Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

Magufuli kampiga mtoto wake mwenyewe mpaka kamuua, hakusubiri kuingia Ikulu kuua.

Kwani kumshitaki ni kazima JPM? Hakuna familia ya JPM? Hakuna estate ya JPM?

Mshitakini tuone maneno ya mahakamani yatakuwa vipi, under oath, at the possible penalty of perjury.

Mkikaa kimya washabiki wa Magufuli, mmekubali shutuma ni za kweli.
Mimi sifanyi ushabiki hapa; ninachoangalia ni balance ya story.

Mbaya wake huyo dogo hatunaye tena duniani. Kama Kabendera anaisimamia kweli arudi nyumbani sasa ili yeyote anayetaka kumshitaki afanye hivyo kwa urahisi. Vinginevyo, anayasema haya kwa kujua uwezekano wa yeye kushitakiwa ni remote!
 
Sawa Erick Kabendera ameandika kwamba raisi Magufuli alimpiga risasi ya kichwa Ben Saanane pale Ikulu Dar es Salaam.

Sasa ukitaka kujua umbumbumbu wa watu, ni pale mtu anaibuka tu na kusema Kabendera mwongo! Watu hata hawataki kuhoji taarifa hii Kabendera kaitoa wapi - japo ametaja wazi kuwa source yake inatia watu walioko serikalini. Wengine hata wanadiriki kusema Kabendera akamatwe na kutiwa ndani kwa kuandika jambo hili!

