akiyanani yule mzee hakuwa mzima kwakeli alimbebesha mama wa watu kokoto kisa hakuwaambia walileta wamwage wapi hiko kifusi isee.. na mtoto kufeli chuo kipigo akapigwa mama wa watu nusu kufa.. aafu akajipeleka hospitali na makamera eti kwenda kumuangalia.!Mimi sina ushahidi ila kwa hulka za Jiwe nilizozijua kabla hata hajawa Rais, hayo mambo yanawezekana. Muulizeni mama Janeth alibebeshwa kokoto
si vema mtu ana maradhi alafu anagombea uongoziSuala la afya ya mtu si lako, ni la Mungu.
si vema mtu ana maradhi alafu anagombea uongozi
Ni sawa na kusema haiwezekani mwanaume akawa na mke na akajichua.Kwa nguvu ambayo Rais wa tz anayo uwez kusema alimuua mtu tena ikulu no way
Nonsense!.Katika harakati za kugombea ubunge, pia ana tuhuma za kumuwekea sumu mmoja ya wagombea ambaye alikuwa na cheo kikubwa pale ginnery ya chato, jamaa figo zikafeli.
Ikabidi jamaa akaanza process ya kutibiwa, akapata nafasi ya kwenda India. Ila kila muda wa safari ukifika, jalada la hospitali linapotea, wenzake wanaenda India. Suspect, JP ndiye alikuwa ana-influence ili jamaa afe, yeye abaki na ubunge
JK alipopata taarifa, akaingilia kati ndipo jamaa akaenda kutibiwa.
Kuwachapa viboko dada zake ilikuwa kawaida.
Kuna stori ya mdogo wake anaitwa Goro ambaye alitoa coaster ya hotel ili isaidie kusafirisha maiti pale pale Chato mjini. Wako njiani JP akapiga simu, anamwambia washushe hapohapo kwa kuwa ametoa gari bila ruhusa yake. Ikawa tafrani. Dogo akagoma kushusha maiti barabarani. Wakawa maadui wa kutupwa.
We ungeweza?Duuh wakati magu akiwa hai huyo chizi alikuwa wapi kuyasema mapema
Itabakia ukweli, vinginevyo Ben aletwe akiwa hai ..Umeandika ujinga wa kiwango Cha PhD. Walewale wajinga kama akina kabendera. Nilitegemea uweke ushahidi hapo kumbe porojo za kijinga tu. Nyie mashetani kama wewe Huwa mnazaliwa wapi na akina nani? Shetani mkubwa na ujinga wako kufa haraka tupunguze mashetani nchini.
😀Ni sawa na kusema haiwezekani mwanaume akawa na mke na akajichua.
Kwanini isiwezekane? Sijasema aliua.
Nilibadili jina mimi mwenyewe, sio modsNonsense!.
Jinalako lamwanzo lilikuwa linaendana na akilizako, mods ,wangekuachatu uendelee kulitumia.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Nyani Ngabu umepashwa upashike (kama bado hujasahau kiswahili sanifu)Sawa Erick Kabendera ameandika kwamba raisi Magufuli alimpiga risasi ya kichwa Ben Saanane pale Ikulu Dar es Salaam.
Sasa ukitaka kujua umbumbumbu wa watu, ni pale mtu anaibuka tu na kusema Kabendera mwongo! Watu hata hawataki kuhoji taarifa hii Kabendera kaitoa wapi - japo ametaja wazi kuwa source yake inatia watu walioko serikalini. Wengine hata wanadiriki kusema Kabendera akamatwe na kutiwa ndani kwa kuandika jambo hili!
Watu wote wanaopinga hii taarifa ya Kabendera wanapaswa kutambua yafuatayo;
Conclusion: Kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi ya kichwa point-blank ina fit vizuri kabisa profile ya Magufuli. Alikuwa mtu wa namna hiyo, upende usipende, na huo ndio ukweli.
- ikiwa unashupalia Kabendera ni muongo, basi wewe unapaswa kujua ukweli juu ya kupotea kwa Ben Saanane au yuko wapi kama yupo hai, au unamjua aliemuua. Kama una akili sawasawa, huwezi kubisha alichosema Kabendera bila wewe kuwa na taarifa kamili tofauti na aliyosema Kabendera
- kwamba Kabendera hawezi hata siku moja kufumuka tu na kuandika kitu kama hicho kwenye kitabu. Ni wazi ana uhakika na anachokisema, na kwamba ana ushahidi zaidi na serikali haitamchukulia hatua kwa sababu wakimpeleka mahakamani watakuwa wamempa ukumbi wa kumwaga ukweli wa jambo hili na serikali ya CCM haitaki kabisa hilo litokee (sawa na Marekani waliposema Makonda ni muuaji, ulisikia serikali ikipinga au kuishutumu Marekani? Unafikiri kwa nini serikali iliufyata?)
