanasheria kuangalia kipi kichapishwe na kipi kisichapishwe, na vingi sana kaviacha, na mwanasheria wa publisher katoa sharti kwamba vitu vilivyoachwa viwe na ushahidi, ndiyo mchapishaji akakubali mwaka 2023, na bado wakawa na msuguano wa takribani mwaka mzima.
Kabendera kazungumza na watu takriban 250.
Kitabu kimepitiwa na jopo la watu 20 waliopunguza mambo mengi kuhakikisha hakuna kitakachoandikwa ambacho hakina ushahidi.
Msikilize hapa.
Kama hamjaridhika mshitakini mahakamani tupate ushahidi chini ya kiapo.
View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=4eFtzYca6WHn0tGi
Alizungumza na Samia pia miongoni mwa hao watu 250 ?