Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
Mimi sifanyi ushabiki hapa; ninachoangalia ni balance ya story.Magufuli kampiga mtoto wake mwenyewe mpaka kamuua, hakusubiri kuingia Ikulu kuua.
Kwani kumshitaki ni kazima JPM? Hakuna familia ya JPM? Hakuna estate ya JPM?
Mshitakini tuone maneno ya mahakamani yatakuwa vipi, under oath, at the possible penalty of perjury.
Mkikaa kimya washabiki wa Magufuli, mmekubali shutuma ni za kweli.
Vyeti feki huwa mna hasira sana na Magu🤣Sawa Erick Kabendera ameandika kwamba raisi Magufuli alimpiga risasi ya kichwa Ben Saanane pale Ikulu Dar es Salaam.
Sasa ukitaka kujua umbumbumbu wa watu, ni pale mtu anaibuka tu na kusema Kabendera mwongo! Watu hata hawataki kuhoji taarifa hii Kabendera kaitoa wapi - japo ametaja wazi kuwa source yake inatia watu walioko serikalini. Wengine hata wanadiriki kusema Kabendera akamatwe na kutiwa ndani kwa kuandika jambo hili!
Watu wote wanaopinga hii taarifa ya Kabendera wanapaswa kutambua yafuatayo;
Kama Kabendera alivyosema, alichoandika kina ushahidi kamili na ameruhusiwa kukiandika baada ya ushahidi uliopo kupitiwa na manguli wa sheria, kama anavyojieleza kuhusu hiki kitabu katika link hii hapa chini
- ikiwa unashupalia Kabendera ni muongo, basi wewe unapaswa kujua ukweli juu ya kupotea kwa Ben Saanane au yuko wapi kama yupo hai, au unamjua aliemuua. Kama una akili sawasawa, huwezi kubisha alichosema Kabendera bila wewe kuwa na taarifa kamili tofauti na aliyosema Kabendera
- kwamba Kabendera hawezi hata siku moja kufumuka tu na kuandika kitu kama hicho kwenye kitabu. Ni wazi ana uhakika na anachokisema, na kwamba ana ushahidi zaidi na serikali haitamchukulia hatua kwa sababu wakimpeleka mahakamani watakuwa wamempa ukumbi wa kumwaga ukweli wa jambo hili na serikali ya CCM haitaki kabisa hilo litokee (sawa na Marekani waliposema Makonda ni muuaji, ulisikia serikali ikipinga au kuishutumu Marekani? Unafikiri kwa nini serikali iliufyata?)
- Magufuli kama raisi angeweza kumpiga mtu yeyote risasi na kumuua bila kushitakiwa au kufanywa lolote kwa sababu Katiba yetu inampa uhuru raisi kumuua mtu na raisi asifanywe lolote! Hata Raisi Samia leo akifanya hivyo hutamfanya chochote na ataendelea kuwa raisi
- kwamba Magufuli alipompiga risasi Ben Saanane kuna watu walikuwapo na walishuhudia hilo na hawa ndio waliompa taarifa Kabendera, wao hawawezi kuzitoa hadharani, na huenda wengine walioliona hilo tukio "walishapotezewa"
- kwamba Magufuli alikuwa anawachukia wapinzani kwa kiwango kisicho kawaida, chuki ya kiwango cha kuwa "kichaa", cha kufikia kuwaadhibu CCM waliowapa pole wapinzani wakiumwa, na hata kumwona Samia na wengine kuwa ni wasaliti walipomtembelea Lisu hospitali (the most intense level on the emotional scale of anger toward opposition parties' members, and this became animosity that was deeply entrenched towards specific individuals like Tundu Lissu, Ben Saanane etc, and he developed personal vendettas against them).
- kwamba Magufuli alikuwa na chuki kali na vandetta dhidi ya Ben Saanane zaidi ya kukosolewa uongozi, pale Ben Saanae alipokuwa akisema Magufuli alikuwa na PhD fake ya kubangua korosho - ikumbukwe kuna waziri maarufu mstaafu na professor aliuliza hawa mawaziri wanapata wapi muda wa kufanya PhD wakiwa kazini? Ni wazi wanawalipa supervisors au watu wengine wawafanyie PhD
- kwamba Magufuli alikuwa na tabia ya kutembea na bastola akiwa tayari kuua mtu, hata pale alipokuwa akikagua miradi yake alishikilia bastola mkononi. Kuua mtu kwa bastola ni rahisi mno, hasa kwa mtu mwenye chuki ya juu kwa wapinzani kama ya Magufuli. Hivyo kumuua Ben Saanane kuna-fit attitude profile ya Magufuli
- kwamba kwa wanaomfahamu Magufuli watakuambia wazi alikuwa hayuko sawa kichwani na kuua mtu kwa risasi ingewezekana kabisa kwake. Huyu ni Magufuli ambae alimpiga sana mtoto wake karibu kumuua kwa kosa la kufeli mitihani tu; huyu ni Magufuli aliemkana binti yake na kusema sio binti yake tena kwa sababu aliokoka na kuolewa na mlokole; huyu ni Magufuli alifiwa mtoto katika mazingira yenye utata na ikasemwa alikufa kwa malaria, tetesi zikisema alimpiga hadi kumuua; na huyu ni Magufuli aliekuwa akimpiga mkewe hadi hatua ya kukaribia kufa na kulazwa hospitali; sasa sembuse Ben Saanane ambae alikuwa sio ndugu yake na alikuwa na hasira nae ya kukosolewa? Magufuli hakuwa sawa kichwani, hilo ni wazi sana
- kwamba Magufuli katika uhai wake akiwa shule alikuwa na tatizo la kuvuta bangi, na tunajua ukivuta bangi mara moja inaweza kukaa kichwani kwa miaka 12, na hatujui alivuta bangi mara ngapi
- kama Marekani walikuwa na ushahidi juu ya Makonda kuua watu waliopinga serikali, ni wazi alifanya hivyo kwa kibali cha Magufuli, na kama Magufuli alimruhusu Makonda kuua watu basi kwa nini yeye binafsi asindwe kumuua mmojawapo wa aiana ya watu aliomruhusu Makonda kuwaua?