- Magufuli kama raisi angeweza kumpiga mtu yeyote risasi na kumuua bila kushitakiwa au kufanywa lolote kwa sababu Katiba yetu inampa uhuru raisi kumuua mtu na raisi asifanywe lolote! Hata Raisi Samia leo akifanya hivyo hutamfanya chochote na ataendelea kuwa raisi
- kwamba Magufuli alipompiga risasi Ben Saanane kuna watu walikuwapo na walishuhudia hilo na hawa ndio waliompa taarifa Kabendera, wao hawawezi kuzitoa hadharani, na huenda wengine walioliona hilo tukio "walishapotezewa"
- kwamba Magufuli alikuwa anawachukia wapinzani kwa kiwango kisicho kawaida, chuki ya kiwango cha kuwa "kichaa", cha kufikia kuwaadhibu CCM waliowapa pole wapinzani wakiumwa, na hata kumwona Samia na wengine kuwa ni wasaliti walipomtembelea Lisu hospitali (the most intense level on the emotional scale of anger toward opposition parties' members, and this became animosity that was deeply entrenched towards specific individuals like Tundu Lissu, Ben Saanane etc, and he developed personal vendettas against them).
- kwamba Magufuli alikuwa na tabia ya kutembea na bastora akiwa tayari kuua mtu, hata pale alipokuwa akikagua miradi yake alishikilia bastora mkononi. Kuua mtu kwa bastora ni rahisi mno, hasa kwa mtu mwenye kuchukia wapinzani kama Magufuli. Hivyo kumuua Ben Saanane kuna-fit attitude profile ya Magufuli
- kwamba kwa wanaomfahamu Magufuli watakuambia wazi alikuwa hayuko sawa kichwani na kuua mtu kwa risasi ingewezekana kabisa kwake. Huyu ni Magufuli ambae alimpiga sana mtoto wake karibu kumuua kwa kosa la kufeli mitihani tu; huyu ni Magufuli aliemkana binti yake na kusema sio binti yake tena kwa sababu aliokoka na kuolewa na mlokole; na huyu ni Magufuli aliekuwa akimpiga mkewe hadi hatua ya kukaribia kufa na kulazwa hospitali; sasa sembuse Ben Saanane ambae alikuwa sio ndugu yake na alikuwa na hasira nae ya kukosolewa? Magufuli hakuwa sawa kichwani, hilo ni wazi sana
- kama Marekani walikuwa na ushahidi juu ya Makonda kuua watu waliopinga serikali, ni wazi alifanya hivyo kwa kibali cha Magufuli, na kama Magufuli alimruhusu Makonda kuua watu basi kwa nini yeye binafsi asindwe kumuua mmojawapo wa aiana ya watu aliomruhusu Makonda kuwaua?
- kigugumizi cha polisi katika kupeleleza na kukamata watu waliopotea au kuuwawa, hasa wapinzani wa serikali, ni wazi kwamba vifo hivi ninahusisha watu wakubwa walioko serikalini, kutia ndani mtu kama Magufuli, au kwamba viliidhinishwa na Magufuli, pamoja na jaribio la kumuua Tundu Lisu
Kumbe jamaa alikuwa na issue ya afya ya akili?!!Sawa Erick Kabendera ameandika kwamba raisi Magufuli alimpiga risasi ya kichwa Ben Saanane pale Ikulu Dar es Salaam.
Sasa ukitaka kujua umbumbumbu wa watu, ni pale mtu anaibuka tu na kusema Kabendera mwongo! Watu hata hawataki kuhoji taarifa hii Kabendera kaitoa wapi - japo ametaja wazi kuwa source yake inatia watu walioko serikalini. Wengine hata wanadiriki kusema Kabendera akamatwe na kutiwa ndani kwa kuandika jambo hili!
Watu wote wanaopinga hii taarifa ya Kabendera wanapaswa kutambua yafuatayo;
Conclusion: Kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi ya kichwa point-blank ina fit vizuri kabisa profile ya Magufuli. Alikuwa mtu wa namna hiyo, upende usipende, na huo ndio ukweli.