Watu wote wanaopinga hii taarifa ya Kabendera wanapaswa kutambua yafuatayo;
  • ikiwa unashupalia Kabendera ni muongo, basi wewe unapaswa kujua ukweli juu ya kupotea kwa Ben Saanane au yuko wapi kama yupo hai, au unamjua aliemuua. Kama una akili sawasawa, huwezi kubisha alichosema Kabendera bila wewe kuwa na taarifa kamili tofauti na aliyosema Kabendera
  • kwamba Kabendera hawezi hata siku moja kufumuka tu na kuandika kitu kama hicho kwenye kitabu. Ni wazi ana uhakika na anachokisema, na kwamba ana ushahidi zaidi na serikali haitamchukulia hatua kwa sababu wakimpeleka mahakamani watakuwa wamempa ukumbi wa kumwaga ukweli wa jambo hili na serikali ya CCM haitaki kabisa hilo litokee (sawa na Marekani waliposema Makonda ni muuaji, ulisikia serikali ikipinga au kuishutumu Marekani? Unafikiri kwa nini serikali iliufyata?)
  • Magufuli kama raisi angeweza kumpiga mtu yeyote risasi na kumuua bila kushitakiwa au kufanywa lolote kwa sababu Katiba yetu inampa uhuru raisi kumuua mtu na raisi asifanywe lolote! Hata Raisi Samia leo akifanya hivyo hutamfanya chochote na ataendelea kuwa raisi
  • kwamba Magufuli alipompiga risasi Ben Saanane kuna watu walikuwapo na walishuhudia hilo na hawa ndio waliompa taarifa Kabendera, wao hawawezi kuzitoa hadharani, na huenda wengine walioliona hilo tukio "walishapotezewa"
  • kwamba Magufuli alikuwa anawachukia wapinzani kwa kiwango kisicho kawaida, chuki ya kiwango cha kuwa "kichaa", cha kufikia kuwaadhibu CCM waliowapa pole wapinzani wakiumwa, na hata kumwona Samia na wengine kuwa ni wasaliti walipomtembelea Lisu hospitali (the most intense level on the emotional scale of anger toward opposition parties' members, and this became animosity that was deeply entrenched towards specific individuals like Tundu Lissu, Ben Saanane etc, and he developed personal vendettas against them).
  • kwamba Magufuli alikuwa na chuki kali na vandetta dhidi ya Ben Saanane zaidi ya kukosolewa uongozi, pale Ben Saanae alipokuwa akisema Magufuli alikuwa na PhD fake ya kubangua korosho - ikumbukwe kuna waziri maarufu mstaafu na professor aliuliza hawa mawaziri wanapata wapi muda wa kufanya PhD wakiwa kazini? Ni wazi wanawalipa supervisors au watu wengine wawafanyie PhD
  • kwamba Magufuli alikuwa na tabia ya kutembea na bastola akiwa tayari kuua mtu, hata pale alipokuwa akikagua miradi yake alishikilia bastola mkononi. Kuua mtu kwa bastola ni rahisi mno, hasa kwa mtu mwenye chuki ya juu kwa wapinzani kama ya Magufuli. Hivyo kumuua Ben Saanane kuna-fit attitude profile ya Magufuli
  • kwamba kwa wanaomfahamu Magufuli watakuambia wazi alikuwa hayuko sawa kichwani na kuua mtu kwa risasi ingewezekana kabisa kwake. Huyu ni Magufuli ambae alimpiga sana mtoto wake karibu kumuua kwa kosa la kufeli mitihani tu; huyu ni Magufuli aliemkana binti yake na kusema sio binti yake tena kwa sababu aliokoka na kuolewa na mlokole; huyu ni Magufuli alifiwa mtoto katika mazingira yenye utata na ikasemwa alikufa kwa malaria, tetesi zikisema alimpiga hadi kumuua; na huyu ni Magufuli aliekuwa akimpiga mkewe hadi hatua ya kukaribia kufa na kulazwa hospitali; sasa sembuse Ben Saanane ambae alikuwa sio ndugu yake na alikuwa na hasira nae ya kukosolewa? Magufuli hakuwa sawa kichwani, hilo ni wazi sana
  • kwamba Magufuli katika uhai wake akiwa shule alikuwa na tatizo la kuvuta bangi, na tunajua ukivuta bangi mara moja inaweza kukaa kichwani kwa miaka 12, na hatujui alivuta bangi mara ngapi
  • kama Marekani walikuwa na ushahidi juu ya Makonda kuua watu waliopinga serikali, ni wazi alifanya hivyo kwa kibali cha Magufuli, na kama Magufuli alimruhusu Makonda kuua watu basi kwa nini yeye binafsi asindwe kumuua mmojawapo wa aiana ya watu aliomruhusu Makonda kuwaua?
  • kigugumizi cha polisi katika kupeleleza na kukamata watu waliopotea au kuuwawa, hasa wapinzani wa serikali, ni wazi kwamba vifo hivi ninahusisha watu wakubwa walioko serikalini, kutia ndani mtu kama Magufuli, au kwamba viliidhinishwa na Magufuli, pamoja na jaribio la kumuua Tundu Lisu
Kama Kabendera alivyosema, alichoandika kina ushahidi kamili na ameruhusiwa kukiandika baada ya ushahidi uliopo kupitiwa na manguli wa sheria, kama anavyojieleza kuhusu hiki kitabu katika link hii hapa chini

View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=4QpdGYaV7b42UJjx

Conclusion: Kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi ya kichwa point-blank ina fit vizuri kabisa profile ya Magufuli. Alikuwa mtu wa namna hiyo, upende usipende, na huo ndio ukweli. Kichaa alipewa rungu.
Vyeti feki huwa mna hasira sana na Magu🤣

Wakati sie tunasota juu ya dawati nyie mlikuwa wapi??
 
Umeandika ujinga wa kiwango Cha PhD. Walewale wajinga kama akina kabendera. Nilitegemea uweke ushahidi hapo kumbe porojo za kijinga tu. Nyie mashetani kama wewe Huwa mnazaliwa wapi na akina nani? Shetani mkubwa na ujinga wako kufa haraka tupunguze mashetani nchini.
Huyo Kabendera Mwenyewe Ukimuangalia Vizuri tu Jinsi Alivyo kuwacha Mandevu Mengi na nywele Chafu chafu Utajua Tu Kabendera ni kichaa, na Mpumbavu Mmoja Anayetumiwa na Mabeberu
 
Hebu soma maelezo yake katika haya mahojiano juu ya uandishi wa hiki kitabu halafu utuambie ana PTS.

