Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

Wewe hukumfahamu Magufuli. Kilichomuudhi Magufuli zaidi ni Ben Saanane kusema PhD ya Magufuli ilikuwa fake ya kubangua korosho tu, na kwamba hakuifanya mwenye alifanyiwa na watu kwa sababu hakuwa na uwezo wa kuandika thesis, yaani kimsingi, Magufuli aliona kaitwa kilaza na amedesa!

Hilo kwa Magufuli lilikuwa kosa la kuua mtu! Labda kulikuwaa na ukweli ndio maana alikasirika sana - Prof. Mwandosya aliuliza, hawa mawaziri wanaojipatia PhD wakiwa kazini wanapata wapi muda wa kufanya utafiti na kuandika PhD zao? Kumbuka, mtu kama Sokoine, ili pte Masters degree, ilibidi aombe kukaa nje ya uongozi kwa miaka miwili

Sasa nataka ujue kwamba wengi wa mawaziri wenye Masters na PhD wakati wakiwa mawaziri, wanawalipa watu kuwafanyia research na kuwaandikia PhD zao, na hilo watu kama kina Mwandosya wanalifahamu, na kuna Maprofessor njaa wanakubali kutumika kama ma-supervisors. Magufuli ni wazi alikuwa na PhD ya hivyo na Ben Saanane alipomsema akawa ame-sign kifo chake
So wewe ndo ulikuwa unamfahamu Magufuli?
 
Na pia Kabendera ni mwandishi nguri wa habari za uchunguzi
 
Mambo yakiswahili bwana 😂 kaambiwa na aliemuambia Hana uhakika
Nasikia huko mjini watu wasema 😂😂
 
Na pia Kabendera ni mwandishi nguri wa habari za uchunguzi
Kwa hiyo hawezi kudanganya? Hawezi kuongeza chumvi?

Kila anachokiandika yeye ni gospel truth?

Classic example of confirmation bias!
 
Swali la kujiuliza ni moja Tu

Je Ben saa nane alikuwa na madhara makubwa Kwa serikali?

Je beni saa nane angeweza kupindua utawala wa magufuli?

Je Ben saa nane alikuwa na madhara yoyote Kwa Rais Personal?

If not then Magu hawez kumuua Kwa kumpiga risasi trust me

Kabendera ana history mbovu na magufuli so anaweza kusema anything

Ila nitakuwa wa mwisho kuamini magu alimshoot Ben saa nane
Utawala wa Magu ulikua hovyo sana, waliojipata walipata tabu sana.

Alikua task force ya kukamata matajiri kwenye miji midogo na kuwakaba koo waseme mali wamezipata wapi.
Sijui kwanini alikua anafanya hivyo...
 
Nope. No one is above calumny.

I’m not going to give him the benefit of the doubt when I know for a fact he is jaundiced.
Sure, jut like we ignore Palestinians narratives Vs Israel, and Israel narratives Vs Nazi Germans, because of the same thinking, jaundiced people!
 
Huyu Kabendera na kitabu chake ataaminiwa na wale ambao hawajawai, kumuelewa HAYATI MAGUFURI,
Kifupi Kaandika Uharo mtupu!! habari zote ni Hearsays,
Kuna sehemu kaongelea mtoto Waagufuri, Sasa unajiuliza yule mtoto kafariki Magufuri kaandikaa pumbs tupu humo,
Hiki ni kitabu Cha wakuja Ngumi😂😂😂
Kajifunze kuandika kwanza ndio urudi ukosoe
 
Anayeamini huo ujinga wa kabendera ni kichaa na anatakiwa kupelekwa hospitali ya vichaa milembe Dodoma.
Kichaa utakuwa wewe, andika cha kwako utuambie aliko Ben Sanane na Azory Gwanda. Huyu ni mwandishi intenatinationaly hawezi kuzusha habari kama hii bila kufikiria career yake.
 
Kama kuna watu wanasema Kabendera ni muongo, wamshitaki akatetee maneno yake mahakamani, mashahidi pia waitwe mahakamani kuhojiwa chini ya kiapo at the possible penalty of perjury.

Kwa mfano, Kabendera kasema Magufuli alikwenda kwa Samia na pajama akitaka kumbaka, Samia mpaka akataka kujiuzulu u Makamu wa Rais.

Samia aitwe mahakamani kuhojiwa kuhusu suala hili.
Mmmh!!!, Moyo wangu pa!!,baada yakusoma hii comment mwishoni, duh!!!
 
Swali la kujiuliza ni moja Tu

Je Ben saa nane alikuwa na madhara makubwa Kwa serikali?

Je beni saa nane angeweza kupindua utawala wa magufuli?

Je Ben saa nane alikuwa na madhara yoyote Kwa Rais Personal?

If not then Magu hawez kumuua Kwa kumpiga risasi trust me

Kabendera ana history mbovu na magufuli so anaweza kusema anything

Ila nitakuwa wa mwisho kuamini magu alimshoot Ben saa nane
Basi mfungulieni mashitaka kabendera,kwa kutoa tuhuma hizo nzito,na zenye kutia taharuki kwenye jamii.
 