- ikiwa unashupalia Kabendera ni muongo, basi wewe unapaswa kujua ukweli juu ya kupotea kwa Ben Saanane au yuko wapi kama yupo hai, au unamjua aliemuua. Kama una akili sawasawa, huwezi kubisha alichosema Kabendera bila wewe kuwa na taarifa kamili tofauti na aliyosema Kabendera
- kwamba Kabendera hawezi hata siku moja kufumuka tu na kuandika kitu kama hicho kwenye kitabu. Ni wazi ana uhakika na anachokisema, na kwamba ana ushahidi zaidi na serikali haitamchukulia hatua kwa sababu wakimpeleka mahakamani watakuwa wamempa ukumbi wa kumwaga ukweli wa jambo hili na serikali ya CCM haitaki kabisa hilo litokee (sawa na Marekani waliposema Makonda ni muuaji, ulisikia serikali ikipinga au kuishutumu Marekani? Unafikiri kwa nini serikali iliufyata?)
- Magufuli kama raisi angeweza kumpiga mtu yeyote risasi na kumuua bila kushitakiwa au kufanywa lolote kwa sababu Katiba yetu inampa uhuru raisi kumuua mtu na raisi asifanywe lolote! Hata Raisi Samia leo akifanya hivyo hutamfanya chochote na ataendelea kuwa raisi
- kwamba Magufuli alipompiga risasi Ben Saanane kuna watu walikuwapo na walishuhudia hilo na hawa ndio waliompa taarifa Kabendera, wao hawawezi kuzitoa hadharani, na huenda wengine walioliona hilo tukio "walishapotezewa"
- kwamba Magufuli alikuwa anawachukia wapinzani kwa kiwango kisicho kawaida, chuki ya kiwango cha kuwa "kichaa", cha kufikia kuwaadhibu CCM waliowapa pole wapinzani wakiumwa, na hata kumwona Samia na wengine kuwa ni wasaliti walipomtembelea Lisu hospitali (the most intense level on the emotional scale of anger toward opposition parties' members, and this became animosity that was deeply entrenched towards specific individuals like Tundu Lissu, Ben Saanane etc, and he developed personal vendettas against them).
- kwamba Magufuli alikuwa na tabia ya kutembea na bastora akiwa tayari kuua mtu, hata pale alipokuwa akikagua miradi yake alishikilia bastora mkononi. Kuua mtu kwa bastora ni rahisi mno, hasa kwa mtu mwenye kuchukia wapinzani kama Magufuli. Hivyo kumuua Ben Saanane kuna-fit attitude profile ya Magufuli
- kwamba kwa wanaomfahamu Magufuli watakuambia wazi alikuwa hayuko sawa kichwani na kuua mtu kwa risasi ingewezekana kabisa kwake. Huyu ni Magufuli ambae alimpiga sana mtoto wake karibu kumuua kwa kosa la kufeli mitihani tu; huyu ni Magufuli aliemkana binti yake na kusema sio binti yake tena kwa sababu aliokoka na kuolewa na mlokole; na huyu ni Magufuli aliekuwa akimpiga mkewe hadi hatua ya kukaribia kufa na kulazwa hospitali; sasa sembuse Ben Saanane ambae alikuwa sio ndugu yake na alikuwa na hasira nae ya kukosolewa? Magufuli hakuwa sawa kichwani, hilo ni wazi sana
- kama Marekani walikuwa na ushahidi juu ya Makonda kuua watu waliopinga serikali, ni wazi alifanya hivyo kwa kibali cha Magufuli, na kama Magufuli alimruhusu Makonda kuua watu basi kwa nini yeye binafsi asindwe kumuua mmojawapo wa aiana ya watu aliomruhusu Makonda kuwaua?
- kigugumizi cha polisi katika kupeleleza na kukamata watu waliopotea au kuuwawa, hasa wapinzani wa serikali, ni wazi kwamba vifo hivi ninahusisha watu wakubwa walioko serikalini, kutia ndani mtu kama Magufuli, au kwamba viliidhinishwa na Magufuli, pamoja na jaribio la kumuua Tundu Lisu
Nakubaliana na hoja hiyo. Ushahidi mwingine ni alivyopigwa risasi Tundu Lisu, wale wote walioshiriki katika kuokoa maisha yake walipigwa chini.
Kuanzia RC wa Dodoma kipindi kile ambaye aliruhusu ndege iliyombeba Tundu Lissu kuondoka.