View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=4QpdGYaV7b42UJjx

Labda wewe ndio una PTS kwa kumoteza Magufuli
NImeongea from medical point of view. Nimeshauri tuu, kama ni mtu wako wa karibu, msaidie kwa kum link na msaada wa kisaikolojia. Hayuko sawa, hata kama anaweza kuwa ameandika unayopenda kusikia. Msaidie. Tuna watu wengi, matatizo yao yamebainika kwenye hatua za mwisho, wakati wanaoishi nao wangewasaidia mapema, wasingefika huko.
It's a POLITE REMINDER. Si kwa Ubaya.
 
Mtu akiwa kiongiozi ataandikwa tu.

Watu wanataka kujifunza kutoka maisha yake.

Kama hakutaki kuandikwa asingechagua kuwa kiongozi.
Kamuulize mwenyewe, mimi sijui.

Kama mnaona kasema uongo, mshitakini mahakamani mpate ukweli.
Taaluma yake haikupenda bla bla! Historia ya magufuli sio Kama inavyoandikwa kwakumchafua hivyo. Nyoyo za watanzania zinajua kung'amua uzuri na ustadi wa uongozi wake.

Mimi nilikuwa sengerema katika shule aliyokuwa Kama mwl mkuu pale, historia ya taaluma yake Ni njema na misimamo yake ilijikita ktk masuala ya msingi tu. Na unaambiwa alikuwa akishaingia darasani akaanza kufundisha Basi hata kama dent umechelewa we pitiliza ukakae kuliko kuanza kupiga hodi ili akuruhusu uingie jambo lililokuwa likimkera kiasi Cha kutoa adhabu.

Huo ndio mwenendo mwema wa kiongozi makini. Tanzania imeongozwa vizuri zaidi na viongozi zao la taaluma ya ualimu pekee na sio kwingineko. Wote waliotoka nje ya taaluma hiyo tunaona wazi wazi kutoridhishwa kwa wananchi na mwenendo wa nchi.

Lkn mnatumia nguvu kubwa Sana kuwaaminisha wananchi kwamba jpm alikuwa mbaya. Mnasema vema lkn alikuwa mbaya kwa wabaya. Ninyi endeleeni kupiga domo lkn macho Ni kipimo mkuu kiranga.
 
Mimi sifanyi ushabiki hapa; ninachoangalia ni balance ya story.

Mbaya wake huyo dogo hatunaye tena duniani. Kama Kabendera anaisimamia kweli arudi nyumbani sasa ili yeyote anayetaka kumshitaki afanye hivyo kwa urahisi. Vinginevyo, anayasema haya kwa kujua uwezekano wa yeye kushitakiwa ni remote!
Mshitakini Kabendera atarudi.

Au akikataa mnaweza hata kufanya trial in absentia.

Mshitakini tupate nafasi ya kusikia maneno ya ushahidi wa mahakamani ulio chini ya kiapo.
 
Taaluma yake haikupenda bla bla! Historia ya magufuli sio Kama inavyoandikwa kwakumchafua hivyo. Nyoyo za watanzania zinajua kung'amua uzuri na ustadi wa uongozi wake.

Mimi nilikuwa sengerema katika shule aliyokuwa Kama mwl mkuu pale, historia ya taaluma yake Ni njema na misimamo yake ilijikita ktk masuala ya msingi tu. Na unaambiwa alikuwa akishaingia darasani akaanza kufundisha Basi hata kama dent umechelewa we pitiliza ukakae kuliko kuanza kupiga hodi ili akuruhusu uingie jambo lililokuwa likimkera kiasi Cha kutoa adhabu.