Sawa Erick Kabendera ameandika kwamba raisi Magufuli alimpiga risasi ya kichwa Ben Saanane pale Ikulu Dar es Salaam.

Sasa ukitaka kujua umbumbumbu wa watu, ni pale mtu anaibuka tu na kusema Kabendera mwongo! Watu hata hawataki kuhoji taarifa hii Kabendera kaitoa wapi - japo ametaja wazi kuwa source yake inatia watu walioko serikalini. Wengine hata wanadiriki kusema Kabendera akamatwe na kutiwa ndani kwa kuandika jambo hili!

Watu wote wanaopinga hii taarifa ya Kabendera wanapaswa kutambua yafuatayo;
  • ikiwa unashupalia Kabendera ni muongo, basi wewe unapaswa kujua ukweli juu ya kupotea kwa Ben Saanane au yuko wapi kama yupo hai, au unamjua aliemuua. Kama una akili sawasawa, huwezi kubisha alichosema Kabendera bila wewe kuwa na taarifa kamili tofauti na aliyosema Kabendera
  • kwamba Kabendera hawezi hata siku moja kufumuka tu na kuandika kitu kama hicho kwenye kitabu. Ni wazi ana uhakika na anachokisema, na kwamba ana ushahidi zaidi na serikali haitamchukulia hatua kwa sababu wakimpeleka mahakamani watakuwa wamempa ukumbi wa kumwaga ukweli wa jambo hili na serikali ya CCM haitaki kabisa hilo litokee (sawa na Marekani waliposema Makonda ni muuaji, ulisikia serikali ikipinga au kuishutumu Marekani? Unafikiri kwa nini serikali iliufyata?)
  • Magufuli kama raisi angeweza kumpiga mtu yeyote risasi na kumuua bila kushitakiwa au kufanywa lolote kwa sababu Katiba yetu inampa uhuru raisi kumuua mtu na raisi asifanywe lolote! Hata Raisi Samia leo akifanya hivyo hutamfanya chochote na ataendelea kuwa raisi
  • kwamba Magufuli alipompiga risasi Ben Saanane kuna watu walikuwapo na walishuhudia hilo na hawa ndio waliompa taarifa Kabendera, wao hawawezi kuzitoa hadharani, na huenda wengine walioliona hilo tukio "walishapotezewa"
  • kwamba Magufuli alikuwa anawachukia wapinzani kwa kiwango kisicho kawaida, chuki ya kiwango cha kuwa "kichaa", cha kufikia kuwaadhibu CCM waliowapa pole wapinzani wakiumwa, na hata kumwona Samia na wengine kuwa ni wasaliti walipomtembelea Lisu hospitali (the most intense level on the emotional scale of anger toward opposition parties' members, and this became animosity that was deeply entrenched towards specific individuals like Tundu Lissu, Ben Saanane etc, and he developed personal vendettas against them).
  • kwamba Magufuli alikuwa na chuki kali na vandetta dhidi ya Ben Saanane zaidi ya kukosolewa uongozi, pale Ben Saanae alipokuwa akisema Magufuli alikuwa na PhD fake ya kubangua korosho - ikumbukwe kuna waziri maarufu mstaafu na professor aliuliza hawa mawaziri wanapata wapi muda wa kufanya PhD wakiwa kazini? Ni wazi wanawalipa supervisors au watu wengine wawafanyie PhD
  • kwamba Magufuli alikuwa na tabia ya kutembea na bastola akiwa tayari kuua mtu, hata pale alipokuwa akikagua miradi yake alishikilia bastola mkononi. Kuua mtu kwa bastola ni rahisi mno, hasa kwa mtu mwenye chuki ya juu kwa wapinzani kama ya Magufuli. Hivyo kumuua Ben Saanane kuna-fit attitude profile ya Magufuli
  • kwamba kwa wanaomfahamu Magufuli watakuambia wazi alikuwa hayuko sawa kichwani na kuua mtu kwa risasi ingewezekana kabisa kwake. Huyu ni Magufuli ambae alimpiga sana mtoto wake karibu kumuua kwa kosa la kufeli mitihani tu; huyu ni Magufuli aliemkana binti yake na kusema sio binti yake tena kwa sababu aliokoka na kuolewa na mlokole; huyu ni Magufuli alifiwa mtoto katika mazingira yenye utata na ikasemwa alikufa kwa malaria, tetesi zikisema alimpiga hadi kumuua; na huyu ni Magufuli aliekuwa akimpiga mkewe hadi hatua ya kukaribia kufa na kulazwa hospitali; sasa sembuse Ben Saanane ambae alikuwa sio ndugu yake na alikuwa na hasira nae ya kukosolewa? Magufuli hakuwa sawa kichwani, hilo ni wazi sana
  • kwamba Magufuli katika uhai wake akiwa shule alikuwa na tatizo la kuvuta bangi, na tunajua ukivuta bangi mara moja inaweza kukaa kichwani kwa miaka 12, na hatujui alivuta bangi mara ngapi
  • kama Marekani walikuwa na ushahidi juu ya Makonda kuua watu waliopinga serikali, ni wazi alifanya hivyo kwa kibali cha Magufuli, na kama Magufuli alimruhusu Makonda kuua watu basi kwa nini yeye binafsi asindwe kumuua mmojawapo wa aiana ya watu aliomruhusu Makonda kuwaua?
  • kigugumizi cha polisi katika kupeleleza na kukamata watu waliopotea au kuuwawa, hasa wapinzani wa serikali, ni wazi kwamba vifo hivi ninahusisha watu wakubwa walioko serikalini, kutia ndani mtu kama Magufuli, au kwamba viliidhinishwa na Magufuli, pamoja na jaribio la kumuua Tundu Lisu
Kama Kabendera alivyosema, alichoandika kina ushahidi kamili na ameruhusiwa kukiandika baada ya ushahidi uliopo kupitiwa na manguli wa sheria, kama anavyojieleza kuhusu hiki kitabu katika link hii hapa chini