Pia akaondolewa Mpoki Ulisubisya
Naww usieamini pia ivyoivyo.Anayeamini huo ujinga wa kabendera ni kichaa na anatakiwa kupelekwa hospitali ya vichaa milembe Dodoma.
We kwan alikuwa baba yako mkuu!!Blah blah blah!
Magufuli ni muuaji….
Magufuli ni mbakaji….
What else? Magufuli ni baba yenu mzazi?
We nawe umeandika makorokocho gani sijui, umekunywa komoni?Siku mkijua ukweli mta tahayari sana,
Magufuli alikuwa na hasira za karibu lakini alikuwa mwepesi kusamehe.
Magufuli huyuhuyu alikuwa ni mtu mwenye mental disorders yaani Mimi naweza kupiga mtu ila akajigamba yeye.
Tukio la kukoswa koswa Lissu lilifanywa na upinzani.
Hata Ben saanane waulizwe upinzani.
Alfonce Mawazo waulizwe upinzani
Ili kuing'oa CCM madarakani kunatakiwa matambiko na damu za watu zimwagike ili tu kutengeneza mtaji wa kisiasa.
Siyasemi ya Chacha Wangwe kwasababu haya wengi wanayajua.
Ili ukubalike na watu milioni kumi kwenye bongo na fikira zao siyo suala dogo eti kisa umesoma Political science jidanganye.
Natamani Lissu ashinde uenyekiti wa chama lakini hawezi kwasababu yeye ni mlaini kama tikiti.
Kisu kikitua kwenye tikiti,linaumia tikiti
Vilevile tikiti likijigamba eti liende Kwa force likatue kilipo kisu,litaumia tikiti tu.
Siasa ni mchezo mchafu sihitaji kizazi changu kijihusishe na huu uharamu
Jaman Ben Saanane alikuwa na mke na watoto? Yaan kuna watu walikuwa wanamtegema?? Ila watu watakuwa kuni jaman niko pale mniita mbwaSawa Erick Kabendera ameandika kwamba raisi Magufuli alimpiga risasi ya kichwa Ben Saanane pale Ikulu Dar es Salaam.
Sasa ukitaka kujua umbumbumbu wa watu, ni pale mtu anaibuka tu na kusema Kabendera mwongo! Watu hata hawataki kuhoji taarifa hii Kabendera kaitoa wapi - japo ametaja wazi kuwa source yake inatia watu walioko serikalini. Wengine hata wanadiriki kusema Kabendera akamatwe na kutiwa ndani kwa kuandika jambo hili!
Watu wote wanaopinga hii taarifa ya Kabendera wanapaswa kutambua yafuatayo;
Conclusion: Kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi ya kichwa point-blank ina fit vizuri kabisa profile ya Magufuli. Alikuwa mtu wa namna hiyo, upende usipende, na huo ndio ukweli.
- ikiwa unashupalia Kabendera ni muongo, basi wewe unapaswa kujua ukweli juu ya kupotea kwa Ben Saanane au yuko wapi kama yupo hai, au unamjua aliemuua. Kama una akili sawasawa, huwezi kubisha alichosema Kabendera bila wewe kuwa na taarifa kamili tofauti na aliyosema Kabendera
- kwamba Kabendera hawezi hata siku moja kufumuka tu na kuandika kitu kama hicho kwenye kitabu. Ni wazi ana uhakika na anachokisema, na kwamba ana ushahidi zaidi na serikali haitamchukulia hatua kwa sababu wakimpeleka mahakamani watakuwa wamempa ukumbi wa kumwaga ukweli wa jambo hili na serikali ya CCM haitaki kabisa hilo litokee (sawa na Marekani waliposema Makonda ni muuaji, ulisikia serikali ikipinga au kuishutumu Marekani? Unafikiri kwa nini serikali iliufyata?)
- Magufuli kama raisi angeweza kumpiga mtu yeyote risasi na kumuua bila kushitakiwa au kufanywa lolote kwa sababu Katiba yetu inampa uhuru raisi kumuua mtu na raisi asifanywe lolote! Hata Raisi Samia leo akifanya hivyo hutamfanya chochote na ataendelea kuwa raisi
- kwamba Magufuli alipompiga risasi Ben Saanane kuna watu walikuwapo na walishuhudia hilo na hawa ndio waliompa taarifa Kabendera, wao hawawezi kuzitoa hadharani, na huenda wengine walioliona hilo tukio "walishapotezewa"
- kwamba Magufuli alikuwa anawachukia wapinzani kwa kiwango kisicho kawaida, chuki ya kiwango cha kuwa "kichaa", cha kufikia kuwaadhibu CCM waliowapa pole wapinzani wakiumwa, na hata kumwona Samia na wengine kuwa ni wasaliti walipomtembelea Lisu hospitali (the most intense level on the emotional scale of anger toward opposition parties' members, and this became animosity that was deeply entrenched towards specific individuals like Tundu Lissu, Ben Saanane etc, and he developed personal vendettas against them).