- kigugumizi cha polisi katika kupeleleza na kukamata watu waliopotea au kuuwawa, hasa wapinzani wa serikali, ni wazi kwamba vifo hivi ninahusisha watu wakubwa walioko serikalini, kutia ndani mtu kama Magufuli, au kwamba viliidhinishwa na Magufuli, pamoja na jaribio la kumuua Tundu Lisu
View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=4QpdGYaV7b42UJjx
Conclusion: Kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi ya kichwa point-blank ina fit vizuri kabisa profile ya Magufuli. Alikuwa mtu wa namna hiyo, upende usipende, na huo ndio ukweli. Kichaa alipewa rungu.
Huyo Kabendera Mwenyewe Ukimuangalia Vizuri tu Jinsi Alivyo kuwacha Mandevu Mengi na nywele Chafu chafu Utajua Tu Kabendera ni kichaa, na Mpumbavu Mmoja Anayetumiwa na MabeberuUmeandika ujinga wa kiwango Cha PhD. Walewale wajinga kama akina kabendera. Nilitegemea uweke ushahidi hapo kumbe porojo za kijinga tu. Nyie mashetani kama wewe Huwa mnazaliwa wapi na akina nani? Shetani mkubwa na ujinga wako kufa haraka tupunguze mashetani nchini.
Unless you disapprove otherwise ni ukwel na ww usiye Amin ndo uende mirembeAnayeamini huo ujinga wa kabendera ni kichaa na anatakiwa kupelekwa hospitali ya vichaa milembe Dodoma.
NImeongea from medical point of view. Nimeshauri tuu, kama ni mtu wako wa karibu, msaidie kwa kum link na msaada wa kisaikolojia. Hayuko sawa, hata kama anaweza kuwa ameandika unayopenda kusikia. Msaidie. Tuna watu wengi, matatizo yao yamebainika kwenye hatua za mwisho, wakati wanaoishi nao wangewasaidia mapema, wasingefika huko.Hebu soma maelezo yake katika haya mahojiano juu ya uandishi wa hiki kitabu halafu utuambie ana PTS.
View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=4QpdGYaV7b42UJjx
Labda wewe ndio una PTS kwa kumoteza Magufuli
Milembe si Hospitali ya Vichaa kama unavyotaka kuiamvia jamii. Milembe ni Hospitali ya Afya ya Akili.Anayeamini huo ujinga wa kabendera ni kichaa na anatakiwa kupelekwa hospitali ya vichaa milembe Dodoma.
Taaluma yake haikupenda bla bla! Historia ya magufuli sio Kama inavyoandikwa kwakumchafua hivyo. Nyoyo za watanzania zinajua kung'amua uzuri na ustadi wa uongozi wake.Mtu akiwa kiongiozi ataandikwa tu.
Watu wanataka kujifunza kutoka maisha yake.
Kama hakutaki kuandikwa asingechagua kuwa kiongozi.
Kamuulize mwenyewe, mimi sijui.
Kama mnaona kasema uongo, mshitakini mahakamani mpate ukweli.
Mshitakini Kabendera atarudi.Mimi sifanyi ushabiki hapa; ninachoangalia ni balance ya story.
Mbaya wake huyo dogo hatunaye tena duniani. Kama Kabendera anaisimamia kweli arudi nyumbani sasa ili yeyote anayetaka kumshitaki afanye hivyo kwa urahisi. Vinginevyo, anayasema haya kwa kujua uwezekano wa yeye kushitakiwa ni remote!
Kabendera kaandika Magufuli alikuwa mtu wa fujo tangu shuleni, akafukuzwa.Taaluma yake haikupenda bla bla! Historia ya magufuli sio Kama inavyoandikwa kwakumchafua hivyo. Nyoyo za watanzania zinajua kung'amua uzuri na ustadi wa uongozi wake.
