Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

Wew malaika tulitegemea umpinge
Kabendera kwa ushahidi mfano utuambie kabendera kauawa na nani,,,,LAKINI kuandika hapa kwa hisia Kali hakuondoi ukweli kuwa wew unatetea muuaji,,,,acha ujinga
 
Aliye mshoot ni nani?? Maandishi na ushahidi wakabendera upingwe kwa maandishi na ushahidi VILEVILE,,,,,kwanza kaka unataka kuniambia jeshi lilishindwa kujua aliyemuua Ben saa8??? Kuna mazingira mengi ya ayosaport maandishi ya Ben
 

Akina johnthebaptist waje hapa kujibu maseali haya magumu badala ya kuandika kwa hisia zao.
 
Aliye mshoot ni nani?? Maandishi na ushahidi wakabendera upingwe kwa maandishi na ushahidi VILEVILE,,,,,kwanza kaka unataka kuniambia jeshi lilishindwa kujua aliyemuua Ben saa8??? Kuna mazingira mengi ya ayosaport maandishi ya Ben

Unajuaje kama ameshootiwa? Je kama Yuko jela?
 
Akina johnthebaptist waje hapa kujibu maseali haya magumu badala ya kuandika kwa hisia zao.
Ukipajua Ikulu hapo hakunaga swali lolote

Uzuri Kibendera amekiri kila kitu amesimuliwa tu

Ni afadhali hata ya Kigogo au Mange walikuwa na kamkono hadi Magogoni Lakini nao wanamshangaa Nyepesi 😂😂
 
Hata Baba wa Taifa Mwalimu Julius K Nyerere hajawahi kuua hata Nzi pale Ikulu,Magufuli alikuwa ni Dikteta mwenye matatizo ya Akili na Moyo.
 
Ebu angalia Mama Janet alivyonenepa baada ya kufiwa na mumewe ,inaonyesha alikuwa na msongo wa mawazo sana.
 
Sijawahi kuwa na mashaka na ujumbe wa Kabendera kupitia kitabu chake kitakatifu.
 
Magufuli kampiga mtoto wake mwenyewe mpaka kamuua, hakusubiri kuingia Ikulu kuua.

Kwani kumshitaki ni kazima JPM? Hakuna familia ya JPM? Hakuna estate ya JPM?

Mshitakini tuone maneno ya mahakamani yatakuwa vipi, under oath, at the possible penalty of perjury.

Mkikaa kimya washabiki wa Magufuli, mmekubali shutuma ni za kweli.
 
Ili mtu atengeneze hofu, utii na uoga kwa subordinates wake lazima afanye mwenyew kitendo Cha kikatili ili akitoa maagizo watekeleze bila kuhoji. Mm nakuelewa
 
Kinachomatter ni Ushahidi katika hoja zote za Kabendera na ulizoziweka hapa ulizoandika

That's All
 
nigga pleasee, Magufuli ampige mtu risasi live tena ikulu halafu ndio ije kujulikana leo? maadui wote hao wasiseme tu? come on man, you are better than that …
Wewe kweli Pimbi kipi kinashindikana.
 
PAJAMA ????
 
Ukipajua Ikulu hapo hakunaga swali lolote

Uzuri Kibendera amekiri kila kitu amesimuliwa tu

Ni afadhali hata ya Kigogo au Mange walikuwa na kamkono hadi Magogoni Lakini nao wanamshangaa Nyepesi 😂😂

Waliomsimlia ndiyo wenye ushahidi. Kama siyo kweli tusubiri tuone kama CCM nu serikali itamfungulia kesi kwa haya. Na kesi waifungulie kule kule UK ambako mashahidi wakienda watapata Kinga. Wasijidai kumpuuza au kumfungulia kesi hapa Bongo ambapo tunajua matokeo yake na Dr. Kabendera hatakuja kujibu.

Nyie mnaokataa basi mtuambie Ben Saanane yuko wapi?
 
Pumzika Ben, waliokatisha uhai wako walipwe kwa uzito ule ule.
 
MUNGU WETU NI MWAMINIFU SANA NA ANAUPENDO KWA WATANZANIA KWA MTIRIRIKO WA HAYA TANZANIA ILIKUWA INAKWENDA KUANGAMIA MAZIMA, TUMSHUKURU SANA MUNGU WETU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…