Huo ndio mwenendo mwema wa kiongozi makini. Tanzania imeongozwa vizuri zaidi na viongozi zao la taaluma ya ualimu pekee na sio kwingineko. Wote waliotoka nje ya taaluma hiyo tunaona wazi wazi kutoridhishwa kwa wananchi na mwenendo wa nchi.

Lkn mnatumia nguvu kubwa Sana kuwaaminisha wananchi kwamba jpm alikuwa mbaya. Mnasema vema lkn alikuwa mbaya kwa wabaya. Ninyi endeleeni kupiga domo lkn macho Ni kipimo mkuu kiranga.
Kabendera kaandika Magufuli alikuwa mtu wa fujo tangu shuleni, akafukuzwa.

Akaweka kisasi kwa miaka na miaka alivyokuwa rais alimvua uraia yule Askofu aliyekuwa kaongoza shule ya seminary aliyosoma.

Mpaka Kanisa la Katoliki likaingilia na kumwambia Magufuli aache uonevu.

Nenda kasome kitabu uone jinsi Magufuli alivyomuambukiza HIV mtoto wake mwenyewe wa miaka 16 Juliana kwa raoe mpaka mke wake Janet akampandishia Magufuli wakakorofishana, Magufuli akampiga Juliana mpaka mtoto akafariki.

Kabendera kaandika yote hayo kwenye kitabu.

Hizi ni tuhuma kubwa sana.

Kama Kabendera kaandika uongo, familia ya Magufuki imshitaki Kabendera mahakamani tujue ukwelinutakaosemwa katika ishahidi wa mahakamani chini ya kiapo at the possible penalty of perjury.
 
Mshitakini Kabendera atarudi.

Au akikataa mnaweza hata kufanya trial in absentia.

Mshitakini tupate nafasi ya kusikia maneno ya ushahidi wa mahakamani ulio chini ya kiapo.
Angekuwa mtu wa kurudi angekuwa amesharudi kitambo. Let the gullible target buy the worthless book mwenyewe apate pesa!
 
Angekuwa mtu wa kurudi angekuwa amesharudi kitambo. Let the gullible target buy the worthless book mwenyewe apate pesa!
Msipomshitaki mmekubali tuhuma na kuogopa kwenda mahakamani kuongea madudu mengine zaidi.

Silence implies consent.
 
Kabendera kaandika Magufuli alikuwa mtu wa fujo tangu shuleni, akafukuzwa.

Akaweka kisasi kwa miaka na miaka alivyokuwa rais alimvua uraia yule Askofu aliyekuwa kaongoza shule ya seminary aliyosoma.

Mpaka Kanisa la Katoliki likaingilia na kumwambia Magufuli aache uonevu.

Nenda kasome kitabu uone jinsi Magufuli alivyomuambukiza HIV mtoto wake mwenyewe wa miaka 16 Juliana kwa raoe mpaka mke wake Janet akampandishia Magufuli wakakorofishana, Magufuli akampiga Juliana mpaka mtoto akafariki.

Kabendera kaandika yote hayo kwenye kitabu.

Hizi ni tuhuma kubwa sana.

Kama Kabendera kaandika uongo, familia ya Magufuki imshitaki Kabendera mahakamani tujue ukwelinutakaosemwa katika ishahidi wa mahakamani chini ya kiapo at the possible penalty of perjury.
Porojo hizo mkuu. Mbona hatujaona akishtakiwa? Sababu ishu hiyo Ni ya jinai Ni lazima ingemtoa kwenye reli ya uongozi lkn Hadi unaona vyeo vinapanda Ni kwamba uwezo wa uongozi wake ulizidi scandal zilizokuwa zikimkabili.

Ishu ya kunywa pombe hiyo sikatai maana jamaa pale sengerema Ana historia ya ulevi hatari, hata mtoto atakueleza hilo.