Mimi nilikuwa sengerema katika shule aliyokuwa Kama mwl mkuu pale, historia ya taaluma yake Ni njema na misimamo yake ilijikita ktk masuala ya msingi tu. Na unaambiwa alikuwa akishaingia darasani akaanza kufundisha Basi hata kama dent umechelewa we pitiliza ukakae kuliko kuanza kupiga hodi ili akuruhusu uingie jambo lililokuwa likimkera kiasi Cha kutoa adhabu.
Huo ndio mwenendo mwema wa kiongozi makini. Tanzania imeongozwa vizuri zaidi na viongozi zao la taaluma ya ualimu pekee na sio kwingineko. Wote waliotoka nje ya taaluma hiyo tunaona wazi wazi kutoridhishwa kwa wananchi na mwenendo wa nchi.
Lkn mnatumia nguvu kubwa Sana kuwaaminisha wananchi kwamba jpm alikuwa mbaya. Mnasema vema lkn alikuwa mbaya kwa wabaya. Ninyi endeleeni kupiga domo lkn macho Ni kipimo mkuu kiranga.
Angekuwa mtu wa kurudi angekuwa amesharudi kitambo. Let the gullible target buy the worthless book mwenyewe apate pesa!Mshitakini Kabendera atarudi.
Au akikataa mnaweza hata kufanya trial in absentia.
Mshitakini tupate nafasi ya kusikia maneno ya ushahidi wa mahakamani ulio chini ya kiapo.
Msipomshitaki mmekubali tuhuma na kuogopa kwenda mahakamani kuongea madudu mengine zaidi.Angekuwa mtu wa kurudi angekuwa amesharudi kitambo. Let the gullible target buy the worthless book mwenyewe apate pesa!
Nitasoma lakini nimeshacheka sana hapaSoma kitabu mkuu.
Porojo hizo mkuu. Mbona hatujaona akishtakiwa? Sababu ishu hiyo Ni ya jinai Ni lazima ingemtoa kwenye reli ya uongozi lkn Hadi unaona vyeo vinapanda Ni kwamba uwezo wa uongozi wake ulizidi scandal zilizokuwa zikimkabili.Kabendera kaandika Magufuli alikuwa mtu wa fujo tangu shuleni, akafukuzwa.
Akaweka kisasi kwa miaka na miaka alivyokuwa rais alimvua uraia yule Askofu aliyekuwa kaongoza shule ya seminary aliyosoma.
Mpaka Kanisa la Katoliki likaingilia na kumwambia Magufuli aache uonevu.
Nenda kasome kitabu uone jinsi Magufuli alivyomuambukiza HIV mtoto wake mwenyewe wa miaka 16 Juliana kwa raoe mpaka mke wake Janet akampandishia Magufuli wakakorofishana, Magufuli akampiga Juliana mpaka mtoto akafariki.
Kabendera kaandika yote hayo kwenye kitabu.
Hizi ni tuhuma kubwa sana.
Kama Kabendera kaandika uongo, familia ya Magufuki imshitaki Kabendera mahakamani tujue ukwelinutakaosemwa katika ishahidi wa mahakamani chini ya kiapo at the possible penalty of perjury.
Hiyo cha mtoto, kuna habari za kusikitisha sana kama ni za kweli.N
Nitasoma lakini nimeshacheka sana hapa
He’s typical of cowards. They attack those who cannot defend themselves!Msipomshitaki mmekubali tuhuma na kuogopa kwenda mahakamani kuongea madudu mengine zaidi.
Silence implies consent.
Mimi naelewa sana watu washua wasipoamini hizi habari.Porojo hizo mkuu. Mbona hatujaona akishtakiwa? Sababu ishu hiyo Ni ya jinai Ni lazima ingemtoa kwenye reli ya uongozi lkn Hadi unaona vyeo vinapanda Ni kwamba uwezo wa uongozi wake ulizidi scandal zilizokuwa zikimkabili.
Ishu ya kunywa pombe hiyo sikatai maana jamaa pale sengerema Ana historia ya ulevi hatari, hata mtoto atakueleza hilo.
Mambo mengine hayo Ni kuandika kutokana na majeraha waliopitia baadhi wasio wema wakati wa uongozi wake. Sirias kiranga nakwambia hakuna yeyote mwenye chembe ya chuki juu ya jpm ambaye hakujeruhiwa ktk awamu yake. Na wote waliowahi jeruhiwa hakuna hata mmoja smart, Kama yupo mtaje tuone
swala sio kumsema bali wamelenga nini katika kuibua hilo jambo wakati huu kwa nini wasiseme ya samia ambae yuko hai aje ajibu shutuma zake? Au yeye ni msafi?Hata Hitler, Idd Amin, Bokassa, Mussolini bado wanasema(wanasingiziwa?) na hawana uwezo wa kujitetea. Hivyo basi Magu kama hao 'wenzake' naye ataendelea kusemwa tu, hivyo ndivyo jinsi uhalisia ulivyo.
Jamaa kang’angania eti mumshitaki Kabendera!He’s typical of cowards. They attack those who cannot defend themselves!