- kwamba Magufuli alikuwa na tabia ya kutembea na bastora akiwa tayari kuua mtu, hata pale alipokuwa akikagua miradi yake alishikilia bastora mkononi. Kuua mtu kwa bastora ni rahisi mno, hasa kwa mtu mwenye kuchukia wapinzani kama Magufuli. Hivyo kumuua Ben Saanane kuna-fit attitude profile ya Magufuli
- kwamba kwa wanaomfahamu Magufuli watakuambia wazi alikuwa hayuko sawa kichwani na kuua mtu kwa risasi ingewezekana kabisa kwake. Huyu ni Magufuli ambae alimpiga sana mtoto wake karibu kumuua kwa kosa la kufeli mitihani tu; huyu ni Magufuli aliemkana binti yake na kusema sio binti yake tena kwa sababu aliokoka na kuolewa na mlokole; na huyu ni Magufuli aliekuwa akimpiga mkewe hadi hatua ya kukaribia kufa na kulazwa hospitali; sasa sembuse Ben Saanane ambae alikuwa sio ndugu yake na alikuwa na hasira nae ya kukosolewa? Magufuli hakuwa sawa kichwani, hilo ni wazi sana
- kama Marekani walikuwa na ushahidi juu ya Makonda kuua watu waliopinga serikali, ni wazi alifanya hivyo kwa kibali cha Magufuli, na kama Magufuli alimruhusu Makonda kuua watu basi kwa nini yeye binafsi asindwe kumuua mmojawapo wa aiana ya watu aliomruhusu Makonda kuwaua?
- kigugumizi cha polisi katika kupeleleza na kukamata watu waliopotea au kuuwawa, hasa wapinzani wa serikali, ni wazi kwamba vifo hivi ninahusisha watu wakubwa walioko serikalini, kutia ndani mtu kama Magufuli, au kwamba viliidhinishwa na Magufuli, pamoja na jaribio la kumuua Tundu Lisu
Hakuna mahali amesema kuna mtu wa upinzani alikuwepo. Kumbuka, Kabendera kaamua kwa makusudi na sababu anazoelewa, kuelezea tukio kwa kiwango hicho. Kitabu chake si utetezi wa mahakamani. Ni mara ngapi umesoma habari ikieleza tukio bila ushahidi? Kwa mfano, mwandishi akiandika dereva alikwa amelewa akagonga mtu na kumuua, ni mara ngapi unauliza mbona hawajaweka ushahidi kuwa dereva alikuwa amelewa?Unapotoa tuhuma nzito kama hizi unalazimika kuweka credible evidence. Sasa ushahidi wa Kabendera ni maneno ya kuambiwa na "maofisa wa serikali na watu kutoka vyama vya upinzani" Sasa tujiulize, ni mtu gani wa upinzani angeweza kuwepo wakati wa tukio hapo Ikulu?
Dah, mzee alikuwa katili sana!Katika harakati za kugombea ubunge, pia ana tuhuma za kumuwekea sumu mmoja ya wagombea ambaye alikuwa na cheo kikubwa pale ginnery ya chato, jamaa figo zikafeli.
Ikabidi jamaa akaanza process ya kutibiwa, akapata nafasi ya kwenda India. Ila kila muda wa safari ukifika, jalada la hospitali linapotea, wenzake wanaenda India. Suspect, JP ndiye alikuwa ana-influence ili jamaa afe, yeye abaki na ubunge
JK alipopata taarifa, akaingilia kati ndipo jamaa akaenda kutibiwa.
Kuwachapa viboko dada zake ilikuwa kawaida.
Kuna stori ya mdogo wake anaitwa Goro ambaye alitoa coaster ya hotel ili isaidie kusafirisha maiti pale pale Chato mjini. Wako njiani JP akapiga simu, anamwambia washushe hapohapo kwa kuwa ametoa gari bila ruhusa yake. Ikawa tafrani. Dogo akagoma kushusha maiti barabarani. Wakawa maadui wa kutupwa.