View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=4QpdGYaV7b42UJjx

Conclusion: Kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi ya kichwa point-blank ina fit vizuri kabisa profile ya Magufuli. Alikuwa mtu wa namna hiyo, upende usipende, na huo ndio ukweli. Kichaa alipewa rungu.
Daa! Mambo ni mazito kwelikweli. Inahuzunisha sana😢
 
Ndiyo maana unatakiwa kusoma kitabu.

Points zako.

1.Una assume kuwa Magufuli was sane and able to asses risks accurately and dismiss things accordingly. Kabendera na watu wengi kama Dr. Diallo wamesema Magufuli alikuwa na matatizo ya akili, na file lake lipo Mirembe Hospital. Kabendera anasema hakuwa na uwezo wa ku asses risks accurately kama unavyofikiri mtu anatakiwa kuwa kwenye assumptions zako.

2. Mwili kuwa hospitali haimaanishi ni lazima familia wajue. After all tumeambiwa mwili ulitupwa mto Rufiji, hatujui timeline.

All in all, kama mnaona Kabendera kasema uongo, mshitakini aende mahakamani tujue ukweli unaosemwa chini ya kiapo
Mgonjwa wa akili anayesubiri mpaka awe Rais ndipo amfumue mtu kwa risasi kweli ni mgonjwa wa akili? Kweli Bongo tuna shida!

Familia ya Ben isijue lakini Kabendera pekee yake ndiye ajue?

Huyu bwana mdogo kaandika kitabu kwa style ile ile wanayotumia kwenye magazeti ya udaku ili auze kitabu!

Umeng’ang’ana watu wanamuona Kabendera ni muongo wamshitaki, unataka JPM afufuke ili amshitaki? Ameshindwa kutaja watu walio hai kwenye kitabu chake, ambao wangeweza kumpeleka mahakamani. Isitoshe anayasema haya huku akiwa uhamishoni!
 
Wewe hukumfahamu Magufuli. Kilichomuudhi Magufuli zaidi ni Ben Saanane kusema PhD ya Magufuli ilikuwa fake ya kubangua korosho tu, na kwamba hakuifanya mwenye alifanyiwa na watu kwa sababu hakuwa na uwezo wa kuandika thesis, yaani kimsingi, Magufuli aliona kaitwa kilaza na amedesa!

Hilo kwa Magufuli lilikuwa kosa la kuua mtu! Labda kulikuwaa na ukweli ndio maana alikasirika sana - Prof. Mwandosya aliuliza, hawa mawaziri wanaojipatia PhD wakiwa kazini wanapata wapi muda wa kufanya utafiti na kuandika PhD zao? Kumbuka, mtu kama Sokoine, ili pte Masters degree, ilibidi aombe kukaa nje ya uongozi kwa miaka miwili

Sasa nataka ujue kwamba wengi wa mawaziri wenye Masters na PhD wakati wakiwa mawaziri, wanawalipa watu kuwafanyia research na kuwaandikia PhD zao, na hilo watu kama kina Mwandosya wanalifahamu, na kuna Maprofessor njaa wanakubali kutumika kama ma-supervisors. Magufuli ni wazi alikuwa na PhD ya hivyo na Ben Saanane alipomsema akawa ame-sign kifo chake
Ukisema hivyo, obviously, mtu wa aina hiyo lazima awe mgonjwa wa akili. Shida iko hapa: je, katika umri wake wa 60+ years, hiyo criticism ndiyo ilikuwa more painful kwake kuliko nyingine yoyote aliyopata kupewa? Halafu ni mgonjwa gani wa akili anayesubiri mpaka awe Rais ndipo agadhabike na kuua mtu?
 
Back
Top Bottom