Mambo mengine hayo Ni kuandika kutokana na majeraha waliopitia baadhi wasio wema wakati wa uongozi wake. Sirias kiranga nakwambia hakuna yeyote mwenye chembe ya chuki juu ya jpm ambaye hakujeruhiwa ktk awamu yake. Na wote waliowahi jeruhiwa hakuna hata mmoja smart, Kama yupo mtaje tuone
 
Porojo hizo mkuu. Mbona hatujaona akishtakiwa? Sababu ishu hiyo Ni ya jinai Ni lazima ingemtoa kwenye reli ya uongozi lkn Hadi unaona vyeo vinapanda Ni kwamba uwezo wa uongozi wake ulizidi scandal zilizokuwa zikimkabili.

Ishu ya kunywa pombe hiyo sikatai maana jamaa pale sengerema Ana historia ya ulevi hatari, hata mtoto atakueleza hilo.

Mambo mengine hayo Ni kuandika kutokana na majeraha waliopitia baadhi wasio wema wakati wa uongozi wake. Sirias kiranga nakwambia hakuna yeyote mwenye chembe ya chuki juu ya jpm ambaye hakujeruhiwa ktk awamu yake. Na wote waliowahi jeruhiwa hakuna hata mmoja smart, Kama yupo mtaje tuone
Mimi naelewa sana watu washua wasipoamini hizi habari.

Kwa sababu ni mbaya sana kiasi zinakufanya ujiulize maswali mengi sana.

Haziendani na ushua, kishuashua hata rais akikosea basi anakosea kishua.

Lakini hizi habari ni ut of the pale.

Na hii ndiyo sababu nasema Kibwndera ashitakiwe tusikie habari nzima mahakamani kwenye rules of evidence na perjury tujue uongo uko wapi na ukweli uko wapi.

Kabendera ashitakiwe tu tusikie habari nzima, maana mwenyewe anasema hata alichoandika ni kama robo tu ya mambo yote anayoyajua.

Sasa , wasipomshitaki, wengine tutaona labda ni kwa sababu wanaogopa asitie hiyo 75% nyingine.
 
Hata Hitler, Idd Amin, Bokassa, Mussolini bado wanasema(wanasingiziwa?) na hawana uwezo wa kujitetea. Hivyo basi Magu kama hao 'wenzake' naye ataendelea kusemwa tu, hivyo ndivyo jinsi uhalisia ulivyo.
swala sio kumsema bali wamelenga nini katika kuibua hilo jambo wakati huu kwa nini wasiseme ya samia ambae yuko hai aje ajibu shutuma zake? Au yeye ni msafi?
 
Jamani mwacheni Hayati rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli apumzike kwa amani, kwa nini mpaka sasa ni mwaka wa tatu kuelekea wa nne hayupo duniani lakini bado mnahangaika naye?
 
He’s typical of cowards. They attack those who cannot defend themselves!
Jamaa kang’angania eti mumshitaki Kabendera!

Mumshitaki akina nani?

Anarundika watu kwenye tenga moja wanaotilia mashaka hayo madai.

Mashitaka hayafunguliwi tu kiholela na yeyote yule anayejisikia au anayetaka.

Mfungua mashitaka ni lazima awe na standing. Ni lazima aonyeshe injury.

Kwenye hili, wa kwanza wanaoweza kufungua mashitaka [ambayo yatakuwa ni ya madai] ni familia: mke, watoto, labda na ndugu wengine.

Kung’ang’ana tu mshtakini…mshtakini is so disingenuous.

No one can just walk up to the clerk of court and file a lawsuit, just because.

Wanataka watu wasihoji madai ya huyo Kabendera as if he owns the truth.

Some of these people, man! SMH.
 
Tujitahidi tusomeshe watoto kwenye shule bora.
Hizo shule zenu zinawafundisha ujinga, ndio maana comments nyingi ziba expose ujinga wenu.
 
Back
Top Bottom